Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
China na Chama kile wana ufanano mkubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa .ila why povu kama loote kwa mchina kutoa tu nayeye angalizo yaaan kwa nin kunya anye kuku akiinya bata kaharisha?Kataa kubali, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu
Marekani umempa nini?, Chanel O!?. Mpelekee huko kwake utuache sisi na maamuzi yetuChina watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda Rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyove
Sawa, ila atasubiri miaka 800(time travel)Kataa kubali, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu
PointNaomba tufanye tathimini kwa ufupi.
Tafuta makampuni yanayofanyakazi au uwekezaji hapa nchini
angalia watumishi wa makampuni ya marekani na uangalie watumishi wa makampuni ya kichina.
muonekano wao utakupa majibu ya kuchagua kama umepewa uchaguzi wa ni nani unajisikia kumfanyia kazi.
Utagundua wafanyakazi wa makampuni ya kichini,nje ya kampuni hizo kuna mabanda mengi ya mama lishe.
Na makampuni ya kimarekani wengi wao wanalishwa mle viwandani na dining room zao zina viyoyozi.
Ukienda parking,kwa wachina wengi wao wanamepaki pikipiki na baiskeli na asilimia kubwa ambayo ni wamama na wadada
wanakuja kwa miguu(EPZ kule jiji kubwa).
Amka usingizini. Ccm ni Chama pinzani kuanzia mwezi November 2020Sawa, ila atasubiri miaka 800(time travel)
Atoe tu kwa kujifurahisha. Hakuna anayetoa povu. Tunachowaambia wana lumumba ni kuwa China si lolote si chochotesawa .ila why povu kama loote kwa mchina kutoa tu nayeye angalizo yaaan kwa nin kunya anye kuku akiinya bata kaharisha?
MUACHEN NA MCHINA ATOE MAONI YAKR KAMA TULIVYOKUWA TUKISIKIA PIA MAONI NA MAANGALIZO YA WENGINE
Kuishi kwa kutegemea akili za watu ndo matokeo yake haya.Hakuna uhuru Tanzania siyo Nchi huru ilinunuliwa mwaka 1998 ipo chini ya Mkoloni mweusi kaburu sasa inaenda kupata uhuru tarehe 28 pindi chadema wakiingia ikulu
Sawa, ila atasubiri miaka 800(time travel)
jibu swali dogoPumba...vu,jadili
nilichokiandika.
Nani anahujumu nchi zaidi ya huyo Jiwe wenu aliyesababisha bei ya Sukari kupanda kutoka 1800 hadi 2800/3000????Kuishi kwa kutegemea akili za watu ndo matokeo yake haya.
Wajinga waliokutawala kabla ya 1961 ndo leo kwako ni tumaini kubwa na viongozi wa fikra zako na wapuuzi wenzako. Leo unasubiri Marekani itoe tamko unasubiri ulaya iweke vikwazo kwa kitu unachokiita uhuru wako.
Unalalamika na kupandisha bendera kuwa haupo huru na uhuru umeminywa lakini maoni hayo unayatoa ndani ya nchi unayoichukia na yet hakuna anayekusumbua. Nikisema wengi wenu ni wapumbavu na wapuuzi wala sikosei.
Endelea na ndoto zako za kipuuzi kwamba hatupo huru wakati mnashiriki kuihujumu nchi yenu
Vipi figisu za mawakala wa vyama vya upinzani kuanza kuchezewa rafu
Wangekua hawapatani kusingekua kuna G8 wala G20. Wanakaaje pamoja na kufanya vikao juu ya uchumi wa dunia wakiwa wamekosana. Usijidanganye hawa watu wame unit kuliko unavofikiria. Ukiona wamekosana ujue wanawaigizia tu. Na point is wanaokosana ni wananchi sio serikali. Serikali za hizi nchi zina umoja sana.
Sijampigia chapuo yeyote.yaan still bado natafuta validity pia ya kuwaamin hao mnaowapigia chapuo.
ila naona kwel mchina kutia neno tu imeleta taharuk.
yale mataamko ya embas yalikua valid?
Ni swali lipi sasa?jibu swali dogo
Watuache kabisa hao wa Marekani. Tunajiweza, na hatutaki marafiki wanyonyaji. Sasa hivi ni sama za Win win SituationSerikali ya China imeitaka USA kutoingilia maswala ya ndani ya nchi nyingne ikiwemo uchaguzi wa Tanzania kwa kuwa serikali ya Tanzania inaweza kusimamia vema uchaguzi
==
CHINA YAIAMBIA MAREKANI ISIINGILIE MAMBO YA NDANI YA TANZANIA
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa #China, Zhao Lijian ameiambia #Marekani isiingilie mambo ya ndani ya Tanzania
China inaamini #Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu kwa mafanikio ikiamini serikali ina uwezo wa kusimamia Uchaguzi huo
Kauli hiyo imekuja baada ya Marekani kusema haitasita kuchukua hatua kwa watakaoonekana kuwa chanzo cha kuvuruga uchaguzi wa Haki na Demokrasia
Chanzo: Azam Tv
My take:
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda Rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyover
Ungekuwa na ufahamu you should write sensible post than thisNani anahujumu nchi zaidi ya huyo Jiwe wenu aliyesababisha bei ya Sukari kupanda kutoka 1800 hadi 2800/3000????
Wewe unaona sawa flyover kujengwa Tazara ambapo mvua ya saa 5 tu ikinyesha Maji yanajaa hayana mfano????
Wewe unaona sawa wakulima wa Mahindi, Tumbaku, Pamba na Kahawa kuzuiwa kuuza mazao yao sehemu zenye bei kubwa na huyo magufuli wako alafu wanalazimishwa kuuza sehemu za bei ya chini na kufanywa kuwa masikini????
Wewe unaona sawa watu kuuwawa, kutekwa na kupigwa risasi?????
Ccm vilaza sana kwa kweli
Zinajiripoti automaticallyvp mnasubiria nn muende kuripoti
Watuache kabisa hao wa Marekani. Tunajiweza, na hatutaki marafiki wanyonyaji. Sasa hivi ni sama za Win win Situation
Wabaki na vibaraka wao akina Tundu Lissu