China yaita kitendo cha Meli ya Kivita ya Marekani kupita katika lango la bahari linalotenganisha China na Taiwan kuwa cha kichokozi

wanachofanay wanataka china aanze kuiita taiwan ili wajue uwezo wa silaha zake upoje, kama walivyofanay kwa kuitumia ukraine na sasa wanapima uwezo wa silaha za Urusi. Ukraine na Taiwan zinatumiwa na marekani kama toilet paper tu.
Ukraine ni tofauti na Taiwan, U.S ana mutual agreement na Taiwan endapo itashambuliwa U.S anaingia vitani moja kwa moja kuipigania Taiwan ndio maana mchina anapiga yowe tuu.
 
kwahiyo anazidispose off...ila kuna mantiki gani watu wake wanakufa vile kwa kutumia silaha za zamani wakati angeliweza kutumia silaha za kisasa akaokoa maisha ya wanajeshi wake na muda?
Akikujibu nitag,halafu muulize inakuwaje aanze kutumia Hypersonic Missile kama sio kuzidiwa ni kitu gani
 
Marekani ni Kisiki cha mpingo
 
siwez ishi kwa story za kupikwa wakat reasoning tu inatosha , wataiwan wanataka kuwa huru , ss kwann uwalazimishe kuwameza ? ukiish kwa story utakuwa huna tofaut na imbecils
Sawa.
 
Duuuuhhh, humuhumu kwenye post watu wanataka kulana kimasihara
 
Hapa hatuengelei history, tunaongelea hali halisi inayotokea sasa huo huko grounds.
History haiwezi puuzwa hata siku moja it has answers and all reasons of what is happening currently.
 
Hakuna cha majivu
 
All we need is freedom and democracy.
Democracy is a western system that of course is good but doesn't guarantee development China would be a good example to give they are free, developed but they don't have democracy.
 
Russia walijaribu wakashindwa
 
Kila mgogoro unaosikia huko duniani US hajawai kukosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…