China yaanza kulazimisha wanawake kuachika mimba kwenye jamii ya waislamu wapunguze kuzaliana

China yaanza kulazimisha wanawake kuachika mimba kwenye jamii ya waislamu wapunguze kuzaliana

Ndio maana munasapoti ushog na usagaji kama njia y depopolation mulivyokua hamjitmbui
Kama watu wanazaliana kaa kwa kutuli wewe kama huna kizazi acha watu wafyatue
Mwisho uislamu duniani unakua na utaendelea kukua hata kama maqafir mtachukia yaani
Ukikua mfano wewe utapata faida Gani ama Kuna gawio utapata. Ama unadhani ndio mtachukua Mungu wa wengine
 
Hatuna shida ya kuenea ,tumeshaona aina ya waislam wanaokuja uzuri hawatakua tena na vimelea vya itikadi kali za huko uarabuni,,wengi wameshafanyiwa dilution na wamagharibi,,,leo hii kaa na muislam wa london, tofauti kabisa na muislam wa hapo somali au hata pemba, tunataka waislam kama wa london waongezeke tu
huo uislam wa london utapoa zaidi na mwisho utatoweka kabisa. Umewahi kuona waimba kaswida wa magharibi wanavyovaa? Ni umagharibi mtupu, utadhani wako kwenye tamasha la muziki wa kidunia
 
Tatizo mnapenda kujazana ujinga na uwongo, uislamu wenyewe umeasisiwa na muarabu about 1,500 years ago, yaani miaka 500 baada ya Yesu, wewe unasema waislamu wamekua China maelfu ya miaka.
Kama hujui kitu bora kuuliza Islam upo China toka Tang dynasty
 
Hii China ambayo husifiwa sana humu na waislamu wa JF ndio hii inatumia kila mbinu za kila aina kuhakikisha hamzaliani huko, wanalazmisha hata mimba kuachika.

Kila siku mnaimba "death to America"................
========================

The Chinese government is taking draconian measures to slash birth rates among Uighurs and other minorities as part of a sweeping campaign to curb its Muslim population, even as it encourages some of the country’s Han majority to have more children.

While individual women have spoken out before about forced birth control, the practice is far more widespread and systematic than previously known, according to an AP investigation based on government statistics, state documents and interviews with 30 ex-detainees, family members and a former detention camp instructor. The campaign over the past four years in the far west region of Xinjiang is leading to what some experts are calling a form of “demographic genocide.”

The state regularly subjects minority women to pregnancy checks, and forces intrauterine devices, sterilization and even abortion on hundreds of thousands, the interviews and data show. Even while the use of IUDs and sterilization has fallen nationwide, it is rising sharply in Xinjiang.

Poleni brazaj
Hawa islamists wetu, elimu ndogo ndiyo maana hushabikia mambo bila ufahamu. Hawajui kuwa angalau nchi za western zimewapa uhuru; badala ya kuthamini hizo nchi wao hushabikia China na Urusi. China na Urusi huwa hazina lelemama zinaposhughulika na Waislamu. And mark my word, the first real crackdown of islam will be initiated by these countries. Time will tell very soon
 
Kwani kuna wachina ambao ni waislam? Nikiona nitashangaa! Bongo sijawahi kuona mmasai ni muislam, huwa nashangaa kuona mchaga, mhaya na msukuma akiwa muislam!, wazungu ndio kabisa nitashangaa zaidi!
Sisi mwiislam tuna muita mswahili hata misikiti iko mwanza mjini huku vijijini hakuna yaaan msukuma aache kwenda shamba kila mara akasali🤣
 
Hatuna shida ya kuenea ,tumeshaona aina ya waislam wanaokuja uzuri hawatakua tena na vimelea vya itikadi kali za huko uarabuni,,wengi wameshafanyiwa dilution na wamagharibi,,,leo hii kaa na muislam wa london, tofauti kabisa na muislam wa hapo somali au hata pemba, tunataka waislam kama wa london waongezeke tu
Uislam dunia nzima ni mmoja tuuu
 
uislamu haufi, labda shetani afe kwanza maana ndiye wenu, ni kama leo useme ufreemason utakufa, kwanza hizi siku za mwisho ndio shetani anapata wafuasi wengi, yaani uislamu utazagaa sana maana shetani anafanya kazi usiku na mchana, anawatumia mchinje watu kabla hawajatubu.
Nashukuru kwakujua kwamba uislam utazagaa sana
 
Hawa islamists wetu, elimu ndogo ndiyo maana hushabikia mambo bila ufahamu. Hawajui kuwa angalau nchi za western zimewapa uhuru; badala ya kuthamini hizo nchi wao hushabikia China na Urusi. China na Urusi huwa hazina lelemama zinaposhughulika na Waislamu. And mark my word, the first real crackdown of islam will be initiated by these countries. Time will tell very soon
Muislam asie na elimu ni sawa sawa na wasiokua waislam mia wenye elimu
Sababu kitendo tu chakua muislam ni elimu
 
... waislam kawaida yao ni wabishi tu, suala la uzazi wa mpango, unaoendeshwa na serikali, kwa China linawahusu watu wa makundi yote ya kijamii na sio waislam peke yake!
Mkuu muslims wana slogan yao za kuzaliana sana ili kuwa wengi duniani.

Hii ni moja ya agenda inayofanyiwa kazi popote anapokuwepo muislamu, ndiyo maana wanawake wasio dini hii wanaodanganywa na kupumbazwa kwa pesa ili waingie kwenye ndoa huwa wanaangukia pua mbele.

Labda kidogo sana muislamu msomi huyo ana adabu na hekima kutokana na ilimu na mazingira aliyopo but nyuma ya pazio ni shida.
 
hilo la wazungu kuuza majengo hayo lipo wazi ila hawawi waislam typically. Uislam wao utakuwa ni uislam wa kimagharibi, uislam chotara na feki
Wewe mlokole hauna unalojua wazungu wenyewe wanalalamika Uislam unaingia kwa kasi Ulaya na Marekani wewe upo Uyole unapinga 😂😂😂
 
Hii China ambayo husifiwa sana humu na waislamu wa JF ndio hii inatumia kila mbinu za kila aina kuhakikisha hamzaliani huko, wanalazmisha hata mimba kuachika.

Kila siku mnaimba "death to America"................
========================

The Chinese government is taking draconian measures to slash birth rates among Uighurs and other minorities as part of a sweeping campaign to curb its Muslim population, even as it encourages some of the country’s Han majority to have more children.

While individual women have spoken out before about forced birth control, the practice is far more widespread and systematic than previously known, according to an AP investigation based on government statistics, state documents and interviews with 30 ex-detainees, family members and a former detention camp instructor. The campaign over the past four years in the far west region of Xinjiang is leading to what some experts are calling a form of “demographic genocide.”

The state regularly subjects minority women to pregnancy checks, and forces intrauterine devices, sterilization and even abortion on hundreds of thousands, the interviews and data show. Even while the use of IUDs and sterilization has fallen nationwide, it is rising sharply in Xinjiang.

Poleni brazaj
Wala sijakuelewa ulipoandika mimba kuachika sijawahi kusikia kuhusu mimba kuachika
 
Mkuu muslims wana slogan yao za kuzaliana sana ili kuwa wengi duniani.

Hii ni moja ya agenda inayofanyiwa kazi popote anapokuwepo muislamu, ndiyo maana wanawake wasio dini hii wanaodanganywa na kupumbazwa kwa pesa ili waingie kwenye ndoa huwa wanaangukia pua mbele.

Labda kidogo sana muislamu msomi huyo ana adabu na hekima kutokana na ilimu na mazingira aliyopo but nyuma ya pazio ni shida.
wakioa mabinti wa kikristo huwazalisha bila mpango watoto wengi hawajali afya za mama wanaona bora wafe lakini wamezaa umma wa mahamadia
 
... draconian = harsh and severe!
Kinachowaunganisha middle east hardliners with China it is simply they think that China is against US and the West whom they see as their common enemy. But in reality, China ni mbaya kwa foreign faiths including theirs kwa kiwango kisicho na mfano.
You nailed it!
 
Europe. Islam is the fastest-growing religion in Europe. According to the Pew Research Center, the Muslim population in Europe (excluding Turkey) was about 30 million in 1990, and 44 million in 2010; the Muslim share of the population increased from 4.1% in 1990 to 6% in 2010.
 
Wewe mlokole hauna unalojua wazungu wenyewe wanalalamika Uislam unaingia kwa kasi Ulaya na Marekani wewe upo Uyole unapinga 😂😂😂
Wanamlalamikia nani wazungu?
 
... draconian = harsh and severe!
Kinachowaunganisha middle east hardliners with China it is simply they think that China is against US and the West whom they see as their common enemy. But in reality, China ni mbaya kwa foreign faiths including theirs kwa kiwango kisicho na mfano.
Kama kuna adui duniani wakwanza ni China
 
Back
Top Bottom