round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Sawa ni kubwa ila sio kama inavyokuzwa, Kufikia level za Marekani bado sana ndio maana hata teknolojia za jeshi lao zipo chini wanamuiga Marekani na bado hawafikii,Haikuwa hivyo zamani,Leo ni kubwa tu kikwazo kwa kikwazo.
Watu hawasemi ni kubwa kama marekani wanavyosema ni uwezo wa kudinda na kusimama imara dhidi ya marekani Na ile hali ya kutoogopa chochote.Yaani mamlaka ya kujiamulia.Sawa ni kubwa ila sio kama inavyokuzwa, Kufikia level za Marekani bado sana ndio maana hata teknolojia za jeshi lao zipo chini wanamuiga Marekani na bado hawafikii,
Yes kwa level hizo imefika ila kwa kiasi chake, China inaitamani sana Taiwan lakini Marekani inawazuiaWatu hawasemi ni kubwa kama marekani wanavyosema ni uwezo wa kudinda na kusimama imara dhidi ya marekani Na ile hali ya kutoogopa chochote.Yaani mamlaka ya kujiamulia.
Na pale ndipo watakapooneshana umwamba.Yes kwa level hizo imefika ila kwa kiasi chake, China inaitamani sana Taiwan lakini Marekani inawazuia
Tunampeleka mahakami huyo mahakam imnyanganye uadminMwangu Swordsman unanisaliti GunMan wakati Kuna baadhi ya mission panga halifai kitu utanihitajia Mzee wa Gun ! ngoja nimwambie mwanasheria wetu Selikavu aandae legal justification ya kukuondoa kwenye grupu letu halafu rasmi niwe Admin mkuu.
Jamaa Intelligent businessman anayumba baada anipe sapoti tulipige Nyabumbu wa Kimongolia yeye ndio kwanza anashirikiana nae bila kujua hatari iliyopo mbele yake ..Tunampeleka mahakami huyo mahakam imnyanganye uadmin
Dogo nita kuroga uwe mbuzi๐๐Mwangu Swordsman unanisaliti GunMan wakati Kuna baadhi ya mission panga halifai kitu utanihitajia Mzee wa Gun ! ngoja nimwambie mwanasheria wetu Selikavu aandae legal justification ya kukuondoa kwenye grupu letu halafu rasmi niwe Admin mkuu.
The Mongolian Savage come and attack this nyau de adriz le nyambulet enuchiiJamaa Intelligent businessman anayumba baada anipe sapoti tulipige Nyabumbu wa Kimongolia yeye ndio kwanza anashirikiana nae bila kujua hatari iliyopo mbele yake ..
Baada ya Rais Trump wa Marekani kuiongezea china Terrifs kwenye bidhaa zake kutoka asilimia 10 hadi ishirini. Nao wamejibu kuiongezea bidhaa za marekani asilimia 15.
Bidhaa za marekani ambazo china zimeongeza teriffs hadi asilimia 15 ni sorghum (ulezi), soybeans, pork (kiti moto), beef, aquatic products, fruits, vegetables, and dairy productsโ.
Baada ya China kufanya hivyo kilichonifurahisha ni kiingereza walichotumia kumjibu Marekani yani kimeenda shule balaa na ni msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya china alitumia. Yani Nouma China kwenye kutema yai nimewanyooshea mikono. Cheki hapo chini.
Speaking at a regular briefing on Tuesday, Lin Jian, a spokesperson for Chinaโs Foreign Ministry, said โChina will fight till the endโ if the US โinsists on waging a tariff war, trade war or any other kind of war.โ
โI want to reiterate that the Chinese people have never feared evil or ghosts, nor have we ever bowed to hegemony or bullying. Pressure, coercion and threats are not the right ways to engage with China. Trying to exert maximum pressure on China is a miscalculation and a mistake".
View attachment 3258605
Senior JF economist and Geopolitics expert and analyst.
Mpaji Mungu Chaliifrancisco PSL god Mufti kuku The Infinity
Nyau de adriz
Nyau de adriz le nyambulet enuchiiOya Jombis nishakukataa na kuacha kukufuatilia , Mimi nina deal na yangu sikuQuote Wala kukutag lakini wewe bado unaendeleza vita , shida nini ?
Sio kwamba siwezi vita au nakuogopa kama unavyojidanganya , hapana bali nimebadilika na ogopa mtu akiamua kukupuuza na kukuacha huru ,basi jua kifuatacho akiibuka ni Makombora makali mfululizo.
Mimi mwezi mzima sitohangaika na wewe ukijirekebiaha nitakuacha mazima ila ukiendelea nitakuacha mpk muda nitakaona hapa nirudi ulingon , I warn you Mr Scumbag.....
Shukrani sana mkuu msaaa.You, Mr. Scumbag, if you don't want peace and insist on your aggression and stupidity, you will face devastating consequences. You should know that I have thousands of ballistic missiles, but for now, I am patient and waiting for the right time to fire a ballistic missile at you and your supporters.
More refined:
Mr. Scumbag, if you refuse peace and persist in your aggression and foolishness, you will face devastating consequences. You should know that I have thousands of ballistic missiles, but for now, I am patient and waiting for the right time to launch them at you and your supporters.
The Mongolian Savage yupo kifungoni now ananyea debe ๐ ๐ ๐ Maarasmitaaa!!! , jamaa nilimuonya akawa mbishi haya sasa Mongolian tayari Gun ishampitia naEnjoy life .The Mongolian Savage come and attack this nyau de adriz le nyambulet enuchii
Huwezi kushindana na the mighty, ewe nyau de adriz enuchiiThe Mongolian Savage yupo kifungoni now ananyea debe ๐ ๐ ๐ Maarasmitaaa!!! , jamaa nilimuonya akawa mbishi haya sasa Mongolian tayari Gun ishampitia naEnjoy life .
Selikavu naomba sasa tupange mpango kazi wa kudeal na Intelligent businessman baada ya kichaka chake Cha kutumia Mmongolia kufyekwa rasmi.
Nyambulet enuchiiHahahahahaha!! sitaki bato Wala kushindana na yeyote Mr President , Mimi ni raia mwema napenda Amani.