China yaiomba Marekani kutimiza wajibu wake kwa WHO

China yaiomba Marekani kutimiza wajibu wake kwa WHO

watu wanajifanya kushabikia jamaa kujitoa kwa mashirika husika kishabiki bila kuelewa kama athari hasi zita mrejelea anaejitoa soon or later maana anawatengenezea watu mazingira yakuona kumbe wao wanaweza ishi bila fulani
Ndio maana ya kua super power na hizi ndio gharama zake.,,sasa yeye aache kutoa fedha/aendelee kujifanya mbabe aone kama kuna nchi zitamuogopa.

Hivi nchi kama hazikutegemei kwa lolote unadhani utaanza kuzitisha ooh nakuwekea vikwazo vya kufanya biashara na nchi nyingine unadhani nchi gani itamsikiliza US maana wanajua hawategemei pesa yake kwa chochote kile.

Tena inatakiwa aache kutoa pesa kwny kila kitu from huko UN to misaada kwa nchi mbalimbali uone huo U-super power/influence yake itakuwaje huko duniani.
Wanadhani kua super power nilele mama[emoji16][emoji38]

Natamani ajitoe namashirika yote anayo fund mpunga mrefu yeye ili dunia ipate kua na usawa

Sent using My COVID-19
 
China sio multicultural? Nilikwambia you're suffering delusional tafuta hela uende Guangzhou au Hong Kong ukajionee wa-Africa walivyojaa.
.
Please take your medication
Nakwadunia yasasa hakuna sehemu ambayo hakuna multi popote pale utakapo enda kuna kuzidiana tu ila multi imekua jambo lalazima kwasababu zakijamii kisiasa na kiuchumi

Utanielewa tu kijana nataka nikupige msasa uelewa uongezeke kidogo.

Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I am not a Jew I AM A CHRISTIAN!
.
Mtu kama huyu wewe kwa akili yako unafikiri atashindwa kujilipua ama kumchinja mtu kichwa kisa kamtukana Mwamedi au mashia menzake?[emoji45]


Mashia na masalafi sijui mkoje ndio maana federal government ikawaban
Kwan unahisi kuwabana watu ndio kuwakomoa haya baada yakuwabana akafanikiwa nn maisha yanaendelea tu with or without federal



Sent using My COVID-19
 
Trumpet amebugi. Tatizo amewageuza watoto wake kuwa washauri wa rais. Watoto wenyewe wamekulia vilabu vya pombe na wengine ni mateja.
Babu na Wamarekani Weusi Hapa Wanajiona Wapo Sahihi

Kuna jamaa aliwahi sema yakwamba US Ita angushwa Nawa US Wenyewe Sasa Naanza Kuuona Ule Ukweli Nisuala Lamuda tuu.

Sent using My COVID-19
 
Yap. Always US wana hila wanafanya, si kwa uchina tu bali kwa yeyote ambaye ni tishio kwake.
Basi ndio nlikua nataka uelewe yakwamba hata hili suala la WHO na UCHINA Nihila Zake Zakipuuzi Ambazo Zinaenda Kupunguza Nguvu Na Uwezo Wa US Ulimwenguni

Sababu kuna mataifa yatakosa Misaada Ya WHO Yatatafta Njia Mbadala Yahio Misaada Yakiipata Yatakua Hayamuogopi Tena US Kupitia WHO

Kama sasa hawamuogopi Kupitia UNESCO Kupitia ICC Kupitia Ule Mkataba Wahali Yahewa


US Wanajikaanga Kwamafta Yao Wenyewe .....

Sent using My COVID-19
 
Kuna utofauti kumchukia mtu direct na inderect, zote ni chuki lakin Zina tofautiana
Hakuna chuki yamoja kwamoja wala isiokua yamoja kwamoja chuki itabakia kua chuki tu milele

Mnatafta uhalali wakuyapa matendo haramu uhalali kwasababu gani

Utasema mwizi wakuiba kwa silaha yamoto asiue ni bora kuliko mwizi anae iba bila silaha lakini akaua

?!

Sent using My COVID-19
 
Wewe ndio unae ongea vitu ambavyo huvijui
Unaongea vitu usivyovijua ushawishi wa marekani kwenye uchumi wa dunia ni mkubwa hata akijitoa kuchangia UN, na tutakao suffer ni nchi maskini kwa sababu tunategemea sana UN organs tofauti na developed countries
US Anaongoza Kiuchumi Haina Ubishi Anawakontrol kupitia taasisi zake anazozidhamini pesa ndefu mfano Imf WB nataasisi nyengine

Unahisi US Mfano ajitoe kwahizo taasisi halaf UCHINA Afnye Same Nani ataheshmika ?!

Kujitoa katika Kutatuumiza kwamuda then tutapata njia mbadala nakuona yakwamba US Hana Umuhimu Natunaweza Bila Yeye.

Sent using My COVID-19
 
Sijasema kama hawawez rudi mkuu naomba tuelewane
Kwan wakijitoa hawawez Rudi ndo maana nilikuambia we ni mshabiki, maamuzi yaliyofanywa ni uamuz wa Trump akija rais mwingine na utawala wake anaweza akarudisha contribution kwa sababu hawajafungiwa milango
Haya sasa kama rais mwengne akija asipo irejesha ?!

Sent using My COVID-19
 
Yah kwanza hakuna sehemu nimesema hili jambo ninalazima nahili suala lakua sio lazima nalielewa sana sana sana
Kuchangia mashirika ya kimataifa ni comittment ambayo ni optional sio lazima. Unaahidi then unatekeleza, ukishindwa unaacha.

Mashirika mengi tuseme yote yalianzishwa kwaajili ya welfare ya dunia baada ya WW2 , sio welfare ya US, kwahiyo ni jukumu la dunia kkiwemo China

Kama China na wengineo wameshapevuka hawana budi kubeba huo mzigo, kitendo cha kuishia kulalamika tu kinaashiria zile sifa tunazompa humu ni za "kumpamba" tu
Ila ishu nikwamba ukiwa na uwezo wakuchangia pesa kwahiari yako na ukawa na uwezo wakuwasaidia watu (mataifa)unayafanya yale mataifa yawe na respect kwako sababu wanajua Nikifanya Jambo Hili Ambalo US halipendi Ntakosa Msaada Ama Ntakosa Kitu Flan Nandio Maana unakuta Kupitia Hayo Mashirika US Ndio Taifa Linalo Ongoza Kuwaekea Viongozi ama nchi nyengine vikwazo mbali mbali

Kwamfano Kama SAUDIA Unajua kwanini hawez kutoa kauli inayopingana na US Kwasababu anategemea mengi sana kutoka US Ulinzi misaada nakadhalika mfano itokee US Kakata Misaada Na UCHINA Akaenda Akaendeleza Ambavyo US Kaacha Kuvifanya Kwadaudia Unahisi Heshma Itaenda Kwanani ?!

Mfano Sasa hv Dunia inamlaumu mno UCHINA Wengne wanasema anafund Madikteta Kwanini Kwasababu US Akiwanyima Kile wanataka Toka Kwao US Anaenda Anaongezea

Suala La UCHINA Kuchangia Kama hapo uliposema nisahihi sana ila UCHINA Anahaki Yakusema Hachangii Kama wanavyochangia US Kwasababu Hatoi Misaada Ama Michango Mikubwa Kwenye Hizo Taasisi Zakimataifa

Kwahio anachokifanya UCHINA Anajifanya Anatoa Pesa Ambazo Nimsaada wayeye kama Yeye Sio Kupitia Taasisi Flan Nandio Maana Kama utafatilia Misada Ya UCHINA Inakua kwahisani ya Watu wa UCHINA Sio watu flan kupitia tasisi flan kama ilivyo US kupitia USAIDS Namengineyo

Nandio maana unakutia UCHINA Kazipita Sana Nchi Ambazo Miaka Kadhaa Zilikua mbele Kiushawishi eg:UK,FRANCE n.k Sasa hv Nchi Zenye Ushawishi Ulimwenguni ukiachana na US Nafuata CHINA Nakuna Baadhi Kwenye Mataifa Nafasi Ya US yamiaka kumi Ishirini Mbele Haipo Tena

Sent using My COVID-19
 
MKUU Naomba Nirudie
Ahsante sana, eti kujitoa u s kuchangia ndo point mtu anakuambia u.s ameanza kufulia easy like that, na ndo maana nilimwambia yeye ni mshabiki
US Kujitoa Katika Mashirika Yakikataifa Kama Anavyofanya Sio Kwasababu Kafulia Kiuchumi Ama Hanapesa Hapana

Athari za US Kujitoa Katika Mashirika Yaki Mataifa ni Kumpunguzia Ushawishi Wake Ambao Alishajiwekea Miaka Namiaka

Ila nifaida sana kwa maendeleo zaidi ya US nawananchi wake Maana Misaada Ya US Ilikua Inanufaisha Mataifa Ambayo Sio US.

Sent using My COVID-19
 
Suala la athari za US Kujitoa Katika Haya Mashirika Yakimataifa Hayaepukiki Nanimasuala Ambayo Yanaonekana ama yataonekanika katika muda mfupi
Naona watu wana comment kiushabiki na wanasahau uhalisia kwamba wa kwanza kuathirika ni sisi huku nchi zisizo "jielewa" hasa viongozi wetu.

Nikifikiria magonjwa yenye udhamini wa taifa la USA, TB, HIV na malaria sioni hawa ndugu zetu watapata wapi msaada wa madawa haya kwa urahisi na wakati sahihi.

Nikikumbuka mwaka jana nina ndugu namuuguza ana TB kuna kipindi dawa ziliadimika dozi ikawa haipatikani kwa ukamilifu hii ni baada ya mdhamini kumaliza muda wake wa kutoa huduma.

Kiukweli kama haujui changamoto za haya magonjwa ya muda mrefu na upatikanaji wa dawa ukojekwa nchi zetu hizi utajua ni nini kinafata kwa ndugu zetu.

Serikali pekee sidhani kama wataweza kikombe hiki ukizingatia janga la corona ndio kwanza linaanza kuchanganya.

Sioni mchina kama ataweza kuingiza hizo $m400 WHO ili kuendeleza huu ufadhili, tuache masihara baniani mbaya ila kiatu chake dawa.
Nalinapotokea jambo kama hili athari lazma zitokee kwahio ishu nikwamba hatukujiandaa na lazma tutateseka maana tulishajipanga jua tegemezi toka awali hapa linalotakiwa nilazma watu waamue kupitia magumu nakujiandaa kwakujitegemea wenyewe

Maana sidhanii kama US Kwakipindi hiki anaweza akarejelea tena labda kama akija rais mwengine madarakani sio donald

Ila hili jambo linatufundisha yakwamba tusipende kutegemea mtu kupitiliza

Maana mtu akiamka vibaya ugomvi na mkewe athari zake mpaka sisi tutazihisi ndio haya sasa yanayoenda kutukumba

Ila Afrika Naabdhi Yamataifa Ya ASIA Kwahili Tunalakujifunza



Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka kuigeuza mada iwe yakidini hii haitakaa igeuke kuwa yakidini
Tule mawe wakat dunia iko kiganjani mwetu[emoji3][emoji3], kwa kosa la kuupotosha uislam dunia nzima iko against maAyatollah, watakula jeuri yao mpaka watakapoacha huo upotofu wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
DUNIA Kuwapinga Ndio Kunawafanya Wajitegemee Wenyewe mfano kupitia hili la CORONA licha yamagumu mengi walopitia ila wamekua imara japo US Walipiga Kelele wasipewe sijui Mkopo Sijui Nini Wanaume wakakazana

Kazaneni nanyie baada ya jamaa kujitoa WHO Sio kupiga kelele tu kilaleo

Sent using My COVID-19
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]
Isingekuwa inakunyima amani ungekuwa unabwekabweka hapa kama mbwa koko, Marekani inakunyima amani na ndo maana umesema ikianguka utapata amani hata ukiwa kaburini[emoji16][emoji16], unavituko kweli we bwa mdogo, kwamba umejipa kazi ya kupambana na US hadi ianguke na uwanja wako wa mapambano Ni JF[emoji3][emoji3] kazi iliyowashinda akina Ahmadnejad na maAyatollah wewe mmatumbi wa uyui ndo umejipa[emoji1787][emoji1787] tumbaku si kitu kizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini uteseke kijana kama Ahmedinejad mmeshirikiana na Kina Netanyahu Mkafikia wapi nanyie[emoji23][emoji16]

Kazi kuwaombea mwakani hawafiki watu wanachanja Mbuga

WAYAHUDI Mnataabu Nyie.....

Sent using My COVID-19
 
Tunaofaidika na hao WHO hatutoi hata senti moja.

Iwe lazima kwa nchi zote kuchangia mashirika yote ya kimataifa ili kupata msaada wake.
 
Jf home of great thinker sjui wale members WA zaman wamenda wap yan watu walikuwa wanatoa hoja Za kushiba ,hiv nyie wachina weusi kwa nn msiongelee uhalisia kuliko ushabiki
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]Kwanini uteseke kijana kama Ahmedinejad mmeshirikiana na Kina Netanyahu Mkafikia wapi nanyie[emoji23][emoji16]

Kazi kuwaombea mwakani hawafiki watu wanachanja Mbuga

WAYAHUDI Mnataabu Nyie.....

Sent using My COVID-19
Niteseke na mashia dhaifu ambayo hayana mchango wowote na ulimwengu huu, huyo ahmedinejad wako ili ujui alichokuwa anafanya ni upumbafu kilimtokea nini alipojaribu kugombea tena! Nyie mashia ni adui wa uislam na dunia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Back
Top Bottom