Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Watageukana tu huko mbeleni............Ni issue za mikataba tu, wakisimamia hio decision wakasaini mikataba ya kuuziana hio gesi basi itakua ni bonge moja la game coz atakae faidika hapo ni marekani maana makampuni mengi ya marekani ndo yanamanufacture china. Atakaebaki analia ni Germany na wenzake BP wa UK. Ule msemo wa buy low sell high, production cost ikiwa chn ni Apple, Tesla, Google etc.... watapata faida sana
China yuko sahihi hawa West wana mazuri yao ila maisha ya watu wengine kwao sio muhimu kuna nchi zimepoteza maelfu ya watu kwenye vita visivyokuwa na maana lakini Media zao walikuwa wanatangaza mwisho kama habari za michezo ila ya kwao masaa 24 utasema ni wao tu wanaonewa. Angalia waliyoyafanya Iraq, Libya, Syria na Yemen mpaka leo watu wanakufa na wao ndio wanauzia silaha nchi kama Saudia hakuna hata kukemea tu msiuwe watu hovyo ila wao utasema mwisho wa Dunia huu.Akina jack chan wanatusaliti hivi tena
Ukimumunya nchale, ukimeza nchale, ukitema nchale!Watageukana tu huko mbeleni............
.na chokochoko zote mmarekani bado ananunua mafuta ya mrusi huku akitaka chawa wake wasipate gesiView attachment 2134726
Yaani reasoning yenu ni ya kijinga,Ulaya inategemea 25% tuu ya mafuta na gas kutoka Ulaya.Anaenda kununua mafuta na gesi zilizotakiwa kuuzwa ulaya kazi ipo kwa mjeruman wenzake wamemponza
Through your Mwandishi nimebadilika nimejipatiza umatumbi rasmi.Kweli mmatumbi ngozi ya kwapa
Na wewe umeshajiona th westerner? Wakati ndugu zako hata huko Ukraine wanaachwa wafe huku wa Ukraine wenyewe wanakimbia nchi?
When will you ever change?
China Hana uwezo wa kulisha Rusia na bado akajilisha mwenyewe kiuchumi. Hakuna Biashara iliwahi kufanywa na matajiri wawili labda ya kijima.China na Russia walishajenga bomba la gas toka Russia linaitwa Power of Siberia
Uwezo wake ni 61 billion cubic metres per annum.
Mzee Russia anakula mbele na nyuma.
Adui wa adui yako ni rafiki yako.Hivi vikwazo anavyo weka US washa vizoea mwisho wa siku Russia, China, North Korea,Venezuela na Iran nk wataunda umoja wao na wenzetu wanajua kuumiza vichwa kutatua matatizo yao.China hana issue yeye ndiye aliyempeleka mwenzake kichwa kichwa kwenye vita sasa anajaribu kumfariji wakati uchumi wa dunia uko marekani na ulaya
Mzungu na sisi wakina Mbonde hatufanani, ushirikiano wa China na Russia kama wakiumizwa vichwa lazima watatoboa.China Hana uwezo wa kulisha Rusia na bado akajilisha mwenyewe kiuchumi. Hakuna Biashara iliwahi kufanywa na matajiri wawili labda ya kijima.
Nikikuita wewe ni ndomboro ya solo nitakuwa nimekosea!?China Hana uwezo wa kulisha Rusia na bado akajilisha mwenyewe kiuchumi. Hakuna Biashara iliwahi kufanywa na matajiri wawili labda ya kijima.
Hapo ndo nato wangeiweza kuibana china.Ghafla naye China anapigwa vikwazo vya hakuna kununua nje wala luuza nje...
Waafrika hakuna rangi tutaacha kuona...
wew kweli mwehu North korea wote na hao irani hoi bintaaban noth korea ni juzi tu walitangaza njaa wakitaka msaada leo uunde nao umoja utegemee kupiga hatua kiuchumi? Juzi Irani wamelazimika kutumia chanjo za marekani kwa covid-19 ambazo kabla walizikataa kwa mbwembwe zote.Adui wa adui yako ni rafiki yako.Hivi vikwazo anavyo weka US washa vizoea mwisho wa siku Russia, China, North Korea,Venezuela na Iran nk wataunda umoja wao na wenzetu wanajua kuumiza vichwa kutatua matatizo yao.
IRAN amelazimika kutumia chanjo za marekani....... ????!! Hivi unaakili kweli wewe........taarifa huyo umeipata wapiiiiiiwew kweli mwehu North korea wote na hao irani hoi bintaaban noth korea ni juzi tu walitangaza njaa wakitaka msaada leo uunde nao umoja utegemee kupiga hatua kiuchumi? Juzi Irani wamelazimika kutumia chanjo za marekani kwa covid-19 ambazo kabla walizikataa kwa mbwembwe zote.
Asikudanganye mtu katika hili Ulaya na marekani ndio wameihold uchumi wa dunia na hata china anaitegemea Marekani kama wewe unavyohitaji maji ya kunywa ukiwa na kiu.,
Russia jana tu ata mwezi haujafika wametangaza riba mara mbili kutoka 9.6% mpaka 20%, ni vile hujishughulishi tu kutafakari haya mambo uputini umekushika kichwani
SwiftUkimumunya nchale, ukimeza nchale, ukitema nchale!
Yaani hata US na unafiki wake anafeli, sasa anamlipaje mrusi kama anafanya naye biashara kubwa ya mafuta??
Mkuu kabla walikataa wakarejesha wakaomba toka nchi nyengine zilipokuja kutoka nchi nyengine Iran wakagundua zina na lebo ya Marekani wakaamua watumie tu AstraZeneca ni uvivu wako wa kufuatilia mambo tuIRAN amelazimika kutumia chanjo za marekani....... ????!! Hivi unaakili kweli wewe........taarifa huyo umeipata wapiiiiii
Wakati IRAN wamezirudisha chanjo ...baada ya kuona zilitenge ezwa USA.....