China wafanya majaribio ya treni ya speed 1,000km/h

China wafanya majaribio ya treni ya speed 1,000km/h

Ndio kaiba halafu anaiboresha.

Shida ni sisi black people ambao hata kuiba technology yoyote tunashindwa sembuse kubuni !!🤤
Pamoja na kwamba China ni mwizi ila vitu vingine vipo namna hiyo vilivyo. Hakuna ugunduzi mwingine wa kukitengeneza kikiwa tofauti. Kama taili la gari ni jeusi na duara na sayansi inataja sababu za kuwa hivyo, South Africa wakilitengeneza huwezi sema wameiba teknolojia.

Magrev zipo Ujerumani tangu 1970s ila wanajua sababu kwanini hawakuendeleza. Na kitu kingine ni mahitaji, China ni kubwa sana hivyo wana uhitaji wa magrev, Japan au UK ni nchi ndogo miji haijaachana. Ndani ya China humohumo kuna jangwa na nyika, sasa UK kuna vichaka tu ukiwa mji huu ukisimama juu unaona mji mwingine kwa macho.

Na China wanazunguka mji kwenda mji, tofauti na Marekani ambayo majimbo hujitahidi kujitosheleza hivyo movements za miji ya jimbo ndio kubwa.

Na magrev kwa sababu inapunguza sana friction kutokana na levitation, spare parts si kwamba zinaisha haraka. Pia mwili wa binadamu unaweza mudu vizuri hizo G force zinazotokana na kasi hiyo. Kwa fighter jets ni rubani anaweza enda mpaka 6 G ila rolls zitakuwa limited na anakuwa na vifaa kama oxygen mask. Zaidi ya hapo anaweza pasuka ngoma za sikio, kutoka damu puani, pressure, kuzimia, n.k.

6 G ni nyingi sana hiyo speed ya 1000km/hr haifiki hata 1 Mach wakati kuna kampuni zinatengeneza supersonic airliners ndege ziende hata 3 Mach watu wamechoshwa na kukaa masaa kibao London - New York. Concorde mpya inakuja
 
Pamoja na kwamba China ni mwizi ila vitu vingine vipo namna hiyo vilivyo. Hakuna ugunduzi mwingine wa kukitengeneza kikiwa tofauti. Kama taili la gari ni jeusi na duara na sayansi inataja sababu za kuwa hivyo, South Africa wakilitengeneza huwezi sema wameiba teknolojia.

Magrev zipo Ujerumani tangu 1970s ila wanajua sababu kwanini hawakuendeleza. Na kitu kingine ni mahitaji, China ni kubwa sana hivyo wana uhitaji wa magrev, Japan au UK ni nchi ndogo miji haijaachana. Ndani ya China humohumo kuna jangwa na nyika, sasa UK kuna vichaka tu ukiwa mji huu ukisimama juu unaona mji mwingine kwa macho.

Na China wanazunguka mji kwenda mji, tofauti na Marekani ambayo majimbo hujitahidi kujitosheleza hivyo movements za miji ya jimbo ndio kubwa.

Na magrev kwa sababu inapunguza sana friction kutokana na levitation, spare parts si kwamba zinaisha haraka. Pia mwili wa binadamu unaweza mudu vizuri hizo G force zinazotokana na kasi hiyo. Kwa fighter jets ni rubani anaweza enda mpaka 6 G ila rolls zitakuwa limited na anakuwa na vifaa kama oxygen mask. Zaidi ya hapo anaweza pasuka ngoma za sikio, kutoka damu puani, pressure, kuzimia, n.k.

6 G ni nyingi sana hiyo speed ya 1000km/hr haifiki hata 1 Mach wakati kuna kampuni zinatengeneza supersonic airliners ndege ziende hata 3 Mach watu wamechoshwa na kukaa masaa kibao London - New York. Concorde mpya inakuja
Wataikubali Concorde tena maana vizuizi vilikuwa vingi sana awali ?
 
Wataikubali Concorde tena maana vizuizi vilikuwa vingi sana awali ?
Concorde ilikuwa project ya show off, ni kama kwa ajili ya watalii na watu wa hadhi. Ilikuwa gharama kubwa sana kuendesha, ilikuwa na kelele nyingi vibaya hata hizi Tupolev za Mrusi hazikaribii. Zile sijui turbojet au torbofan engines kwa ile supersonic speed zilikuwa zinapiga kelele sana. Ukitaka linganisha tazama J-7G za JWTZ zikiruka kutoka airbase kama Ukonga zinavyopiga kelele na ni kandege kadogo wala sidhani kama kanafika hata Mach 2 speed.

Ulaya tu pale hasa Waingereza ndio walitaka kurejea kwenye utawala wa anga kwa Concorde. Na ajari ziliiharibia, na safety ilikuwa kidogo. Warusi wenyewe waliiba wakatengeneza Tupolev ngapi vile nimesahau type, ile ilianguka kwenye Paris airshow nadhani. Ilikuwa vilevile kama Concorde na ndio iliruka ya kwanza, hawakuwahi kurudia tena
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Pamoja na kwamba China ni mwizi ila vitu vingine vipo namna hiyo vilivyo. Hakuna ugunduzi mwingine wa kukitengeneza kikiwa tofauti. Kama taili la gari ni jeusi na duara na sayansi inataja sababu za kuwa hivyo, South Africa wakilitengeneza huwezi sema wameiba teknolojia.

Magrev zipo Ujerumani tangu 1970s ila wanajua sababu kwanini hawakuendeleza. Na kitu kingine ni mahitaji, China ni kubwa sana hivyo wana uhitaji wa magrev, Japan au UK ni nchi ndogo miji haijaachana. Ndani ya China humohumo kuna jangwa na nyika, sasa UK kuna vichaka tu ukiwa mji huu ukisimama juu unaona mji mwingine kwa macho.

Na China wanazunguka mji kwenda mji, tofauti na Marekani ambayo majimbo hujitahidi kujitosheleza hivyo movements za miji ya jimbo ndio kubwa.

Na magrev kwa sababu inapunguza sana friction kutokana na levitation, spare parts si kwamba zinaisha haraka. Pia mwili wa binadamu unaweza mudu vizuri hizo G force zinazotokana na kasi hiyo. Kwa fighter jets ni rubani anaweza enda mpaka 6 G ila rolls zitakuwa limited na anakuwa na vifaa kama oxygen mask. Zaidi ya hapo anaweza pasuka ngoma za sikio, kutoka damu puani, pressure, kuzimia, n.k.

6 G ni nyingi sana hiyo speed ya 1000km/hr haifiki hata 1 Mach wakati kuna kampuni zinatengeneza supersonic airliners ndege ziende hata 3 Mach watu wamechoshwa na kukaa masaa kibao London - New York. Concorde mpya inakuja


Wizi wa technologies sio kuunda kitu kifanane na kingine (mfano tairi liwe duara nk), technology ni kama utaalamu au ufundi katika utengenezaji.

Zipo technologies ambazo ni siri na zipo ambazo sio siri na ikibainika wewe ulichukua kwa njia za ujanja technology ambayo mwenzako aliificha kwa siri hapo wewe unaitwa Mwizi wa technology.

Pia Mchina na Muhindi sio wezi wa technology tu bali pia ni Copy cats, mfano; Chukua angle grinder 9"(Black and Decker- professional, British made) model ya zamani na chukua Ideal Chinese made 9" model ya zamani utakuta armature, field coils, gears zake vyote vipo sawasawa kabisa na ni interchangeable hii maana yake ni kwamba Mchina alikopi kutoka Kwa British.

Hapa hatuzungumzii mambo reaction forces (6G) wala levitation technology ilianzia wapi na wala hutuzungumzii juu mach speeds nk.
 
Misri to SA kama masaa 7. Waaafrika wajiunge nchi zote ijengwe kutoka kaskazini hadi kusini halafu kuwe na dirvesion ya East Africa na West Africa. Nchi zitaendelea haraka sana.
Nchi hizihizi ambazo kutoka tu hapo zanzibar mtu akivuka na tv mtumba anatozwa kodi?
 
Yap hilo suala naona watazingatia
Maana kwa speed ndogo tu hizi brake za ghafla watu wanagonga vichwa sasa kwa spidi ya 1000km per hr mtikisiko kidg ni vifo
UKISOMA TEKNOLOJIA YA MAGNETIC ELEVATION UNAELEWA NINI NDUGU?
maglev...
 
Una matatizo makubwa sana yanayo kusumbua na sidhani kama unafahamu ni matatizo gani yana kusumbua
Huyo jamaa anaichukia sana China kuna shida katika akili yake. Yaani ukiandika jambo lolote kuhusu China lazima aje na mtazamo hasi kuihusu
 
  • Thanks
Reactions: TPP
Wizi wa technologies sio kuunda kitu kifanane na kingine (mfano tairi liwe duara nk), technology ni kama utaalamu au ufundi katika utengenezaji.

Zipo technologies ambazo ni siri na zipo ambazo sio siri na ikibainika wewe ulichukua kwa njia za ujanja technology ambayo mwenzako aliificha kwa siri hapo wewe unaitwa Mwizi wa technology.

Pia Mchina na Muhindi sio wezi wa technology tu bali pia ni Copy cats, mfano; Chukua angle grinder 9"(Black and Decker- professional, British made) model ya zamani na chukua Ideal Chinese made 9" model ya zamani utakuta armature, field coils, gears zake vyote vipo sawasawa kabisa na ni interchangeable hii maana yake ni kwamba Mchina alikopi kutoka Kwa British.

Hapa hatuzungumzii mambo reaction forces (6G) wala levitation technology ilianzia wapi na wala hutuzungumzii juu mach speeds nk.
Unarudi palepale kwenye point yangu. China ni mwizi wa technology ila kuna vitu vingi sana anafanya mwenyewe. Mfano sasahivi ana space missions nyingi na alishampita Russia mbali kwenye eneo hilo ila hapewi airtime.

Technology ni art of science, kama stealth jet inabidi iwe na geometrical shape ya kupunguza detection, iwe na radar absorbing materials, iwe na coating kwenye skin, isiwe na air inlet kubwa au ziwepo deflectors, iwe na engines zilizozama ndani na zisizo na protruding nozzles basi any effective stealth jet lazima iwe hivyo hivyo. Hiyo ndio science ndio maana stealth fighters zote zilizopo in production na kwenye development zina mfanano haijalishi ni ya Marekani, Russia, China, South Korea, Japan au UK.

Hatokei nchi inatengeneza stealth ikiwa mviringo ili ionekane haijakopi au kuiba tech, sayansi itakatalia hicho kitu kwa hiyo hakitokuwepo. Kitakachokuwepo ni kile kilichofuata masharti ya sayansi ndio maana vitafanana.

Na kuna vitu wanalazimika kugundua kutokana na threats na needs. Huyu akiona huyu katoka hypersonic missile na yeye anaongeza R&D mwisho wa siku hypersonic technology wanayo Russia, Marekani na China na zote zinafanya kazi the same way. Sasa utasema nani kamuibia nani wakati sheria za sayansi ni zilezile
 
Hii ina maana Dar to Tunduma ndani ya li SAA li moja hii kwa kubebea mizigo itafaa sana kuongeza ofanisi lakini itaharibu ajira za watu
 
Muda ni uchumi, lengo ni kupunguza masaa ya kusafirisha abiria na mizingo ili kuchochea zaidi ukuaji wa kasi wa uchumi pia maisha bora ni jambo la msingi
Na kupunguza safari za ndege maana hapo anaepanda ndege na anaepanda treni anaanza kufika anaepanda treni hahahaha hatar sana
 
Yap hilo suala naona watazingatia
Maana kwa speed ndogo tu hizi brake za ghafla watu wanagonga vichwa sasa kwa spidi ya 1000km per hr mtikisiko kidg ni vifo
Tumeishapiga mahesabu yote mkuu, niwe na mashaka jopo la vipanga usiku na mchana tulikuwa hatulali
 
360 kawaida tu yaani
360 ni kawaida tu?

Hivi vyombo vyenye magurudumu, nimewahi kukaa kwenye kimoja kikitembea 180kph, ingawa ndo ilikuwa mara ya kwanza, NADHANI ndio mara ya mwisho kwa hiari yangu!
 
Back
Top Bottom