China yaanza kulazimisha wanawake kuachika mimba kwenye jamii ya waislamu wapunguze kuzaliana

Kwani kuna wachina ambao ni waislam? Nikiona nitashangaa! Bongo sijawahi kuona mmasai ni muislam, huwa nashangaa kuona mchaga, mhaya na msukuma akiwa muislam!, wazungu ndio kabisa nitashangaa zaidi!
mchina muislam niliwahi kumuona kigamboni zile quarter za nssf. nilimshangaa
anaitwa Ali jina lake la pili la kikwao
jamaa anaswali swala 5. nilishangaa mnooooo. halafu ana roho nzuri balaa. kanisaidia sana wakati nafanya kazi za kubeba tofali
 
Europe ambako waislam wa Nzega mnawatukana ni Mashoga ndio huko mnakokimbilia na kuzaliana kwenye amani.
 
mchina muislam niliwahi kumuona kigamboni zile quarter za nssf. nilimshangaa
anaitwa Ali jina lake la pili la kikwao
jamaa anaswali swala 5. nilishangaa mnooooo. halafu ana roho nzuri balaa. kanisaidia sana wakati nafanya kazi za kubeba tofali
Alikuwa Jasusi kazi maalum huyo
 
mchina muislam niliwahi kumuona kigamboni zile quarter za nssf. nilimshangaa
anaitwa Ali jina lake la pili la kikwao
jamaa anaswali swala 5. nilishangaa mnooooo. halafu ana roho nzuri balaa. kanisaidia sana wakati nafanya kazi za kubeba tofali
kuna mmoja huwa namuona luningani ni mtangazaji anaitwa zakia. Huko china majimbo ya kusini yana waislam
 
Kwani kuna wachina ambao ni waislam? Nikiona nitashangaa! Bongo sijawahi kuona mmasai ni muislam, huwa nashangaa kuona mchaga, mhaya na msukuma akiwa muislam!, wazungu ndio kabisa nitashangaa zaidi!
haha duh basi hujatembea duniani mkuu..wachina wasilamu wapo, wazungu wengi sana wapo. nime travel the world kiasi chake nimekutana nao.

kwa hapo bongoland sidhani kama kuna kabila linakosa watu wa imani zote kuu 2. ila hata mimi sijawahi kuona mzaramo/mmatumbi/mndengereko mkristo. wapo kweli?
 
akina malasusa na timu yake pale dmp kkkt ni kabila gani hapa dar?
 
Europe ambako waislam wa Nzega mnawatukana ni Mashoga ndio huko mnakokimbilia na kuzaliana kwenye amani.
wakiambiwa uislam wa ulaya utakuwa ni kituko wanabisha na kusema uislam ni mmoja. Kule ni demokrasia + uislam, utapata uislam wa ajabu, waislam wa madongokuinama bongo ni wabishi
 
Kwani kuna wachina ambao ni waislam? Nikiona nitashangaa! Bongo sijawahi kuona mmasai ni muislam, huwa nashangaa kuona mchaga, mhaya na msukuma akiwa muislam!, wazungu ndio kabisa nitashangaa zaidi!
Mmasai hawezi kujilipua kigaidi ndo maana wanaogopa kwenda upande huo
 
Kizazi kibaya hakirakiwi kuongezeka kuzaliana kisicho na faida kwa dunia hakitakiwi kuongezeka

Binafsi inanimate sana wazungu kuendekeza ushoga ,usagaji na ndoa za Jinsia moja

Wazungu ndio wanaongoza kwa kugundua teknolojia zinazofanya dunia iwe kama kijiji na kuishi vizuri mno .Binafsu ningependa wazaliane sana wazungu na uzazi wa mpango ufutwe kwa wazungu ili waendelee kutuzal8shia ma genius

Kwa waislamu kiukweli wao kuzaliana sana hakuna faida yeyote ya maana kwa dunia na kwenye utengamano wa dunia

Waislamu wengi Wanazalisha tu watoto wa kusumbua dunia na amani na utengamano wa dunia wasio na faida yeyote kwa dunia zaidi ya kuzalisha vijahidina vyenye udini na chuki na watu wa dini zingine na wasio na dini

Kuna vizazi havitakiwi kuongezeka kama having faida kwa dunia
 
Ahsante kwa taarifa, lakini kumbuka hiyo ni mipango ya kibinadamu, na uislamu ungekuwa ni mipango ya kibinadamu na kwa jinsi unavyopigwa vita ungekuwa umeshakufa zamani, lakini ndiyo kwanza unazidi kushamiri.
 
Inafanya vizuri, wanajua madhara yake.
 
Nashukuru kwakujua kwamba uislam utazagaa sana
huo uislam wa london utapoa zaidi na mwisho utatoweka kabisa. Umewahi kuona waimba kaswida wa magharibi wanavyovaa? Ni umagharibi mtupu, utadhani wako kwenye tamasha la muziki wa kidunia

View: https://x.com/TheHarrisSultan/status/1808693596968923335
 
wakioa mabinti wa kikristo huwazalisha bila mpango watoto wengi hawajali afya za mama wanaona bora wafe lakini wamezaa umma wa mahamadia
Uislamu ndio dini inayojali afya ya mama na mtoto na inajli uzazi wa mpango
 
mchina muislam niliwahi kumuona kigamboni zile quarter za nssf. nilimshangaa
anaitwa Ali jina lake la pili la kikwao
jamaa anaswali swala 5. nilishangaa mnooooo. halafu ana roho nzuri balaa. kanisaidia sana wakati nafanya kazi za kubeba tofali
Maa sha allah allah amhifadhi shekhe Allyyy
Uislamu unahimiza sana kua na roho safi
 
Hakuna mpemba mkristo kwa kuzaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…