Uchaguzi 2020 China yaionya USA juu ya uchaguzi wa Tanzania 2020

Kataa kubali, Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025 ni Tundu Antiphas Lissu
sawa .ila why povu kama loote kwa mchina kutoa tu nayeye angalizo yaaan kwa nin kunya anye kuku akiinya bata kaharisha?

MUACHEN NA MCHINA ATOE MAONI YAKR KAMA TULIVYOKUWA TUKISIKIA PIA MAONI NA MAANGALIZO YA WENGINE
 
China watupotezee sisi tumeamua kufanya mabadiliko kama wanapenda Rais wa ujenzi waje wamchukue akawajengee flyove
Marekani umempa nini?, Chanel O!?. Mpelekee huko kwake utuache sisi na maamuzi yetu
 
Point
 
sawa .ila why povu kama loote kwa mchina kutoa tu nayeye angalizo yaaan kwa nin kunya anye kuku akiinya bata kaharisha?
MUACHEN NA MCHINA ATOE MAONI YAKR KAMA TULIVYOKUWA TUKISIKIA PIA MAONI NA MAANGALIZO YA WENGINE
Atoe tu kwa kujifurahisha. Hakuna anayetoa povu. Tunachowaambia wana lumumba ni kuwa China si lolote si chochote
 
Hakuna uhuru Tanzania siyo Nchi huru ilinunuliwa mwaka 1998 ipo chini ya Mkoloni mweusi kaburu sasa inaenda kupata uhuru tarehe 28 pindi chadema wakiingia ikulu
Kuishi kwa kutegemea akili za watu ndo matokeo yake haya.

Wajinga waliokutawala kabla ya 1961 ndo leo kwako ni tumaini kubwa na viongozi wa fikra zako na wapuuzi wenzako. Leo unasubiri Marekani itoe tamko unasubiri ulaya iweke vikwazo kwa kitu unachokiita uhuru wako.

Unalalamika na kupandisha bendera kuwa haupo huru na uhuru umeminywa lakini maoni hayo unayatoa ndani ya nchi unayoichukia na yet hakuna anayekusumbua. Nikisema wengi wenu ni wapumbavu na wapuuzi wala sikosei.

Endelea na ndoto zako za kipuuzi kwamba hatupo huru wakati mnashiriki kuihujumu nchi yenu
 
Nani anahujumu nchi zaidi ya huyo Jiwe wenu aliyesababisha bei ya Sukari kupanda kutoka 1800 hadi 2800/3000????

Wewe unaona sawa flyover kujengwa Tazara ambapo mvua ya saa 5 tu ikinyesha Maji yanajaa hayana mfano????

Wewe unaona sawa wakulima wa Mahindi, Tumbaku, Pamba na Kahawa kuzuiwa kuuza mazao yao sehemu zenye bei kubwa na huyo magufuli wako alafu wanalazimishwa kuuza sehemu za bei ya chini na kufanywa kuwa masikini????

Wewe unaona sawa watu kuuwawa, kutekwa na kupigwa risasi?????

Ccm vilaza sana kwa kweli
 

doooh, laiti ungejua
 
Watuache kabisa hao wa Marekani. Tunajiweza, na hatutaki marafiki wanyonyaji. Sasa hivi ni sama za Win win Situation


Wabaki na vibaraka wao akina Tundu Lissu
 
Ungekuwa na ufahamu you should write sensible post than this
 
Watuache kabisa hao wa Marekani. Tunajiweza, na hatutaki marafiki wanyonyaji. Sasa hivi ni sama za Win win Situation


Wabaki na vibaraka wao akina Tundu Lissu

Unajua maana ya Vibaraka?
Vibaraka ni Wana CCM wanao mtetea Dikteta Magufuli anayeminya Uhuru wa kujieleza,kukusanyika na kufanya siasa simpy because they're not CCM members..... !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…