China wamjibu Trump kwa vitendo yapiga marufuku usafirishaji wa gallium, germanium kwenda Marekani

China wamjibu Trump kwa vitendo yapiga marufuku usafirishaji wa gallium, germanium kwenda Marekani

Strong ladg

Senior Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
170
Reaction score
445
China imezuia uuzaji wa madini muhimu ya gallium, germanium na antimony kwenda Marekani.

Madini hayo yanatumika katika utengenezaji wa vifaa vya kielekroniki pamoja na silaha.

Katika taarifa yake kuhusu zuio hilo,wizara ya biashara ya China imesema China imeamua kufanya hivyo kwa sababu za kiusalama.

Hii inatafsriwa kama majibu ya China kwa Marekani baada ya Marekani kuzuia usafirishaji wa baadhi ya vifaa vya kielekroniki kwenda China.

Marekani ilifanya hivyo ili kudhibiti ukuaji wa kasi wa teknolojia ya akili mnemba AI nchini China.

Chanzo
New York Times
"China Announces a Ban on Rare Minerals to the U.S. - The New York Times" https://www.nytimes.com/2024/12/03/world/asia/china-minerals-semiconductors.html
 
Wanaukumbi.

China announced Tuesday it is banning exports to the United States of gallium, germanium, antimony and other key high-tech materials with potential military applications, as a general principle, lashing back at U.S. limits on semiconductor-related exports.

The Chinese Commerce Ministry announced the move after the Washington expanded its list of Chinese companies subject to export controls on computer chip-making equipment, software and high-bandwidth memory chips. Such chips are needed for advanced applications.
============

China ilitangaza Jumanne kuwa inapiga marufuku uuzaji nje wa Marekani wa gallium, germanium, antimoni na nyenzo nyingine muhimu za teknolojia ya juu zenye matumizi ya kijeshi, kama kanuni ya jumla, ikirudisha nyuma mipaka ya Marekani kwenye mauzo ya nje yanayohusiana na semiconductor.

Wizara ya Biashara ya China ilitangaza hatua hiyo baada ya Washington kupanua orodha yake ya makampuni ya China yaliyo chini ya udhibiti wa usafirishaji wa vifaa vya kutengeneza chip za kompyuta, programu na kumbukumbu za kumbukumbu za juu-bandwidth. Chips vile zinahitajika kwa ajili ya maombi ya juu.
Habari zaidi bifya👇🏽

China has announced a ban on exports to the United States of gallium, germanium and other key high-tech materials with potential military applications Source: ABC News China bans exports to US of gallium, germanium, antimony in response to chip sanctions
 
Wanaukumbi.

China announced Tuesday it is banning exports to the United States of gallium, germanium, antimony and other key high-tech materials with potential military applications, as a general principle, lashing back at U.S. limits on semiconductor-related exports.

The Chinese Commerce Ministry announced the move after the Washington expanded its list of Chinese companies subject to export controls on computer chip-making equipment, software and high-bandwidth memory chips. Such chips are needed for advanced applications.
============

China ilitangaza Jumanne kuwa inapiga marufuku uuzaji nje wa Marekani wa gallium, germanium, antimoni na nyenzo nyingine muhimu za teknolojia ya juu zenye matumizi ya kijeshi, kama kanuni ya jumla, ikirudisha nyuma mipaka ya Marekani kwenye mauzo ya nje yanayohusiana na semiconductor.

Wizara ya Biashara ya China ilitangaza hatua hiyo baada ya Washington kupanua orodha yake ya makampuni ya China yaliyo chini ya udhibiti wa usafirishaji wa vifaa vya kutengeneza chip za kompyuta, programu na kumbukumbu za kumbukumbu za juu-bandwidth. Chips vile zinahitajika kwa ajili ya maombi ya juu.
Habari zaidi bifya👇🏽

China has announced a ban on exports to the United States of gallium, germanium and other key high-tech materials with potential military applications Source: ABC News China bans exports to US of gallium, germanium, antimony in response to chip sanctions
Sasa Rais aliye madarakani mwingine, aliyesema mwingine. Justification yao iko kwenye nini? Hapa nadhani sijaelewa.
 
Haina mahusiano na kauli za Trump bali ni majibizano kwa huu utawala uliopo juu ya vizuizi wanavyo wekewa Beijing.

Majibu ya Trump yataanza akiapishwa kama akitimiza kweli maneno yake.
Wakati mwingine kama
Hufahamu kitu bora ukae kimya siyo kitumia fikra zako soma…
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>

The ratcheting up of trade restrictions comes as President-elect Donald Trump has been threatening to sharply raise tariffs on imports from China and other countries, potentially intensifying simmering tensions over trade and technology.

China's Foreign Ministry also issued a vehement reproof.

"China has lodged stern protests with the U.S. for its update of the semiconductor export control measures, sanctions against Chinese companies, and malicious suppression of China's technological progress," Lin Jian, a Chinese Foreign Ministry spokesperson, said in a routine briefing Tuesday.

"I want to reiterate that China firmly opposes the U.S. overstretching the concept of national security, abuse of export control measures, and illegal unilateral sanctions and long-arm jurisdiction against Chinese companies," Lin said.
 
China imezuia uuzaji wa madini muhimu ya gallium, germanium na antimony kwenda Marekani.

Madini hayo yanatumika katika utengenezaji wa vifaa vya kielekroniki pamoja na silaha.

Katika taarifa yake kuhusu zuio hilo,wizara ya biashara ya China imesema China imeamua kufanya hivyo kwa sababu za kiusalama.

Hii inatafsriwa kama majibu ya China kwa Marekani baada ya Marekani kuzuia usafirishaji wa baadhi ya vifaa vya kielekroniki kwenda China.

Marekani ilifanya hivyo ili kudhibiti ukuaji wa kasi wa teknolojia ya akili mnemba AI nchini China.

Chanzo
New York Times
"China Announces a Ban on Rare Minerals to the U.S. - The New York Times" https://www.nytimes.com/2024/12/03/world/asia/china-minerals-semiconductors.html
Safi sana macho madogo
 
China imezuia uuzaji wa madini muhimu ya gallium, germanium na antimony kwenda Marekani.

Madini hayo yanatumika katika utengenezaji wa vifaa vya kielekroniki pamoja na silaha.

Katika taarifa yake kuhusu zuio hilo,wizara ya biashara ya China imesema China imeamua kufanya hivyo kwa sababu za kiusalama.

Hii inatafsriwa kama majibu ya China kwa Marekani baada ya Marekani kuzuia usafirishaji wa baadhi ya vifaa vya kielekroniki kwenda China.

Marekani ilifanya hivyo ili kudhibiti ukuaji wa kasi wa teknolojia ya akili mnemba AI nchini China.

Chanzo
New York Times
"China Announces a Ban on Rare Minerals to the U.S. - The New York Times" https://www.nytimes.com/2024/12/03/world/asia/china-minerals-semiconductors.html
Trump ameigiaje hapo?
 
Sasa Rais aliye madarakani mwingine, aliyesema mwingine. Justification yao iko kwenye nini? Hapa nadhani sijaelewa.
Donald Trump says he will hit China, Mexico and Canada with new tariffs on day one of his presidency, in an effort to force them to crack down on illegal immigration and drug smuggling into the US.
The US president-elect said he would sign an executive order imposing a 25% tariff on all goods coming from Mexico and Canada, after being inaugurated on 20 January 2025.
He also said "we will be charging China an additional 10% tariff, above any additional tariffs" until it cracked down on fentanyl smuggling.
The threat could mark a major escalation in tensions with the US's three top trading partners. It could also lead to higher prices for Americans, since tariffs work as a form of tax on imports.
 
Back
Top Bottom