China yaongoza duniani katika utengenezaji na uuzaji wa mabasi ya abiria

Hizo namba ni uuzaji nje ya nchi husika au ni pamoja na mauzo ndani ya nchi inayotengezeza mabasi hayo. Unaweza kukuta Yutong inajumuisha mabasi yote yaliyouzwa ndani ya China ambayo yatakuwa mengi sana kuliko yaliyouzwa nje lakini siyo reflection ya competitiveness. Wachina wanapenda kununua vitu vya China na serikali inatoa ruzuku kubwa kwenye bei za bidhaa zilizotengenezwa China
 
Tunasema mchina ana copy sana kwa sababu zifuatazo:




Naweza kutoa mifano mingi tu. Nenda kariakoo uone copycats kibao za wachina.
 
Watu wanaongea tu, ukizungumzia durability mzungu kitu kingine.
 
Nilisema hapo juu, product za ulaya unaweza kukaa nazo mpaka 10 years, ikitokea shida ni repairs za kawaida tu. Hamna mchina anayeweza kaa miaka hata 3 bila kumuweka chini. Atakusumbua saaana, kwa simu mimi hapa nna samsung s3 ipo kabatini ni nzima kabisa, simu ya miaka mingi saana, kuna tecno kadhaa za 2019, 2020 zipo kwa fundi.
 
Units exported mkuu China inaongoza
 
Wazungu wana iphone wao wakaleta oppo, yaani wakalenga mulemule kwa wenzao, zikaja tec za kadhaa nyingi za simu, jamaa wakawa wanapita mule mule. Wachina wana youtube yao pia.

Ni ngumu sana na kutowatendea haki Ulaya kuwapambanisha na China. Leo tupo hapa JF, tunatumia net, computer n.k sababu ya Tec za ulaya
 
Kwa hiyo wewe Mtanzania umezubaa kusubiria tech za Ulaya

Wenzetu huko Japan, South Korea, China, India, Hong Kong, Taiwan, Singapore wanafanya innovation

Leo wazungu wakienda China wanabaki kushangaa jinsi ambavyo Mchina yuko na advanced technology na cross cutting technology kuzidi hata nchi za Ulaya na Marekani katika baadhi ya fields of sci & tech
 
Polo ni balaa kubwa ila ndio hivyo mchina anachange dizaini kila leo

Wabongo wengi ni washamba hawajui vitu quality

Ruti ya mwanza-dar nilikua napenda kupanda ally's juzi hapa nimepanda katarama aiseee msweedeni ni umeme
Mkuu achana na mzungu, product zao ni jiwe haswa. Hii hata madereva wenyewe wanalijua, abiria anafurahi tu yale mazingira ya mule ndani lakini nje ya hapo kwa anayejua gar, Bus za ulaya ni mziki mnene.
 
Hizi ni gar mbili tofauti, comfortability ya Scania na mchina aina yoyote ile ni tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…