China yaiomba Marekani kutimiza wajibu wake kwa WHO

China yaiomba Marekani kutimiza wajibu wake kwa WHO

Tunavyosema ubaguz sio Kila mwafrika anabaguliwa, Ila wengi wao wanabaguliwa kwa kutokujua au kwa kujua
Yani nyie watu bana!
Sehemu yeyote ambayo sio multicultural ukienda lazima ubaguliwe haijalishi wewe race yako ni ipi.
.
America states nyingi ni multicultural sawa na London pamoja na Birmingham huwezi kubaguliwa.
Niliko mimi mtu kutoka Africa niko peke yangu wengine wote ni India, China, Brazil, Serbia na Americans wenyewe sasa embu jiulize how come sibaguliwi.
 
Yani nyie watu bana!
Sehemu yeyote ambayo sio multicultural ukienda lazima ubaguliwe haijalishi wewe race yako ni ipi.
.
America states nyingi ni multicultural sawa na London pamoja na Birmingham huwezi kubaguliwa.
Niliko mimi mtu kutoka Africa niko peke yangu wengine wote ni India, China, Brazil, Serbia na Americans wenyewe sasa embu jiulize how come sibaguliwi.
Hata hizo sehemu multicultural ubaguzi upo sema sio direct Ila upo

Mfano china chance ya mzungu kubaguliwa ni ndogo sana tofauti na mwafrika
 
US Haininyimi Amani Maana Najua Usupa pawa hauja anzia kwake nawala hautamalizia kwake nimbio tu zavijiti kwan watu walidhania kama hitler atakuja kua under dog

Uzuri wamuda hua haudanganyi.
Kwamba utajihisi Aman sana, mim china Sina chuki na China na haininyimi amani, tofaut na wewe marekani inakunyima amani ndo utofauti

Sent using My COVID-19
 
Suala la UCHINA Kuihitaji Ile Nafasi wala sijazipinga
Sababu ni kuwa super power. Marekani ni super power, china inatamani hiyo nafasi. Hata nchi zingine pia ni vile hazina ubavu. Hata nchi yetu tunatamani tuwe na sauti tukisema No ni No, Yes ni Yes.
Kwahio unakubali kwamba US Kuna hila ambazo anazifanya dhidi ya UCHINA ?!.

Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua wazungu Wana ubaguzi wa indirect Ila wachina ni wazi wazi wabagua wa-afrika,
Hapa ndio mnapo feli kuugawa ubaguzi katika makundi tofauti kwahio ubaguzi wawazungu upitishwe kama unakubalika ?!

Sent using My COVID-19
 
Nakule kwayale mashirika mengine alojitoa kajitoa kwasababu gan ?! Kama hili la WHO Tuseme yuko sahihi kwa zaidi ya 100%
Kwa mtazamo wangu
1. USA ni super power, ana fadhili kiasi kikubwa sana kwenye mashirika ya kimataifa ikilinganishwa na nchi zingine. Lengo kubwa ni kuendelea kumaintain status yake. Hawezi kuendelea kufadhili shirika lenye mlengo unaotishia status yake

2. Sera ya Trump since day 1 ilikua ni "America kwanza" ikihusisha kupunguza committments za US nje na kujikita ndani zaidi. Hata washirika wake NATO walielezwa pia

3. Kwa kuchukua hiyo (1) na (2) naamini hakuna cha ajabu wala kuilaumu US kwa uamuzi wake. WHO ilishaanza kuonyesha ujeuri mapema, kushindwa kui "quarantine" China mapema. Mbona Liberia ilifanyiwa hivyo wakati wa Ebola na ilileta mafanikio. Sasa US kama mfadhili mkuu hana sababu ya kuendelea kukumbatia shirika linalomdhuru. Hata ningekua mimi ningejitoa

Kwasababu China ndo kaifikisha dunia hapa, ajitutumue tuione roho yake nzuri
Vp kuhusiana na UNESCO Kuhusiana na ICC kuhusiana na Ule Mkataba Wahali Yahewa


US Anaanguka kidogo kidogo anaipa dunia uwepesi sababu itafikia kipindi atakua hasikilizwi katika maamuzi sababu atakua hana nguvu

Juzi kaiamuri IMF Isitoe pesa kwan IRAN Na ikatii kwasababu US Anachangia pesa kubwa katika ile Taasisi unahisi ikitokea akajitoa wakachangia sawa atakua na sauti gan ?!

Maamuzi anayo yachukua sasa US yanaiumiza ama yataiumiza DUNIA Kwamuda Ila Yatakuja Kuiumiza US Milele Maana Watakua washapoteza Ile Status Walokua Nayo Awali


Natamani wajitoe katika mashirika yote wanayo yatolea misaada ili iundwe sawa wanachama wote wachangie sawa hatakama itakua hamsini hamsini ili hata hukumu zikitoka ziwe sawa

Sent using My COVID-19
 
Sehemu ambayo sio multicultural lazma ubaguliwe yaani watu bana halaf mnapinga nn kuhusu ubaguzi wawachina kama unalijua hili ?!
Yani nyie watu bana!
Sehemu yeyote ambayo sio multicultural ukienda lazima ubaguliwe haijalishi wewe race yako ni ipi.
.
America states nyingi ni multicultural sawa na London pamoja na Birmingham huwezi kubaguliwa.
Niliko mimi mtu kutoka Africa niko peke yangu wengine wote ni India, China, Brazil, Serbia na Americans wenyewe sasa embu jiulize how come sibaguliwi.
Kubaguliwa sio lazima nidesturi chafu ambazo zinatakiwa zipigwe vita na kukemewa kabisa kabisa.

Sent using My COVID-19
 
Nilichogundua mashirika haya makubwa ya Kimataifa yote lazima yapige hodi US
Ndio maana ya kua super power na hizi ndio gharama zake.,,sasa yeye aache kutoa fedha/aendelee kujifanya mbabe aone kama kuna nchi zitamuogopa.

Hivi nchi kama hazikutegemei kwa lolote unadhani utaanza kuzitisha ooh nakuwekea vikwazo vya kufanya biashara na nchi nyingine unadhani nchi gani itamsikiliza US maana wanajua hawategemei pesa yake kwa chochote kile.

Tena inatakiwa aache kutoa pesa kwny kila kitu from huko UN to misaada kwa nchi mbalimbali uone huo U-super power/influence yake itakuwaje huko duniani.
 
Sehemu ambayo sio multicultural lazma ubaguliwe yaani watu bana halaf mnapinga nn kuhusu ubaguzi wawachina kama unalijua hili ?!Kubaguliwa sio lazima nidesturi chafu ambazo zinatakiwa zipigwe vita na kukemewa kabisa kabisa.

Sent using My COVID-19
China sio multicultural? Nilikwambia you're suffering delusional tafuta hela uende Guangzhou au Hong Kong ukajionee wa-Africa walivyojaa.
.
Please take your medication
 
Wapi katajwa US Hapo?!
Mbna unakurupuka US Beibe[emoji23][emoji16][emoji54]

Sent using My COVID-19
Kid can you taks your pills?
.
Hakuna watu wanaowabagua waafrika Kama wachina, China kuwa super-power ni habari mbaya kwa afrika hakuna watu wakatili kwa waafrika Kama wale
Ukamjibu hao wazuri wangewafanya babu zake kuwa watumwa?
.
Unaweza kutupa hiyo historia mpya sisi wahenga America ilivyo-colonize Tanzania na Africa kwa ujumla?
Au ulipitiwa ukadhani America ni Arabs na Waajemi? Maana hawa ndo waliwafanya babu zako watumwa
 
Kwani uteseke ewe MYAHUDI[emoji23][emoji23][emoji23]


kufa nisuala lamuda tu kama unandoto zakuishi milele unajidanganya

Sent using My COVID-19
I am not a Jew I AM A CHRISTIAN!
.
Mtu kama huyu wewe kwa akili yako unafikiri atashindwa kujilipua ama kumchinja mtu kichwa kisa kamtukana Mwamedi au mashia menzake?😟

Kama ili US Asambaratike lazma nasisi tusambaratike basi sio mbaya mhim US Asambaratike tuuh.

Sent using My COVID-19
Mashia na masalafi sijui mkoje ndio maana federal government ikawaban
 
Ndio maana ya kua super power na hizi ndio gharama zake.,,sasa yeye aache kutoa fedha/aendelee kujifanya mbabe aone kama kuna nchi zitamuogopa.

Hivi nchi kama hazikutegemei kwa lolote unadhani utaanza kuzitisha ooh nakuwekea vikwazo vya kufanya biashara na nchi nyingine unadhani nchi gani itamsikiliza US maana wanajua hawategemei pesa yake kwa chochote kile.

Tena inatakiwa aache kutoa pesa kwny kila kitu from huko UN to misaada kwa nchi mbalimbali uone huo U-super power/influence yake itakuwaje huko duniani.
OMG! To your definition kuwa world super power is funding UN na mataifa mengine? 😨
 
Trumpet amebugi. Tatizo amewageuza watoto wake kuwa washauri wa rais. Watoto wenyewe wamekulia vilabu vya pombe na wengine ni mateja.
 
Back
Top Bottom