China yaongoza duniani katika utengenezaji na uuzaji wa mabasi ya abiria


Hivi tofauti ya bei ya hayo mabasi ni hipi eg, hayo ya kichina, kisweden, kijerumani na kibrazil?
 
Sasa wewe tangu uzaliwe unakula ugali na maharage halafu unategemea kufanya innovation, mzee upo serious kweli ?
 
Sasa wewe tangu uzaliwe unakula ugali na maharage halafu unategemea kufanya innovation, mzee upo serious kweli ?
Wenzetu hawajalala wanaumiza vichwa wajitegemee kiteknolojia

Badala ya kuwaponda ni bora tuone tunajifunza nini kutoka kwao wamefikaje hapo ni strategies na policies gani walitumia

Japan, South Korea na China ni nchi nazikubali sana kwa innovation tuna ya kujifunza kutoka kwao
 
Iyo Diamler moja ya Ujerumani unanunua youtong ngapi?

Ukute aliyepiga pesa ndefu ni iyo kampuni ya Diamler ya Germany japo kwa idadi yupo nyuma ya Youtong.
Vijana mjifunze masuala ya biashara

Ukielewa profit inavyopatikana hautakurupuka na kusema Diamler kapiga hela zaidi ya Yutong kwa sababu chuma zake zina bei kuzidi Yutong

Hizo ni hesabu za mtu asiyejua biashara
 
Katika utengenezaji wa ndege hili ni jambo la kawaida hakuna kampuni inayotengeneza parts zote za ndege

Hata Airbus na Boeing hununua kutoka makampuni mengine parts
Najua ila kiasi kikubwa cha crucial parts wananunua. Na point muhimu ni kuwa kidege kimoja hakiwezi ku challenge Boeing au Airbus domination. West wakitia ngumu hakiruki.
 
Najua ila kiasi kikubwa cha crucial parts wananunua. Na point muhimu ni kuwa kidege kimoja hakiwezi ku challenge Boeing au Airbus domination
Boeing alikuwa mbele ya Airbus kwenye mauzo ya ndege ila sasa hivi kapitwa na Airbus so kwenye biashara inawezekana
 
Mnatakiwa ku improve lishe za watoto wenu wa kiafrika, la sivyo innovation mtaishia kuzisikia kwa wenzenu Ulaya na Asia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…