China yaanza kulazimisha wanawake kuachika mimba kwenye jamii ya waislamu wapunguze kuzaliana

China yaanza kulazimisha wanawake kuachika mimba kwenye jamii ya waislamu wapunguze kuzaliana

Kwani kuna wachina ambao ni waislam? Nikiona nitashangaa! Bongo sijawahi kuona mmasai ni muislam, huwa nashangaa kuona mchaga, mhaya na msukuma akiwa muislam!, wazungu ndio kabisa nitashangaa zaidi!
mchina muislam niliwahi kumuona kigamboni zile quarter za nssf. nilimshangaa
anaitwa Ali jina lake la pili la kikwao
jamaa anaswali swala 5. nilishangaa mnooooo. halafu ana roho nzuri balaa. kanisaidia sana wakati nafanya kazi za kubeba tofali
 
Europe. Islam is the fastest-growing religion in Europe. According to the Pew Research Center, the Muslim population in Europe (excluding Turkey) was about 30 million in 1990, and 44 million in 2010; the Muslim share of the population increased from 4.1% in 1990 to 6% in 2010.
Europe ambako waislam wa Nzega mnawatukana ni Mashoga ndio huko mnakokimbilia na kuzaliana kwenye amani.
 
mchina muislam niliwahi kumuona kigamboni zile quarter za nssf. nilimshangaa
anaitwa Ali jina lake la pili la kikwao
jamaa anaswali swala 5. nilishangaa mnooooo. halafu ana roho nzuri balaa. kanisaidia sana wakati nafanya kazi za kubeba tofali
Alikuwa Jasusi kazi maalum huyo
 
mchina muislam niliwahi kumuona kigamboni zile quarter za nssf. nilimshangaa
anaitwa Ali jina lake la pili la kikwao
jamaa anaswali swala 5. nilishangaa mnooooo. halafu ana roho nzuri balaa. kanisaidia sana wakati nafanya kazi za kubeba tofali
kuna mmoja huwa namuona luningani ni mtangazaji anaitwa zakia. Huko china majimbo ya kusini yana waislam
 
Kwani kuna wachina ambao ni waislam? Nikiona nitashangaa! Bongo sijawahi kuona mmasai ni muislam, huwa nashangaa kuona mchaga, mhaya na msukuma akiwa muislam!, wazungu ndio kabisa nitashangaa zaidi!
haha duh basi hujatembea duniani mkuu..wachina wasilamu wapo, wazungu wengi sana wapo. nime travel the world kiasi chake nimekutana nao.

kwa hapo bongoland sidhani kama kuna kabila linakosa watu wa imani zote kuu 2. ila hata mimi sijawahi kuona mzaramo/mmatumbi/mndengereko mkristo. wapo kweli?
 
haha duh basi hujatembea duniani mkuu..wachina wasilamu wapo, wazungu wengi sana wapo. nime travel the world kiasi chake nimekutana nao.

kwa hapo bongoland sidhani kama kuna kabila linakosa watu wa imani zote kuu 2. ila hata mimi sijawahi kuona mzaramo/mmatumbi/mndengereko mkristo. wapo kweli?
akina malasusa na timu yake pale dmp kkkt ni kabila gani hapa dar?
 
Europe ambako waislam wa Nzega mnawatukana ni Mashoga ndio huko mnakokimbilia na kuzaliana kwenye amani.
wakiambiwa uislam wa ulaya utakuwa ni kituko wanabisha na kusema uislam ni mmoja. Kule ni demokrasia + uislam, utapata uislam wa ajabu, waislam wa madongokuinama bongo ni wabishi
 
Kwani kuna wachina ambao ni waislam? Nikiona nitashangaa! Bongo sijawahi kuona mmasai ni muislam, huwa nashangaa kuona mchaga, mhaya na msukuma akiwa muislam!, wazungu ndio kabisa nitashangaa zaidi!
Mmasai hawezi kujilipua kigaidi ndo maana wanaogopa kwenda upande huo
 
Kizazi kibaya hakirakiwi kuongezeka kuzaliana kisicho na faida kwa dunia hakitakiwi kuongezeka

Binafsi inanimate sana wazungu kuendekeza ushoga ,usagaji na ndoa za Jinsia moja

Wazungu ndio wanaongoza kwa kugundua teknolojia zinazofanya dunia iwe kama kijiji na kuishi vizuri mno .Binafsu ningependa wazaliane sana wazungu na uzazi wa mpango ufutwe kwa wazungu ili waendelee kutuzal8shia ma genius

Kwa waislamu kiukweli wao kuzaliana sana hakuna faida yeyote ya maana kwa dunia na kwenye utengamano wa dunia

Waislamu wengi Wanazalisha tu watoto wa kusumbua dunia na amani na utengamano wa dunia wasio na faida yeyote kwa dunia zaidi ya kuzalisha vijahidina vyenye udini na chuki na watu wa dini zingine na wasio na dini

Kuna vizazi havitakiwi kuongezeka kama having faida kwa dunia
 
Hii China ambayo husifiwa sana humu na waislamu wa JF ndio hii inatumia kila mbinu za kila aina kuhakikisha hamzaliani huko, wanalazmisha hata mimba kuachika.

Kila siku mnaimba "death to America"................
========================

The Chinese government is taking draconian measures to slash birth rates among Uighurs and other minorities as part of a sweeping campaign to curb its Muslim population, even as it encourages some of the country’s Han majority to have more children.

While individual women have spoken out before about forced birth control, the practice is far more widespread and systematic than previously known, according to an AP investigation based on government statistics, state documents and interviews with 30 ex-detainees, family members and a former detention camp instructor. The campaign over the past four years in the far west region of Xinjiang is leading to what some experts are calling a form of “demographic genocide.”

The state regularly subjects minority women to pregnancy checks, and forces intrauterine devices, sterilization and even abortion on hundreds of thousands, the interviews and data show. Even while the use of IUDs and sterilization has fallen nationwide, it is rising sharply in Xinjiang.

Poleni brazaj
Ahsante kwa taarifa, lakini kumbuka hiyo ni mipango ya kibinadamu, na uislamu ungekuwa ni mipango ya kibinadamu na kwa jinsi unavyopigwa vita ungekuwa umeshakufa zamani, lakini ndiyo kwanza unazidi kushamiri.
 
Hii China ambayo husifiwa sana humu na waislamu wa JF ndio hii inatumia kila mbinu za kila aina kuhakikisha hamzaliani huko, wanalazmisha hata mimba kuachika.

Kila siku mnaimba "death to America"................
========================

The Chinese government is taking draconian measures to slash birth rates among Uighurs and other minorities as part of a sweeping campaign to curb its Muslim population, even as it encourages some of the country’s Han majority to have more children.

While individual women have spoken out before about forced birth control, the practice is far more widespread and systematic than previously known, according to an AP investigation based on government statistics, state documents and interviews with 30 ex-detainees, family members and a former detention camp instructor. The campaign over the past four years in the far west region of Xinjiang is leading to what some experts are calling a form of “demographic genocide.”

The state regularly subjects minority women to pregnancy checks, and forces intrauterine devices, sterilization and even abortion on hundreds of thousands, the interviews and data show. Even while the use of IUDs and sterilization has fallen nationwide, it is rising sharply in Xinjiang.

Poleni brazaj
Inafanya vizuri, wanajua madhara yake.
 
Nashukuru kwakujua kwamba uislam utazagaa sana
Europe. Islam is the fastest-growing religion in Europe. According to the Pew Research Center, the Muslim population in Europe (excluding Turkey) was about 30 million in 1990, and 44 million in 2010; the Muslim share of the population increased from 4.1% in 1990 to 6% in 2010.
huo uislam wa london utapoa zaidi na mwisho utatoweka kabisa. Umewahi kuona waimba kaswida wa magharibi wanavyovaa? Ni umagharibi mtupu, utadhani wako kwenye tamasha la muziki wa kidunia

View: https://x.com/TheHarrisSultan/status/1808693596968923335
 
wakioa mabinti wa kikristo huwazalisha bila mpango watoto wengi hawajali afya za mama wanaona bora wafe lakini wamezaa umma wa mahamadia
Uislamu ndio dini inayojali afya ya mama na mtoto na inajli uzazi wa mpango
 
mchina muislam niliwahi kumuona kigamboni zile quarter za nssf. nilimshangaa
anaitwa Ali jina lake la pili la kikwao
jamaa anaswali swala 5. nilishangaa mnooooo. halafu ana roho nzuri balaa. kanisaidia sana wakati nafanya kazi za kubeba tofali
Maa sha allah allah amhifadhi shekhe Allyyy
Uislamu unahimiza sana kua na roho safi
 
haha duh basi hujatembea duniani mkuu..wachina wasilamu wapo, wazungu wengi sana wapo. nime travel the world kiasi chake nimekutana nao.

kwa hapo bongoland sidhani kama kuna kabila linakosa watu wa imani zote kuu 2. ila hata mimi sijawahi kuona mzaramo/mmatumbi/mndengereko mkristo. wapo kweli?
Hakuna mpemba mkristo kwa kuzaliwa
 
Back
Top Bottom