China wamjibu Trump kwa vitendo yapiga marufuku usafirishaji wa gallium, germanium kwenda Marekani

China wamjibu Trump kwa vitendo yapiga marufuku usafirishaji wa gallium, germanium kwenda Marekani

Donald Trump says he will hit China, Mexico and Canada with new tariffs on day one of his presidency, in an effort to force them to crack down on illegal immigration and drug smuggling into the US.
The US president-elect said he would sign an executive order imposing a 25% tariff on all goods coming from Mexico and Canada, after being inaugurated on 20 January 2025.
He also said "we will be charging China an additional 10% tariff, above any additional tariffs" until it cracked down on fentanyl smuggling.
The threat could mark a major escalation in tensions with the US's three top trading partners. It could also lead to higher prices for Americans, since tariffs work as a form of tax on imports.
My point is if X is President and has not said anything about China, and Y is President-elect, who awaits his swearing-in in January 2025. Why does China act on what the President-elect said and not on the sitting President? What justification can China give for the decision China has taken?
 
China imezuia uuzaji wa madini muhimu ya gallium, germanium na antimony kwenda Marekani.

Madini hayo yanatumika katika utengenezaji wa vifaa vya kielekroniki pamoja na silaha.

Katika taarifa yake kuhusu zuio hilo,wizara ya biashara ya China imesema China imeamua kufanya hivyo kwa sababu za kiusalama.

Hii inatafsriwa kama majibu ya China kwa Marekani baada ya Marekani kuzuia usafirishaji wa baadhi ya vifaa vya kielekroniki kwenda China.

Marekani ilifanya hivyo ili kudhibiti ukuaji wa kasi wa teknolojia ya akili mnemba AI nchini China.

Chanzo
New York Times
"China Announces a Ban on Rare Minerals to the U.S. - The New York Times" https://www.nytimes.com/2024/12/03/world/asia/china-minerals-semiconductors.html
China hana ubavu kujitenga na US., technologia aliyonayo china imeasisiwa na Marekani
 
Trump kayakanyaga. Kaona anaweza kuendesha dunia kama anafanya deals za real estate za New York City.

Kam beep Mchina, Mchina kamjibu kabla hata hajakalia kiti cha urais.

The book to read is "Chip War: The Fight for the World's Most Critical Technology" by Chris Miller.

Screenshot_20241204_024111_Amazon Shopping.jpg
 
T
China hana ubavu kujitenga na US., technologia aliyonayo china imeasisiwa na Marekani
Teknolojia ni mchanganyiko wa mambo mengi yanayohusisha ugunduzi, uvumbuzi na uendelezaji.
Hata kama US alimpa mchina teknolojia kwa baadhi ya mambo, mchina hakulala; aliiendeleza teknolojia hiyo, na alikuwa na ya kwake, pamoja na zingine kutoka kote duniani.
Unadhani nchi zingine zote duniani hazina teknolojia zake ambazo zinaweza kuwa bora zaidi kuliko za US?
Kwa nini mpaka leo US anatumia injini za mrusi kurusha baadhi ya vyombo vyake angani pamoja na figisu walizonazo enzi na enzi?
Dunia ilikuwepo kabla ya kuundwa kwa US 1776; na hao wamarekani ni watu mchanganyiko kutoka mataifa yote duniani.
Hivyo vipaji vilivyoko US, vipo pia duniani kote.
Ndio maana hata kama US akimwekea vikwazo North Korea au Iran, makombora yanaundwa tu kila uchao na kujaribiwa.
Hakuna nchi duniani inaweza kujitosheleza mahitaji yake kwa asilimia 100; hata tajiri aliomba sindano kwa maskini!!
 
Back
Top Bottom