aiseeh, china hii ambayo uchumi wake unaweza kutingishwa na usa na ukatingishika? Trump aliweka vikwazo baadhi ya bidhaa za china uchumi ukashuka toka 6.8(2018) hadi 6.0(2019)Namaanisha inadondondoka kutoka dola kuu kwenda dola la hovyo
Kumbuka tofauti ya China na usa kwa sasa GDP ni dola tilion tano tu
China ni silent killer
Sent using Jamii Forums mobile app
Inakusaidia nini mtu wa ulimwengu wa tatu?Namaanisha inadondondoka kutoka dola kuu kwenda dola la hovyo
Kumbuka tofauti ya China na usa kwa sasa GDP ni dola tilion tano tu
China ni silent killer
Marekani inatoa U$400 na China U$40Hiyo ni 40M au $40M?
Kama ni $40 tu hata mimi naiweza
Nimeshangaa hata alivyoitaja, na kaweka na msisitizo, "tu"
World leader my @$$Tuna imani na Donald Trump. Anajiamini na anasimamia kile anachokiamini.
True definition of a world leader
facts.Kiujumla ni kuwa wamarekani na viongozi wao wameshachanganyikiwa na wanachofikiri ni kuwa kwa kuwa wao ni taifa kubwa lenye nguvu za kijeshi na pesa,ufumbuzi ni kuendelea kutumia nguvu badala ya akili nyepesi tu ili kupambana na huu ugonjwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ili US Asambaratike lazma nasisi tusambaratike basi sio mbaya mhim US Asambaratike tuuh.I don't think the US would ever collapse, they would definitely go through changes and evolve, but they wouldn't fall.
Remember, anything that could take down a Super Power like the US, will likely take everyone else too. DON'T CELEBRATE.
Don't trust Chinese data including GDP data haziaminiki tenaNamaanisha inadondondoka kutoka dola kuu kwenda dola la hovyo
Kumbuka tofauti ya China na usa kwa sasa GDP ni dola tilion tano tu
China ni silent killer
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu, huu ndio muda wa taifa lenu linalotumia akili kuchuka nafasi ya Marekani.Kiujumla ni kuwa wamarekani na viongozi wao wameshachanganyikiwa na wanachofikiri ni kuwa kwa kuwa wao ni taifa kubwa lenye nguvu za kijeshi na pesa,ufumbuzi ni kuendelea kutumia nguvu badala ya akili nyepesi tu ili kupambana na huu ugonjwa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna watu wanaowabagua waafrika Kama wachina, China kuwa super-power ni habari mbaya kwa afrika hakuna watu wakatili kwa waafrika Kama waleKama ili US Asambaratike lazma nasisi tusambaratike basi sio mbaya mhim US Asambaratike tuuh.
Sent using My COVID-19
Yaani..[emoji3526][emoji3526]Wanaume walikua wanatoa $400M mpaka 500m then China $40[emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
well saidI don't think the US would ever collapse, they would definitely go through changes and evolve, but they wouldn't fall.
Remember, anything that could take down a Super Power like the US, will likely take everyone else too. DON'T CELEBRATE.
vipi kwenye upande wa LIVING STANDARD, china ipo namba ngapi?.Namaanisha inadondondoka kutoka dola kuu kwenda dola la hovyo
Kumbuka tofauti ya China na usa kwa sasa GDP ni dola tilion tano tu
China ni silent killer
Sent using Jamii Forums mobile app
Anapata cha kubishana hapa jfInakusaidia nini mtu wa ulimwengu wa tatu?
Kitu gani kinatuzuia sisi kuwabagua hao wazungu au wachina ?Hakuna watu wanaowabagua waafrika Kama wachina, China kuwa super-power ni habari mbaya kwa afrika hakuna watu wakatili kwa waafrika Kama wale