Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Sisi ni Binti Mrembo Mabeberu yanatugombania. Kazi kwetu kuchagua Bwana maana kuolewa ni lazima.
 
Sio muongo ni mjinga,kichwa hakina kitu,achana anaye atakupotezea muda.
 
Mtampoteza Jiwe mtamuingiza chaka china bado
 
Kuna watu mmejaa ujinga sana.

Kwa akili hizi,bado tuna safari ndefu sana.
Mtu na akili zake anawaza marekani anaweza kuipiga Tanzania kwa silaha! Kweli?Umeshindwa kufikiri kabisa zaidi ya hapo?
 
Mwanamke yupi?
Alianza uyu mwanamke wa chadema kwamba dunia inaangalia na kweli ikaangalia, miaka yote nenda rudi marekani hua wanakuaga kwenye uchaguzi kawaida na hakuna shida yoyote sasa waliovuruga ni huyu mwanamke mwenye mguu mfupi
 
Mleta mada mliberali wahedi. Unaleta TAARIFA halafu unapotosha mwishoni. Kama uchaguzi sio wa haki au umeona Kuna viashiria vya kuharibu mchakato si mpeleke hayo malalamiko. Sisi ni nchi huru alo
 
Kweli elimu za kata ni shida
 
Tatizo sio elimu za kitu,kuna watu wanazaliwa wajinga na wanabaki hivyo maisha yao yote hata wangesoma shule za vipaji maalumu.

hahaha basi sawa nyie werevu,



chukua mda kidogo pata elimu kuhusu izi missles kwann zpo apa na zmesetiwa kwa kazi gan! mambo ya kubisha huna facts peleka kwingine, infact swala la china nlishalitabiri toka jana kuna mtu tulibishana sana na hatimae china wameingia sasa, na hakuna kitu mtafanya sasa
 
Reactions: mmh
China ni jini katili sana linalokuja limepaka make up.

Wachina ni mashetani kamili.Ni mashetani tu wenzao ndio wanaweza kuwasapoti
 
Hivi wewe jamaa Mbona ni kilaza ivyo??? Kwa iyo China aliyeshindwa kufufua kiwanda cha urafiki tu atamfanya nini Marekani???? Unawajua Marekani au unahadithiwa????
 
View attachment 1607657


kasome zaidi kwann izi missles zko cuba, then utajua kwann china wanamwonya marekani!
Acha kujidanganya wewe!! Hao cuba marekani akiamua anaweza shusha atomic bomb 1 tu na kuzamisha icho kisiwa ambacho ni kama Zanzibar tu.
Sababu pekee ya Marekani kukistahi hicho kisiwa ni kuwa kuna wamarekani wengi wenye uraia wa cuba na wana ndugu cuba hasa jimbo la Florida. Vinginevyo Marekani angekizamisha hicho kisiwa ndani ya dk 5 tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…