Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
- Thread starter
-
- #41
Kafanikiwa sana kuwaangusha Europe wasipande juu.ndio mana ni muhimu sana kwa China kumsupport Russia kule Ukraine,
US anatumia vibaya 'ukubwa' wake ambao nao 'alipewa' na wenzake!
downfall ya US itakua mbaya sana, maana on his way up ameumiza wengi sana, na sasa anachoma ngazi iliyompandisha juu ili wengine wasipande!
Wasipojinasua kutoka kwa Marekani watazidi kuwa na hali mbayaKafanikiwa sana kuwaangusha Europe wasipande juu.
Sasa hivi mataifa ya Ulaya wamekuwa kama wake za Marekani hawawezi kabisa kujifanyia maamuzi yao wanamsikiliza bwana wao kwanza anasemaje
Stagnant economy in Eurozone, gharama za nishati zimepanda, high rate of unemployment, inflation, low industrial output
Yote kwa sababu ya kumsikiliza Marekani
Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)
Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)
China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:
1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772
View attachment 2988773
2. Artificial intelligence and communications
View attachment 2988774
View attachment 2988775
3. Energy and environment
View attachment 2988776
4. Quantum
View attachment 2988777
5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778
6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779
7. Defence, space, robotics and transportation;
View attachment 2988780
Ni kiherehere chako kimekuleta kuja kuyasoma ungepotezea tu. Kuna kingine tukusaidie?Hivi haya mnayoandika yanawasaidiaga Nini nyinyi nchi masikini mnaooshi makotani mwa dunia?
Sana lo
Wewe unaletewa bidhaa iliyotengenezwa na hiyo teknolojiaTeknolojia gani mpya za China zinazotumika Tanzania?
Kwa hapa kwakweli Marekani kakalishwa vibaya sanaWakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)
Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)
China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:
1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772
View attachment 2988773
2. Artificial intelligence and communications
View attachment 2988774
View attachment 2988775
3. Energy and environment
View attachment 2988776
4. Quantum
View attachment 2988777
5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778
6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779
7. Defence, space, robotics and transportation;
View attachment 2988780
Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)
Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)
China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:
1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772
View attachment 2988773
2. Artificial intelligence and communications
View attachment 2988774
View attachment 2988775
3. Energy and environment
View attachment 2988776
4. Quantum
View attachment 2988777
5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778
6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779
7. Defence, space, robotics and transportation;
View attachment 2988780Nan ndio maendeleo yanajegwa kwa namna hii hatuwezi kutegemea marekani kuwa juu ya kila kitu natamani ata Tanzania siku moja tuwe juu ya Afrika tukiwa tunaiongozea namna hiyoo itakuwa moja ya hatua kubwa sana๐๐พ
Kiherehere sio kizuri mkuu hili ni jukwaa la kimataifa... Unaweza kwenda jukwaa la mapenzi au jukwaa la kilimoHivi haya mnayoandika yanawasaidiaga Nini nyinyi nchi masikini mnaooshi makotani mwa dunia?
Teknolojia gani mpya za China zinazotumika Tanzania?
Marekani kapigwa gap la kwenda.Kwa hapa kwakweli Marekani kakalishwa vibaya sana
Ana Hali mbaya ๐๐
Angepunguzu kusapot majeshi ya nchi zingine
Pia apungize misaada kwa baadhi ya nchi
Awekeze kwenye uchumi wake kwanza inaweza kumsaidia pengine
Naona Elon mask kamsaidia kwenye space ๐๐
Mkuu sisi watu weusi sijui ni lini tutafika huko, nataman nchi yetu ingeluwa na viwanda vya uzalishaji bidhaa na kuuza nje kwa waafrica wenzetu, tupunguze ukosefu wa ajira, nchi iendelee, mimi naona njia za kutufanikisha zipo, ila tatizo sijui viongozi wamelala daa๐ญ, naumoa sana kuona still tupo kwenye umasikini wakati njia za kujikomboa zipo.Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)
Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)
China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:
1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772
View attachment 2988773
2. Artificial intelligence and communications
View attachment 2988774
View attachment 2988775
3. Energy and environment
View attachment 2988776
4. Quantum
View attachment 2988777
5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778
6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779
7. Defence, space, robotics and transportation;
View attachment 2988780
Tanzania yetu mbona imesahaulika kwenye list mkuu.Maana kuna category na sisi tupoWakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)
Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)
China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:
1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772
View attachment 2988773
2. Artificial intelligence and communications
View attachment 2988774
View attachment 2988775
3. Energy and environment
View attachment 2988776
4. Quantum
View attachment 2988777
5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778
6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779
7. Defence, space, robotics and transportation;
View attachment 2988780
Sojaona wa taifa teule kuwa wanaakili sana na innovationMarekani kapigwa gap la kwenda.
Kati ya 44
China imescore 37
Marekani 7 tu
Huu ni udhalilishaji
Wakati Marekani kwa miaka kadhaa ikitumia mabilioni ya pesa kwenye vita, China imekuwa ikiwekeza mabilioni kwenye R&D (Research & Development)
Matokeo yameanza kuonekana sasa, utawala wa Marekani na nchi za Magharibi umezidiwa na China kwenye technology breakthrough (methods, systems, and devices which are the result of scientific knowledge being used for practical purposes)
China inaongoza katika critical technology (technology useful in many applications) 37 kati ya 44 zilizoangaziwa. Na hizi teknolojia 44 zimegawanywa kwenye makundi 7:
1. Advanced materials and manufacturing
View attachment 2988772
View attachment 2988773
2. Artificial intelligence and communications
View attachment 2988774
View attachment 2988775
3. Energy and environment
View attachment 2988776
4. Quantum
View attachment 2988777
5. Biotechnology, gene technology and vaccines
View attachment 2988778
6. Sensing, timing and navigation
View attachment 2988779
7. Defence, space, robotics and transportation;
View attachment 2988780wapi wa taifa teule linalosifua kila siku na walokolo
Umesema vyemaMkuu sisi watu weusi sijui ni lini tutafika huko, nataman nchi yetu ingeluwa na viwanda vya uzalishaji bidhaa na kuuza nje kwa waafrica wenzetu, tupunguze ukosefu wa ajira, nchi iendelee, mimi naona njia za kutufanikisha zipo, ila tatizo sijui viongozi wamelala daa๐ญ, naumoa sana kuona still tupo kwenye umasikini wakati njia za kujikomboa zipo.