thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,843
- 4,796
aiseeh, china hii ambayo uchumi wake unaweza kutingishwa na usa na ukatingishika? Trump aliweka vikwazo baadhi ya bidhaa za china uchumi ukashuka toka 6.8(2018) hadi 6.0(2019)Namaanisha inadondondoka kutoka dola kuu kwenda dola la hovyo
Kumbuka tofauti ya China na usa kwa sasa GDP ni dola tilion tano tu
China ni silent killer
Sent using Jamii Forums mobile app