China yaiomba Marekani kutimiza wajibu wake kwa WHO

China yaiomba Marekani kutimiza wajibu wake kwa WHO

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
China imeiomba Marekani hii leo kutimiza wajibu wake kwa shirika la afya ulimwenguni, WHO baada ya Rais Donald Trump kusimamisha ufadhili kwa shirika hilo akilituhumu kushindwa kulishughulikia ipasavyo janga la virusi vya corona.

Waziri wa mambo ya kigeni wa China Zhao Lijian amewaambia waandishi wa habari alipozungumzia hali ya virusi hivyo ambavyo vimewaambukiza takriban watu milioni 2 kote ulimwenguni kwamba uamuzi huo wa Marekani huenda ukaathiri mataifa yote ulimwenguni.

Mjini Berlin, waziri wa mambo ya kigeni wa Ujerumani, Heiko Maas amezungumzia uamuzi huo wa Marekani akisema uimarishwaji wa shirika hilo ni moja ya uwekezaji muhimu. Maas ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter kwamba lawama hazitasaidia kwa kuwa virusi hivyo havina mipaka.

DW Swahili
 
Kiujumla ni kuwa wamarekani na viongozi wao wameshachanganyikiwa na wanachofikiri ni kuwa kwa kuwa wao ni taifa kubwa lenye nguvu za kijeshi na pesa,ufumbuzi ni kuendelea kutumia nguvu badala ya akili nyepesi tu ili kupambana na huu ugonjwa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
China imeiomba Marekani hii leo kutimiza wajibu wake kwa shirika la afya ulimwenguni, WHO baada ya Rais Donald Trump kusimamisha ufadhili kwa shirika hilo akilituhumu kushindwa kulishughulikia ipasavyo janga la virusi vya corona.

Waziri wa mambo ya kigeni wa China Zhao Lijian amewaambia waandishi wa habari alipozungumzia hali ya virusi hivyo ambavyo vimewaambukiza takriban watu milioni 2 kote ulimwenguni kwamba uamuzi huo wa Marekani huenda ukaathiri mataifa yote ulimwenguni.

Mjini Berlin, waziri wa mambo ya kigeni wa Ujerumani, Heiko Maas amezungumzia uamuzi huo wa Marekani akisema uimarishwaji wa shirika hilo ni moja ya uwekezaji muhimu. Maas ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter kwamba lawama hazitasaidia kwa kuwa virusi hivyo havina mipaka.

DW Swahili
Kila nchi ipambanane na hali yake. Wachina waache kudeka.
 
Wanasepa mdogo mdogo yaani hakuna namna sasa.....

Sent using My COVID-19
I don't think the US would ever collapse, they would definitely go through changes and evolve, but they wouldn't fall.

Remember, anything that could take down a Super Power like the US, will likely take everyone else too. DON'T CELEBRATE.
 
I don't think the US would ever collapse, they would definitely go through changes and evolve, but they wouldn't fall.

Remember, anything that could take down a Super Power like the US, will likely take everyone else too. DON'T CELEBRATE.
Iron boys wapo club wana bang
 
China imeiomba Marekani hii leo kutimiza wajibu wake kwa shirika la afya ulimwenguni, WHO baada ya Rais Donald Trump kusimamisha ufadhili kwa shirika hilo akilituhumu kushindwa kulishughulikia ipasavyo janga la virusi vya corona.

Waziri wa mambo ya kigeni wa China Zhao Lijian amewaambia waandishi wa habari alipozungumzia hali ya virusi hivyo ambavyo vimewaambukiza takriban watu milioni 2 kote ulimwenguni kwamba uamuzi huo wa Marekani huenda ukaathiri mataifa yote ulimwenguni.

Mjini Berlin, waziri wa mambo ya kigeni wa Ujerumani, Heiko Maas amezungumzia uamuzi huo wa Marekani akisema uimarishwaji wa shirika hilo ni moja ya uwekezaji muhimu. Maas ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter kwamba lawama hazitasaidia kwa kuwa virusi hivyo havina mipaka.

DW Swahili
Kumekucha kumekuchaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom