Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Sisi ni Binti Mrembo Mabeberu yanatugombania. Kazi kwetu kuchagua Bwana maana kuolewa ni lazima.
 
Sio muongo ni mjinga,kichwa hakina kitu,achana anaye atakupotezea muda.
Wewe jamaa muongo sana
Pakistan na Israel zigombanie nini?
Pakistan ni kibaraka wa USA katika maslahi ya central Asia (Iran ,Afghanistan, Oman,UAE ,baharein,Bangladesh nk).
Pakistan anauhasama na India japo wote ni wa USA.
Huyo Russia unaemuongelea hata humjui ,rais Putin mwenyewe nyuma ya upara ameandikwa 'made in tel Aviv'
Irani ayatollah chini ya ndevu zake ameandikwa "made in England"
Sasa wewe mwarabu wa kwa mtogole unabisha tuu
 
kuna mbuzi juzi nlimwambia kabisa, hata wafanye nn marekani haiwezi kuifanya chochote tanzania! Tanzania ni mstari mmoja na pakistan, sisi hatuwasupport israel, sasa pakistan ni msururu mmoja na china + russia! hawa wanasubiri marekani ifanye kosa lolote kuna kitu kinaitwa INTER CONTINENTAL BALISTIC MISSLES, china na russia, missles zao zpo set for new york, kwahio ni kitendo cha kubonyeza tu switch marekani nzima ibaki majivu, kwahio waliokua wanategemea sjui marekani , belgium habari ziwafikie
Mtampoteza Jiwe mtamuingiza chaka china bado
 
Kuna watu mmejaa ujinga sana.

Kwa akili hizi,bado tuna safari ndefu sana.
Mtu na akili zake anawaza marekani anaweza kuipiga Tanzania kwa silaha! Kweli?Umeshindwa kufikiri kabisa zaidi ya hapo?
kuna mbuzi juzi nlimwambia kabisa, hata wafanye nn marekani haiwezi kuifanya chochote tanzania! Tanzania ni mstari mmoja na pakistan, sisi hatuwasupport israel, sasa pakistan ni msururu mmoja na china + russia! hawa wanasubiri marekani ifanye kosa lolote kuna kitu kinaitwa INTER CONTINENTAL BALISTIC MISSLES, china na russia, missles zao zpo set for new york, kwahio ni kitendo cha kubonyeza tu switch marekani nzima ibaki majivu, kwahio waliokua wanategemea sjui marekani , belgium habari ziwafikie
 
Mwanamke yupi?
Alianza uyu mwanamke wa chadema kwamba dunia inaangalia na kweli ikaangalia, miaka yote nenda rudi marekani hua wanakuaga kwenye uchaguzi kawaida na hakuna shida yoyote sasa waliovuruga ni huyu mwanamke mwenye mguu mfupi
 
Serikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi

==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania

China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo

Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia


Chanzo: Azam Tv


My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Mleta mada mliberali wahedi. Unaleta TAARIFA halafu unapotosha mwishoni. Kama uchaguzi sio wa haki au umeona Kuna viashiria vya kuharibu mchakato si mpeleke hayo malalamiko. Sisi ni nchi huru alo
 
Kweli elimu za kata ni shida
wanazo tena nyingi tu, ila russia na china ni kitu kimoja! marekani hana modern weapons kama russia na china walivo nazo, marekani cant fight even china alone, infact hata vita ya uchumi tayar washaloose kwa china, kwa sababu kila mtu akirudi nchini kwake marekani inabaki hopeless, hata google ilitengenezwa na mrussia na ndo spy mkubwa hii dunia haijawahi tokea wakishairikiana na FBI, sasa utawafanya nn, there is nothing you can do, ndo uzuri wa ubabe kwa ubabe
 
Mtampoteza Jiwe mtamuingiza chaka china bado

1603303581303.png



kasome zaidi kwann izi missles zko cuba, then utajua kwann china wanamwonya marekani!
 
Tatizo sio elimu za kitu,kuna watu wanazaliwa wajinga na wanabaki hivyo maisha yao yote hata wangesoma shule za vipaji maalumu.

hahaha basi sawa nyie werevu,
1603303686832.png



chukua mda kidogo pata elimu kuhusu izi missles kwann zpo apa na zmesetiwa kwa kazi gan! mambo ya kubisha huna facts peleka kwingine, infact swala la china nlishalitabiri toka jana kuna mtu tulibishana sana na hatimae china wameingia sasa, na hakuna kitu mtafanya sasa
 
  • Thanks
Reactions: mmh
China ni jini katili sana linalokuja limepaka make up.

Wachina ni mashetani kamili.Ni mashetani tu wenzao ndio wanaweza kuwasapoti
 
hahaha basi sawa nyie werevu,
View attachment 1607660


chukua mda kidogo pata elimu kuhusu izi missles kwann zpo apa na zmesetiwa kwa kazi gan! mambo ya kubisha huna facts peleka kwingine, infact swala la china nlishalitabiri toka jana kuna mtu tulibishana sana na hatimae china wameingia sasa, na hakuna kitu mtafanya sasa
Hivi wewe jamaa Mbona ni kilaza ivyo??? Kwa iyo China aliyeshindwa kufufua kiwanda cha urafiki tu atamfanya nini Marekani???? Unawajua Marekani au unahadithiwa????
 
View attachment 1607657


kasome zaidi kwann izi missles zko cuba, then utajua kwann china wanamwonya marekani!
Acha kujidanganya wewe!! Hao cuba marekani akiamua anaweza shusha atomic bomb 1 tu na kuzamisha icho kisiwa ambacho ni kama Zanzibar tu.
Sababu pekee ya Marekani kukistahi hicho kisiwa ni kuwa kuna wamarekani wengi wenye uraia wa cuba na wana ndugu cuba hasa jimbo la Florida. Vinginevyo Marekani angekizamisha hicho kisiwa ndani ya dk 5 tu
 
Back
Top Bottom