China yaiomba Marekani kutimiza wajibu wake kwa WHO

China yaiomba Marekani kutimiza wajibu wake kwa WHO

Wao wanaojiita super power si nisawa namwanaume kwenye nyumba unategemea mwanaume atoe pesa sawa namkewe katika nyumba[emoji23][emoji23][emoji23]


Polen sana asee[emoji3][emoji16][emoji23][emoji12][emoji14]

US Anahangaika tusasa anatapa tapa tu

Sent using My COVID-19
Hivi Huoni kiroma ilivyo fanya mambo yamekua magumu huku kwetu, tujifunze kuacha ushabik usio na tija, Corona sio janga la marekani ni Ujinga kudhani hivyo
 
Mtakapo athirika ndio mtatia akili yakujitegemea wenyewe sio kutegemea vyakupewa[emoji23][emoji23][emoji23]
Waziri wa Mambo ya kigeni wa uchina anasema 'US kutotoa pesa WHO huenda ikaathili nchi zote duniani' [emoji3][emoji3] yaani kujitoa kwa nchi moja tu US inaathili nchi zote ulimwenguni, hiv waajemi wanachangiaga shi ngapi kweli? Hata hivyo Iran hata isipotoa hivyo visenti vyake hakuna athari hata kwenye kata moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
IRAN Wanapambana nawao kujieka sawa katika taifa lao nyie kaeni tu mngojee misaada[emoji23][emoji2][emoji12][emoji14]

Sent using My COVID-19
 
Sijasema kwamba ni wazuri, lakin huwez fananisha na wachina angalia wenzako wanachofanyiwa Guangzhou in 21 century
Ubaguzi hata pale Afrika Kusini Kwa Waafrika Wenzenu Mnabaguliwa Seuze Huko UCHINA na US Kama Sisi Wenyewe Hatujitambui Wao Watatutambua ?!

Sent using My COVID-19
 
CORONA Nijanga Lakidunia Halina Ubishi Ndio Ukae Uelewe Kama US Hana Ubina Adamu Anakata Msaada Katika Kipindi Kigumu Kama Hiki Kwahio Maadam Kaishakata Wataka watu wambembeleze wampigie magoti yeye kama nani ?!
Hivi Huoni kiroma ilivyo fanya mambo yamekua magumu huku kwetu, tujifunze kuacha ushabik usio na tija, Corona sio janga la marekani ni Ujinga kudhani hivyo
Kuna wakati mtu anapo amua kwenda zake inabidi umuache aende sio kumbembeleza kwani hili ndio shirika lakwanza kujitoa nambona maisha yapo na yanaendelea kama kawaida ?!.

Sent using My COVID-19
 
CORONA Nijanga Lakidunia Halina Ubishi Ndio Ukae Uelewe Kama US Hana Ubina Adamu Anakata Msaada Katika Kipindi Kigumu Kama Hiki Kwahio Maadam Kaishakata Wataka watu wambembeleze wampigie magoti yeye kama nani ?! Kuna wakati mtu anapo amua kwenda zake inabidi umuache aende sio kumbembeleza kwani hili ndio shirika lakwanza kujitoa nambona maisha yapo na yanaendelea kama kawaida ?!.

Sent using My COVID-19
Duniani Kuna nchi ngapi, Kama yeye amekataa wengine wachangie kwani wamenyimwa, haya ndo matokeo ya fikra tegemezi
 
Halafu hapo hapo US Akaenda Nunua Mask huko huko UCHINA Akawa anawachangia bila kujijua[emoji16]

MCHINA ss hv kawa kama maji asee usipomnywa utamuoga .

Sent using My COVID-19
Nikikuharibia dili la milioni 500 halafu nikaja kwako kukupa biashara ya 50k nimekutajirisha au nimeharibu? Anachokifanya mmarekani ni kujaribu kumwaga ugali wa mchina maana China ilishaandaa mboga yake kwa kutangulia kutoa 5g. China atammaliza endapo atafund WHO na kutoa vaxine kila nchi ambayo anategemea kukuza biashara zake.
 
Nimekuja hivi nyie mmnomuogopa mchina naomba hapa sebuleni kwako muniolozeshee vifaa vya kichina na usa sasa hivi maana mie bila mchina sipigi pesa ktk mishe zangu hapa dukani acheni umbumbu !
 
Nikikuharibia dili la milioni 500 halafu nikaja kwako kukupa biashara ya 50k nimekutajirisha au nimeharibu? Anachokifanya mmarekani ni kujaribu kumwaga ugali wa mchina maana China ilishaandaa mboga yake kwa kutangulia kutoa 5g. China atammaliza endapo atafund WHO na kutoa vaxine kila nchi ambayo anategemea kukuza biashara zake.
Hivi ni kampuni ya kichina ambayo wako kwenye majaribio ya kutengeneza vaccine ya corona
 
Nimekuja hivi nyie mmnomuogopa mchina naomba hapa sebuleni kwako muniolozeshee vifaa vya kichina na usa sasa hivi maana mie bila mchina sipigi pesa ktk mishe zangu hapa dukani acheni umbumbu !
Bidhaa za kimarekani au za Western world ni bei ghali Ila Zina dumu sana, china anakutengenezea bidhaa bei Chee Ila haidumu na ubora unakua hafifu kwa unaapata kulingana na uwezo wako

Mfano dawa nyingi hapa Tanzania zinatoka India, kwa sababu India amepewa kibali Cha kutengeneza dawa kwa bei nafuu ili watu wake ambao ni maskin wa-afford na hata kutoka afrika
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Duniani Kuna nchi ngapi, Kama yeye amekataa wengine wachangie kwani wamenyimwa, haya ndo matokeo ya fikra tegemezi
Unapokua baba katika familia tegemea kutoa pesa nyingi zamahitaji ama zote

Unajiita baba halaf unataka pesa atoe US ndio maana alipojitoa upande flan nimefurahi maana watu watakufa pengbe hata mm naweza nikawa mmoja wao miongoni mwa watakaokufa ila baada ya hapo watu akili itawakaa sawa na wata elewa umuhimu wakutokua wategemezi

US Anazipelekesha sekta nyingi zakimataifa sababu anachangia pesa nyingi mfano juzi kazuia msaada wa Monetary Fund Kwa IRA Kisa anajua yeye ndio final say kauli yake haipingwi

Alisema majeshi yake hayashtakiwi ICC Nakweli hayajashtakiwa wakati ICC wanajifanya ndio wao wababe wanaojua hukumu


Taasisi nyingi ama zote duniani inatakiwa asizidishe mtu hata mia kuepuka upendeleo nandio kinachoenda kutokea DUNIANI Huku Kujitoa US Kwahizi Taasisi Kunaweza kukawa naathari hata yamiaka 10 ila zikija kukaa sawa hukumu watakayoipata wakenya na US Zitakua same kutakua na usaawa nandilo linalotakiwa .

Sent using My COVID-19
 
Kama ili US Asambaratike lazma nasisi tusambaratike basi sio mbaya mhim US Asambaratike tuuh.

Sent using My COVID-19
Sasa wewe US akisambaratika hautashuhudia "msambaratiko " wake kwa sababu wewe utakuwa umefutika kabisa hata alama yako haitakuwepo.
Yaani ipo hivi.
US aki-fall, bado ataonekana yupo juu kwa nchi nyingi sana. Yaani akianguka hatua moja sisi nchi nyingine tunaporomoka hatua 5. Kwahiyo bado atakuwa juu tuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikikuharibia dili la milioni 500 halafu nikaja kwako kukupa biashara ya 50k nimekutajirisha au nimeharibu? Anachokifanya mmarekani ni kujaribu kumwaga ugali wa mchina maana China ilishaandaa mboga yake kwa kutangulia kutoa 5g. China atammaliza endapo atafund WHO na kutoa vaxine kila nchi ambayo anategemea kukuza biashara zake.
Wakati huo US Anammaliza MCHINA Yeye US Kwao Hawazalishi Kitu Viwanda Vimefungwa watu wake wanakufa shughuli zakiuchumi karibia zote ama nusu narobo zimesimama wakati WACHINA Walisimamisha kwamuda sasa hv wanapiga kazi

Kama US Kapeleka Gonjwa hili Kwa UCHINA Kama Unavyodai Kafeli Sana Maana Limemrejelea Mwenyewe Pamoja Nawashirika Wake Sio UCHINA Kama alivyodhamiria

Kwahapa kama kafanya US Kama Unavyodai Kafeli Vibayaaaaa.

Sent using My COVID-19
 
Kumbe unajua kama nikulingana na uwezo wako kama umelijua hili nashukuru sana
Bidhaa za kimarekani au za Western world ni bei ghali Ila Zina dumu sana, china anakutengenezea bidhaa bei Chee Ila haidumu na ubora unakua hafifu kwa unaapata kulingana na uwezo wako

Mfano dawa nyingi hapa Tanzania zinatoka India, kwa sababu India amepewa kibali Cha kutengeneza dawa kwa bei nafuu ili watu wake ambao ni maskin wa-afford na hata kutoka afrika
Unahisi Hao US wanavyouza Kwao Ndio Wanavyouza Hapa Kwetu Afrika ?!

Sent using My COVID-19
 
Sasa wewe US akisambaratika hautashuhudia "msambaratiko " wake kwa sababu wewe utakuwa umefutika kabisa hata alama yako haitakuwepo.
Yaani ipo hivi.
US aki-fall, bado ataonekana yupo juu kwa nchi nyingi sana. Yaani akianguka hatua moja sisi nchi nyingine tunaporomoka hatua 5. Kwahiyo bado atakuwa juu tuu.
Kufail kwa US Kama ilivyokua kwa USSR UK ROMA Nawengineo Hawez kuja kua kama SOMALIA KONGO n.k Ila atapoteza ila hadhi nasifa alokua nayo Awali Pia hata kama ntakufa akipoteza anachoringia sasa ntajihisi amani sana huko kaburini ama mavumbini.

Sent using My COVID-19
 
Kufail kwa US Kama ilivyokua kwa USSR UK ROMA Nawengineo Hawez kuja kua kama SOMALIA KONGO n.k Ila atapoteza ila hadhi nasifa alokua nayo Awali Pia hata kama ntakufa akipoteza anachoringia sasa ntajihisi amani sana huko kaburini ama mavumbini.

Sent using My COVID-19
Haya maisha yaani unamchukia mtu asiyekua na mda na wewe uko ni kujitesa, hata u.s asipokua superpower sidhani Kama Kuna kitu kitaongezeka kwenye maisha yako mim binafsi hakuna nchi nayouchukia
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom