China yaiomba Marekani kutimiza wajibu wake kwa WHO

China yaiomba Marekani kutimiza wajibu wake kwa WHO

Mambo ya dada yametoka wapi umepanic tayari. Huku ili usijibiwe usicomment chochote, uki-comment either mtu alike, areport, au areply unatakiwa ujiandae na hivyo vitu vitatu ndo maana ya forums
Jamaa haelewi chochote yupo tuu anavuta hewa ya bure nakuichosha miguu yake kubeba kichwa nazi
 
Jeuri yake anayoila inalika kula nawewe jeuri yako sasa kama unaweza[emoji23][emoji23]

Lazma mule mpaka mawe[emoji12][emoji14]

Sent using My COVID-19
Tule mawe wakat dunia iko kiganjani mwetu[emoji3][emoji3], kwa kosa la kuupotosha uislam dunia nzima iko against maAyatollah, watakula jeuri yao mpaka watakapoacha huo upotofu wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu wana comment kiushabiki na wanasahau uhalisia kwamba wa kwanza kuathirika ni sisi huku nchi zisizo "jielewa" hasa viongozi wetu.

Nikifikiria magonjwa yenye udhamini wa taifa la USA, TB, HIV na malaria sioni hawa ndugu zetu watapata wapi msaada wa madawa haya kwa urahisi na wakati sahihi.

Nikikumbuka mwaka jana nina ndugu namuuguza ana TB kuna kipindi dawa ziliadimika dozi ikawa haipatikani kwa ukamilifu hii ni baada ya mdhamini kumaliza muda wake wa kutoa huduma.

Kiukweli kama haujui changamoto za haya magonjwa ya muda mrefu na upatikanaji wa dawa ukojekwa nchi zetu hizi utajua ni nini kinafata kwa ndugu zetu.

Serikali pekee sidhani kama wataweza kikombe hiki ukizingatia janga la corona ndio kwanza linaanza kuchanganya.

Sioni mchina kama ataweza kuingiza hizo $m400 WHO ili kuendeleza huu ufadhili, tuache masihara baniani mbaya ila kiatu chake dawa.
Sio Hilo ARV watu wanapewa bure na hapo u s ameweka mkono wake ndo maana tunapewa bure

Ukiangalia miradi ya afya anayofanya USAID ni mingi kinoma, wote tunajua marekani anamapungufu yake Kama zilivyo nchi nyingine, alafu mtu anaiombea isambaratike ndo furaha yake Kama huo sio upungwani ni nn

China ana nafasi yake na marekani pia ana nafas yake, China ana mchango mkubwa kwenye kuteletea bidhaa ambazo ni affordable, ukienda kkoo bidhaa almost zote zinatoka china, Kila nchi ina nafas yake
 
china na usiri wao ndio chanzo janga la covid 19.

Una uhalika gani na madai yako kuhusu chanzo cha janga la COVID-19.

Mapema mwaka jana kuna nchi fulani baadhi ya majimbo yake yalikumbwa na kile walicho kiita ugonjwa wa mafua makali (influenza) raia wengi walipoteza maisha - baada ya Taifa la Uchina kukumbwa na COVID-19 watu wakaanza kufa kwa wingi,wataalamu wa tiba wa uchina wakafanya tafiti za kina kuhusu jinsi virusi vya corona vinavyo enezwa, wakapiga picha virusi kwa kutumia electron microscope hivyoyafiti zao na picha zikatumwa makao makuu ya W.H.O vile vile .
na kusambazwa kwa wana sayansi wa Ulaya na Merikani
 
Naona watu wana comment kiushabiki na wanasahau uhalisia kwamba wa kwanza kuathirika ni sisi huku nchi zisizo "jielewa" hasa viongozi wetu.

Nikifikiria magonjwa yenye udhamini wa taifa la USA, TB, HIV na malaria sioni hawa ndugu zetu watapata wapi msaada wa madawa haya kwa urahisi na wakati sahihi.

Nikikumbuka mwaka jana nina ndugu namuuguza ana TB kuna kipindi dawa ziliadimika dozi ikawa haipatikani kwa ukamilifu hii ni baada ya mdhamini kumaliza muda wake wa kutoa huduma.

Kiukweli kama haujui changamoto za haya magonjwa ya muda mrefu na upatikanaji wa dawa ukojekwa nchi zetu hizi utajua ni nini kinafata kwa ndugu zetu.

Serikali pekee sidhani kama wataweza kikombe hiki ukizingatia janga la corona ndio kwanza linaanza kuchanganya.

Sioni mchina kama ataweza kuingiza hizo $m400 WHO ili kuendeleza huu ufadhili, tuache masihara baniani mbaya ila kiatu chake dawa.
Humu kuna ushabiki vitumbua sana, unakuta mtu anakitambi cha ARV, hajui hela za hizo Arv zinatoka wapi, zinazolewa na nani!.

ngoja ufike muda, watu watakufa kama kuku wa mdondo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
US Haininyimi Amani Maana Najua Usupa pawa hauja anzia kwake nawala hautamalizia kwake nimbio tu zavijiti kwan watu walidhania kama hitler atakuja kua under dog

Uzuri wamuda hua haudanganyi.

Sent using My COVID-19
Isingekuwa inakunyima amani ungekuwa unabwekabweka hapa kama mbwa koko, Marekani inakunyima amani na ndo maana umesema ikianguka utapata amani hata ukiwa kaburini[emoji16][emoji16], unavituko kweli we bwa mdogo, kwamba umejipa kazi ya kupambana na US hadi ianguke na uwanja wako wa mapambano Ni JF[emoji3][emoji3] kazi iliyowashinda akina Ahmadnejad na maAyatollah wewe mmatumbi wa uyui ndo umejipa[emoji1787][emoji1787] tumbaku si kitu kizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujui matumizi ya social media, Kila mtu ana Uhuru wa kumjibu mtu kama ulikua hujui ndo ujue
Aisee wewe wakunifundisha matumizi ya mitandao ya kijamii?
Basi kweli kweli Hong..era


MTU ana comment U.S.A ndio inajifia hiyo kwasababu imegoma kuchangia WHO

Mwingine anamuuliza unamaanisha nini kusema inajifia,

Mwingine anaeeleza kuwa huyo anaesema USA inajifia alewi vizuri

Sasa linatokea jitu kuanza kumponda aliesema aelewi vizuri eti hajui kitu khs IMF

Hapo utagundua aliekurupuka katoka wapi kisa ana masters ya kujua kutumia social network
 
Aisee wewe wakunifundisha matumizi ya mitandao ya kijamii?
Basi kweli kweli Hong..era


MTU ana comment U.S.A ndio inajifia hiyo kwasababu imegoma kuchangia WHO

Mwingine anamuuliza unamaanisha nini kusema inajifia,

Mwingine anaeeleza kuwa huyo anaesema USA inajifia alewi vizuri

Sasa linatokea jitu kuanza kumponda aliesema aelewi vizuri eti hajui kitu khs IMF

Hapo utagundua aliekurupuka katoka wapi kisa ana masters ya kujua kutumia social network
Tutakufundisha matumizi ya social media sababu hujui, uzuri mmoja mim simtukanagi mtu Wala kumdharau,

Ulikua hujui kwamba sio Kila nchi ni member wa ImF Sasa kukuambia imekua nongwa
 
Kwani umetukanwa acha upimbi

Birthday yako Humu ni March 7 bado unanyonya unataka bisi
Nani anayewekaga information kwenye social media, Kama umeweka nakushauri futa usiweke habari za ukweli kwenye social media ni hatari

Samahan nimeangalia conversation nimeona mim ndo nimekosea nili-quote kimakosa
 
Nani anayewekaga information kwenye social media, Kama umeweka nakushauri futa usiweke habari za ukweli kwenye social media ni hatari

Samahan nimeangalia conversation nimeona mim ndo nimekosea nili-quote kimakosa
Ila wewe siku unafungua a/c humu huwezi kudanganya tarehe hiyo automatic,sio kwamba unajaza hicho kipengele sio kama tunavyodanganya majina,tar za kuzaliwa,location, zaidi utaishia kuwa na fake ID humu kama ukitaka.

Mimi nilikushangaa kunijibu comment ambayo haiendani na majibu ukasema Mimi sijui matumizi ya social media muda mwingine uwe unaangalia,wacha maisha yaendelee
 
Ila wewe siku unafungua a/c humu huwezi kunganya zaidi utaishia kuwa na fake ID

Mimi nilikushangaa kunijibu comment ambayo haiendani na majibu ukasema Mimi sijui matumizi ya social media muda mwingine uwe unaangalia,wacha maisha yaendelee
Mim situmi id fake na jina langu ni Dennis Robert Kama lilivyo ukitaka uthibitisho nifuate pm nikupe namba yangu uangalie kwenye tigo pesa

Argument mim na wewe hazikutakiwa ziwepo in first-place kwa sababu niliku-quote kimakosa
 
Mim situmi id fake na jina langu ni Dennis Robert Kama lilivyo ukitaka uthibitisho nifuate pm nikupe namba yangu uangalie kwenye tigo pesa

Argument mim na wewe hazikutakiwa ziwepo in first-place kwa sababu niliku-quote kimakosa
Poa
 
Back
Top Bottom