China yaanza kulazimisha wanawake kuachika mimba kwenye jamii ya waislamu wapunguze kuzaliana

Suala la uislamu kuenea nisuala la muda tu yaani hata kama mnachukia na mtchukia
Hatuna shida ya kuenea ,tumeshaona aina ya waislam wanaokuja uzuri hawatakua tena na vimelea vya itikadi kali za huko uarabuni,,wengi wameshafanyiwa dilution na wamagharibi,,,leo hii kaa na muislam wa london, tofauti kabisa na muislam wa hapo somali au hata pemba, tunataka waislam kama wa london waongezeke tu
 
... waislam kawaida yao ni wabishi tu, suala la uzazi wa mpango, unaoendeshwa na serikali, kwa China linawahusu watu wa makundi yote ya kijamii na sio waislam peke yake!
Uzazi wa mpango hasa one child policy iliwahusu large ethnic group ambao ni Han Chinese pekee hao wengine minorities kama Uyghurs na wengine haikuwahusu kabisa
 
Uyghurs ni minority
 
Matendo anayofanya marekani middle east hata angekuwa China nafasi ya marekani angechukiwa na watu wa mashariki ya kati
 
Waislam wapo China maelfu ya miaka na wala hawazaliani kwa fujo
 
Kwani kuna wachina ambao ni waislam? Nikiona nitashangaa! Bongo sijawahi kuona mmasai ni muislam, huwa nashangaa kuona mchaga, mhaya na msukuma akiwa muislam!, wazungu ndio kabisa nitashangaa zaidi!
Asa ukienda mbinguni ukamkuta yesu ni muislam c ndio utazidi kushangaa
 
uislam wa ulaya umechakachuliwa balaa, ni feki, tena huko ndiko unakoenda kufia badala ya kusitawi kama walivyopanga
Hahaha unajifariji umeishafika? Wewe upo Tukuyu ufahamu lolote wazungu wanauza Makanisa yanageuzwa Misikiti.
Wewe unaongea fikra zako za kilokole wasome wazungu wenyewe.

A report by the Pew Research Center predicts that the number of Muslims will equal the number of Christians by 2050. Global leaders would have to take these cha… Source: dw.com Report: Muslim population to grow fastest – DW – 04/03/2015
 
Asa ukienda mbinguni ukamkuta yesu ni muislam c ndio utazidi kushangaa
Mbingu na utamaduni wa kiarabu wapi na wapi kama waarabu wenyewe wanaukimbia na kuzamia Ulaya na Marekani.
 
Bibie una chuki na uislam, kuna muislam alikuphirrra ajakulipa pesa nn
 
hilo la wazungu kuuza majengo hayo lipo wazi ila hawawi waislam typically. Uislam wao utakuwa ni uislam wa kimagharibi, uislam chotara na feki
 
Kama ndio mnavyodanganywa huko kama kuna siku uislamu utakuja kufa poleni sana😂
Mtakufa nyinyi na sisi ila sio uislamu poleni sana

uislamu haufi, labda shetani afe kwanza maana ndiye wenu, ni kama leo useme ufreemason utakufa, kwanza hizi siku za mwisho ndio shetani anapata wafuasi wengi, yaani uislamu utazagaa sana maana shetani anafanya kazi usiku na mchana, anawatumia mchinje watu kabla hawajatubu.
 
Waislam wapo China maelfu ya miaka na wala hawazaliani kwa fujo

Tatizo mnapenda kujazana ujinga na uwongo, uislamu wenyewe umeasisiwa na muarabu about 1,500 years ago, yaani miaka 500 baada ya Yesu, wewe unasema waislamu wamekua China maelfu ya miaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…