Hapa sasa unatudanganya mchana mweupe hivi unajua hata China ina miaka mingapi ?
Mkuu
China ipo duniani kama vipande vya ardhi duniani popote vilipo
Wachina wapo duniani kama wanadamu wengine wote waliopo duniani tangu kuumbwa kwetu
Hii story ya China ipo tangu miaka 3,000 iliyopita haina maana wanadamu wengine hawakuwepo duniani
Na pia kua na miaka 3,000 haimaanishi mmefanya uvumbuzi wa kutosha zaidi ya wengine
Wazungu wamekuja wamevumbua zaidi ya yeyote,taja China alichovumbua kama sio viwili vitatu tu?
Nadhani ni Gun Powder,Wino,etc...hakuna kingine
West wamevumbua everthing running the modern world now,na haya yalitokea kama evolution kwa speed kubwa kuanzia miaka ya Enlightment mpaka sasa
As we speak West inatoa innovation zaidi ya China and world combined
Mifumo yote ya trade,finances,travelling,industrial production,building,ocean routing,GPS,calendaring,education,banking,medicines,etc zote ni West invention systems
Nothing u can tell me with those nonsense you are saying