Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunavyosema ubaguz sio Kila mwafrika anabaguliwa, Ila wengi wao wanabaguliwa kwa kutokujua au kwa kujuaMbona mimi sibaguliwi na sijawahi kuona wenzangu wakibaguliwa? zaidi tunajiongezea marafiki daily.
Masikiniii!Hao wazuri wangewafanya mababu zenu kuwa watumwa ?!.
Sent using My COVID-19
Yani nyie watu bana!Tunavyosema ubaguz sio Kila mwafrika anabaguliwa, Ila wengi wao wanabaguliwa kwa kutokujua au kwa kujua
Hata hizo sehemu multicultural ubaguzi upo sema sio direct Ila upoYani nyie watu bana!
Sehemu yeyote ambayo sio multicultural ukienda lazima ubaguliwe haijalishi wewe race yako ni ipi.
.
America states nyingi ni multicultural sawa na London pamoja na Birmingham huwezi kubaguliwa.
Niliko mimi mtu kutoka Africa niko peke yangu wengine wote ni India, China, Brazil, Serbia na Americans wenyewe sasa embu jiulize how come sibaguliwi.
Wamewahi kuja kuipiga mabomu nchi yako hadi useme hivyo?
Kwamba utajihisi Aman sana, mim china Sina chuki na China na haininyimi amani, tofaut na wewe marekani inakunyima amani ndo utofauti
Kwahio unakubali kwamba US Kuna hila ambazo anazifanya dhidi ya UCHINA ?!.Sababu ni kuwa super power. Marekani ni super power, china inatamani hiyo nafasi. Hata nchi zingine pia ni vile hazina ubavu. Hata nchi yetu tunatamani tuwe na sauti tukisema No ni No, Yes ni Yes.
Mke kashakimbia Nyumba Kawaacha wanaume[emoji16][emoji16][emoji16]
Hapa ndio mnapo feli kuugawa ubaguzi katika makundi tofauti kwahio ubaguzi wawazungu upitishwe kama unakubalika ?!Unajua wazungu Wana ubaguzi wa indirect Ila wachina ni wazi wazi wabagua wa-afrika,
Vp kuhusiana na UNESCO Kuhusiana na ICC kuhusiana na Ule Mkataba Wahali YahewaKwa mtazamo wangu
1. USA ni super power, ana fadhili kiasi kikubwa sana kwenye mashirika ya kimataifa ikilinganishwa na nchi zingine. Lengo kubwa ni kuendelea kumaintain status yake. Hawezi kuendelea kufadhili shirika lenye mlengo unaotishia status yake
2. Sera ya Trump since day 1 ilikua ni "America kwanza" ikihusisha kupunguza committments za US nje na kujikita ndani zaidi. Hata washirika wake NATO walielezwa pia
3. Kwa kuchukua hiyo (1) na (2) naamini hakuna cha ajabu wala kuilaumu US kwa uamuzi wake. WHO ilishaanza kuonyesha ujeuri mapema, kushindwa kui "quarantine" China mapema. Mbona Liberia ilifanyiwa hivyo wakati wa Ebola na ilileta mafanikio. Sasa US kama mfadhili mkuu hana sababu ya kuendelea kukumbatia shirika linalomdhuru. Hata ningekua mimi ningejitoa
Kwasababu China ndo kaifikisha dunia hapa, ajitutumue tuione roho yake nzuri
Kwani uteseke ewe MYAHUDI[emoji23][emoji23][emoji23]Akili za mashia na masalafi hizi.
Ufe ili eti uende peponi idiot
Wapi katajwa US Hapo?!Masikiniii!
Lini America ali-colonize Africa au taifa lolote lile?
Kubaguliwa sio lazima nidesturi chafu ambazo zinatakiwa zipigwe vita na kukemewa kabisa kabisa.Yani nyie watu bana!
Sehemu yeyote ambayo sio multicultural ukienda lazima ubaguliwe haijalishi wewe race yako ni ipi.
.
America states nyingi ni multicultural sawa na London pamoja na Birmingham huwezi kubaguliwa.
Niliko mimi mtu kutoka Africa niko peke yangu wengine wote ni India, China, Brazil, Serbia na Americans wenyewe sasa embu jiulize how come sibaguliwi.
Ndio maana ya kua super power na hizi ndio gharama zake.,,sasa yeye aache kutoa fedha/aendelee kujifanya mbabe aone kama kuna nchi zitamuogopa.Nilichogundua mashirika haya makubwa ya Kimataifa yote lazima yapige hodi US
China sio multicultural? Nilikwambia you're suffering delusional tafuta hela uende Guangzhou au Hong Kong ukajionee wa-Africa walivyojaa.Sehemu ambayo sio multicultural lazma ubaguliwe yaani watu bana halaf mnapinga nn kuhusu ubaguzi wawachina kama unalijua hili ?!Kubaguliwa sio lazima nidesturi chafu ambazo zinatakiwa zipigwe vita na kukemewa kabisa kabisa.
Sent using My COVID-19
Kid can you taks your pills?Wapi katajwa US Hapo?!
Mbna unakurupuka US Beibe[emoji23][emoji16][emoji54]
Sent using My COVID-19
Ukamjibu hao wazuri wangewafanya babu zake kuwa watumwa?Hakuna watu wanaowabagua waafrika Kama wachina, China kuwa super-power ni habari mbaya kwa afrika hakuna watu wakatili kwa waafrika Kama wale
I am not a Jew I AM A CHRISTIAN!Kwani uteseke ewe MYAHUDI[emoji23][emoji23][emoji23]
kufa nisuala lamuda tu kama unandoto zakuishi milele unajidanganya
Sent using My COVID-19
Mashia na masalafi sijui mkoje ndio maana federal government ikawabanKama ili US Asambaratike lazma nasisi tusambaratike basi sio mbaya mhim US Asambaratike tuuh.
Sent using My COVID-19
OMG! To your definition kuwa world super power is funding UN na mataifa mengine? 😨Ndio maana ya kua super power na hizi ndio gharama zake.,,sasa yeye aache kutoa fedha/aendelee kujifanya mbabe aone kama kuna nchi zitamuogopa.
Hivi nchi kama hazikutegemei kwa lolote unadhani utaanza kuzitisha ooh nakuwekea vikwazo vya kufanya biashara na nchi nyingine unadhani nchi gani itamsikiliza US maana wanajua hawategemei pesa yake kwa chochote kile.
Tena inatakiwa aache kutoa pesa kwny kila kitu from huko UN to misaada kwa nchi mbalimbali uone huo U-super power/influence yake itakuwaje huko duniani.