China yaongoza duniani katika teknolojia (critical technologies)

China yaongoza duniani katika teknolojia (critical technologies)

ndio mana ni muhimu sana kwa China kumsupport Russia kule Ukraine,
US anatumia vibaya 'ukubwa' wake ambao nao 'alipewa' na wenzake!

downfall ya US itakua mbaya sana, maana on his way up ameumiza wengi sana, na sasa anachoma ngazi iliyompandisha juu ili wengine wasipande!
Kafanikiwa sana kuwaangusha Europe wasipande juu.

Sasa hivi mataifa ya Ulaya wamekuwa kama wake za Marekani hawawezi kabisa kujifanyia maamuzi yao wanamsikiliza bwana wao kwanza anasemaje

Stagnant economy in Eurozone, gharama za nishati zimepanda, high rate of unemployment, inflation, low industrial output

Yote kwa sababu ya kumsikiliza Marekani
 
Kafanikiwa sana kuwaangusha Europe wasipande juu.

Sasa hivi mataifa ya Ulaya wamekuwa kama wake za Marekani hawawezi kabisa kujifanyia maamuzi yao wanamsikiliza bwana wao kwanza anasemaje

Stagnant economy in Eurozone, gharama za nishati zimepanda, high rate of unemployment, inflation, low industrial output

Yote kwa sababu ya kumsikiliza Marekani
Wasipojinasua kutoka kwa Marekani watazidi kuwa na hali mbaya
 
Hivi haya mnayoandika yanawasaidiaga Nini nyinyi nchi masikini mnaooshi makotani mwa dunia?
Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)

Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)

China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:

1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772

View attachment 2988773

2. Artificial intelligence and communications

View attachment 2988774

View attachment 2988775


3. Energy and environment
View attachment 2988776


4. Quantum
View attachment 2988777


5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778

6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779

7. Defence, space, robotics and transportation;

View attachment 2988780
 
Teknolojia gani mpya za China zinazotumika Tanzania?
 
Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)

Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)

China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:

1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772

View attachment 2988773

2. Artificial intelligence and communications

View attachment 2988774

View attachment 2988775


3. Energy and environment
View attachment 2988776


4. Quantum
View attachment 2988777


5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778

6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779

7. Defence, space, robotics and transportation;

View attachment 2988780
Kwa hapa kwakweli Marekani kakalishwa vibaya sana
Ana Hali mbaya 😄😄

Angepunguzu kusapot majeshi ya nchi zingine
Pia apungize misaada kwa baadhi ya nchi
Awekeze kwenye uchumi wake kwanza inaweza kumsaidia pengine
Naona Elon mask kamsaidia kwenye space 😄😄
 
Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)

Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)

China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:

1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772

View attachment 2988773

2. Artificial intelligence and communications

View attachment 2988774

View attachment 2988775


3. Energy and environment
View attachment 2988776


4. Quantum
View attachment 2988777


5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778

6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779

7. Defence, space, robotics and transportation;

View attachment 2988780Nan ndio maendeleo yanajegwa kwa namna hii hatuwezi kutegemea marekani kuwa juu ya kila kitu natamani ata Tanzania siku moja tuwe juu ya Afrika tukiwa tunaiongozea namna hiyoo itakuwa moja ya hatua kubwa sana👌🏾
 
Teknolojia gani mpya za China zinazotumika Tanzania?
hqdefault(0).jpg
 
Kwa hapa kwakweli Marekani kakalishwa vibaya sana
Ana Hali mbaya 😄😄

Angepunguzu kusapot majeshi ya nchi zingine
Pia apungize misaada kwa baadhi ya nchi
Awekeze kwenye uchumi wake kwanza inaweza kumsaidia pengine
Naona Elon mask kamsaidia kwenye space 😄😄
Marekani kapigwa gap la kwenda.

Kati ya 44

China imescore 37
Marekani 7 tu

Huu ni udhalilishaji
 
Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)

Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)

China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:

1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772

View attachment 2988773

2. Artificial intelligence and communications

View attachment 2988774

View attachment 2988775


3. Energy and environment
View attachment 2988776


4. Quantum
View attachment 2988777


5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778

6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779

7. Defence, space, robotics and transportation;

View attachment 2988780
Mkuu sisi watu weusi sijui ni lini tutafika huko, nataman nchi yetu ingeluwa na viwanda vya uzalishaji bidhaa na kuuza nje kwa waafrica wenzetu, tupunguze ukosefu wa ajira, nchi iendelee, mimi naona njia za kutufanikisha zipo, ila tatizo sijui viongozi wamelala daa😭, naumoa sana kuona still tupo kwenye umasikini wakati njia za kujikomboa zipo.
 
Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)

Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)

China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:

1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772

View attachment 2988773

2. Artificial intelligence and communications

View attachment 2988774

View attachment 2988775


3. Energy and environment
View attachment 2988776


4. Quantum
View attachment 2988777


5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778

6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779

7. Defence, space, robotics and transportation;

View attachment 2988780
Tanzania yetu mbona imesahaulika kwenye list mkuu.Maana kuna category na sisi tupo
 
Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)

Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)

China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:

1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772

View attachment 2988773

2. Artificial intelligence and communications

View attachment 2988774

View attachment 2988775


3. Energy and environment
View attachment 2988776


4. Quantum
View attachment 2988777


5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778

6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779

7. Defence, space, robotics and transportation;

View attachment 2988780wapi wa taifa teule linalosifua kila siku na walokolo
 
Mkuu sisi watu weusi sijui ni lini tutafika huko, nataman nchi yetu ingeluwa na viwanda vya uzalishaji bidhaa na kuuza nje kwa waafrica wenzetu, tupunguze ukosefu wa ajira, nchi iendelee, mimi naona njia za kutufanikisha zipo, ila tatizo sijui viongozi wamelala daa😭, naumoa sana kuona still tupo kwenye umasikini wakati njia za kujikomboa zipo.
Umesema vyema

Unafikiri nini kifanyike ili tufikie level hizo?
 
Back
Top Bottom