China wafanya majaribio ya treni ya speed 1,000km/h

China wafanya majaribio ya treni ya speed 1,000km/h

Maana ake dar- bukoba ni saa 1
images-506.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Speed kubwa sana hiyo lakini bado haita tosha itaongezwa tena kadiri muda unavyozidi songa
Scientist and engineer think of hyperdonic speed train, airplane,car nk. Watakaoishi miaka 100 ijayo watashuhudia vyote.
Elon musk anampango wa kuwa anafyatua rocket zilizobeba watu, hizi xitakuwa maalumu kwa usafirishaji.

Miaka 20 ijayo tunaweza kushuhudia maana tayari ana self landing rocket, zinahitajika modification chache tu, tuanze kufyatuliwa kwenye rocket. Wale waoga huu usafiri hauta wafaa.
 
Misri to SA kama masaa 7. Waaafrika wajiunge nchi zote ijengwe kutoka kaskazini hadi kusini halafu kuwe na dirvesion ya East Africa na West Africa. Nchi zitaendelea haraka sana.
Wazo zuri sana kama likizingatiwa kwa umakini na uwajibikaji wa hali ya juu ukawepo pamoja na usimamizi uliobora wa huo mradi ili uzae matunda bora
 
Kuna watu watasema mchina mwiz wa teknolojia

Fastest Train in the World – 357.2 MPH​

The current world speed record for a commercial train on steel wheels is held by the French TGV at 574.8 km/h (357.2 mph), achieved on 3 April 2007 on the new LGV
 
A Chinese research team has successfully completed the country's first full-size superconducting test run for an ultra-high-speed magnetic levitation (maglev) train, which, once completed, will be capable of running at a whopping 1,000 kilometers per hour under ideal conditions.

Developed by the China Aerospace Science and Industry Corporation Limited (CASIC), the maglev train aims to carry passengers and cargo at a speed of 1,000km/h or faster in a low-vacuum tube. It is expected to be used for commuting between mega city clusters in the future.

A superconducting maglev test line has been built in Datong City, north China's Shanxi Province.

The experiment preliminarily verified the scientific rationality of the overall design, said Li Ping, a member of the project at CASIC, at a science popularization exhibition held in Beijing on Sunday.

Li said that more experiments will be conducted to reach the maximum speed and to verify the entire system's reliability, adding that the research team has tested a 623km/h speed under non-vacuum conditions previously.

China currently operates its high-speed bullet trains at a maximum speed of 350km/hView attachment 2598335
Weka video mkuu
 
Muda ni uchumi, lengo ni kupunguza masaa ya kusafirisha abiria na mizingo ili kuchochea zaidi ukuaji wa kasi wa uchumi pia maisha bora ni jambo la msingi
hakuna cha muda uchumi sijui nini binadamu tumejaa vurumai nyingi sasa hio speed kubwa hivo hao waliomo huko ndani si watatoka kila kiungo cha mwili kimehama eneo lake
 
Back
Top Bottom