Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Operating cost Ulaya ni kubwa kuliko China so obvious kimahesabu Mchina anapiga profit kubwaHapana sijapiga.
Uko sahihi mkuuHata Golden dragon ni mashine sana ila watu mnazichukulia poa,zingekua dhaifu ally's asingekomaa nazo mpaka leo.
Operating cost Ulaya ni kubwa kuliko China so obvious kimahesabu Mchina anapiga profit kubwa
Kuuza bidhaa bei kubwa haimaanishi mtu anaingiza profit kubwa kama cost of production iko juu
Kwenye chassis design nahisi mzungu bado yuko mbali sana,kuna siku nilipanda zhongtong toka nakonde mpaka Lusaka. Napenda kusoma nikiwa safarini ila kwenye Ile basi nilishindwa kusoma kitabu changu kwa sababu ya basi kukosa utulivu. Toka Lusaka to Johannesburg nikapanda irizar aise ,ilikua na utulivu wa ajabu na nikaweza kuendelea kusoma mpaka mwisho wa safari.Sasa kama kumbe ni suala la Bus body building quality, je, kampuni ulizo taja zina uwezo gani in peculiar wa ku equal or surpass Chinese Companies - hii kasumba ya kuponda ponda kampuni za kichina sijui zina stem kutoka wapi na ukisoma kwa umakini wapondaji wengi hawana elimu yoyote kuhusu: Internal combustion engines(Petrol,Diesel) Gas turbines engines, Stirling engines nk
Zungumzieni hata masuala ya metallurgy, forge and foundry, metal fabrication leteni ushahidi wa kuonyesha kwamba wachina wako nyuma sana katika masuala ya ufundi etc - maneno neno mengi ya kuwapanda China - wengie wao wala hawajawai hata kuitebelea Tazara kuangalia walao reli na madaraja na mahandaki yalivyo jengwa zaidi ya miaka 50 iliyopita na yakoje mpaka sasa.
Tumsubiri mwenye uzi akuletee Mzee wa kupambaniaTungepata data za profit mfano yutong vs scania buses waliingia faida kias fani ingemaliza utata
Mkuu zinatembea sana? Sasa hivi mwanza nani ni mbabe? Na mbeya je?Saiv ally's ana kizazi cha vichaa DXS kuna DXS 557 Winchester, kuna DXS 360 unstoppable alafu kuna DXS 554 Mo hizi chuma zimechafukwa zimebakia kupaa tu[emoji23][emoji23]
Kwenye meli, buses, train, trucks, na electric vehicles tayari wanatawala bado ndegeChina wako very serious kwenye mambo yao ya kiushindani kibiashara.... Bado soko la ndege, na lenyewe wanalivozia....
Hakika... katika soko hawa jamaa hawana masihara kabisaKwenye meli, buses, train, trucks, na electric vehicles tayari wanatawala bado ndege
Wamezindua ndege yao C919 mwaka huu tayari ina order 1061 so far
Lets wait and see
Amini mkuuHakika... katika soko hawa jamaa hawana masihara kabisa
Kwa nini unasema hivyo?Ila Wachina kwenye mwonekano wa ndsni wa basi hawana mpinzani
Angalia chuma kama hiziKwa nini unasema hivyo?
Ndio maana wadau wanaziita ndege za ardhiniAngalia chuma kama hizi
Shabiby hii ni Yutong (2×1 seats) na choo
View attachment 2874402
View attachment 2874403
Achimwene hii ni ZhongTong chooni
View attachment 2874388
Mallesa's chuma ni Yutong
View attachment 2874389
Ally's basi ni Golden Dragon
View attachment 2874410
View attachment 2874411
Unazo annual financial reports za makampuni yaliyotajwa tuanze kuchambuaCjeap lazima iuzwe sana, Ni kama mitumba Ilala.
Angalia Sokonlake kubwa ni wapi kama siyo Africa.
Mwisho ukija kuangalia Peaa ya Mauzo ya utakuta Benz kaingiza Pesa nyingi kuliko Yutong, Hata Marcopolo S..A. utakuta ameipita hiyo michina kwenye pesa ilioingia
Mojawapo ya benefits zinazopata viwanda vilivyowekeza China ni low cost of production ukilinganisha na vilivyo Ulaya na AmericaCjeap lazima iuzwe sana, Ni kama mitumba Ilala.
Angalia Sokonlake kubwa ni wapi kama siyo Africa.
Mwisho ukija kuangalia Peaa ya Mauzo ya utakuta Benz kaingiza Pesa nyingi kuliko Yutong, Hata Marcopolo S..A. utakuta ameipita hiyo michina kwenye pesa ilioingia
Exchanga rate ya Euro vs Yuan ikoje.Cjeap lazima iuzwe sana, Ni kama mitumba Ilala.
Angalia Sokonlake kubwa ni wapi kama siyo Africa.
Mwisho ukija kuangalia Peaa ya Mauzo ya utakuta Benz kaingiza Pesa nyingi kuliko Yutong, Hata Marcopolo S..A. utakuta ameipita hiyo michina kwenye pesa ilioingia