China yapinga vikwazo vya US na EU dhidi ya Russia, yasema itaendelea kufanya biashara na Russia

China yapinga vikwazo vya US na EU dhidi ya Russia, yasema itaendelea kufanya biashara na Russia

wew kweli mwehu North korea wote na hao irani hoi bintaaban noth korea ni juzi tu walitangaza njaa wakitaka msaada leo uunde nao umoja utegemee kupiga hatua kiuchumi? Juzi Irani wamelazimika kutumia chanjo za marekani kwa covid-19 ambazo kabla walizikataa kwa mbwembwe zote.

Asikudanganye mtu katika hili Ulaya na marekani ndio wameihold uchumi wa dunia na hata china anaitegemea Marekani kama wewe unavyohitaji maji ya kunywa ukiwa na kiu.,

Russia jana tu ata mwezi haujafika wametangaza riba mara mbili kutoka 9.6% mpaka 20%, ni vile hujishughulishi tu kutafakari haya mambo uputini umekushika kichwani
Wewe na mawazo ya kimasikini ndiye unayefikiria hivyo.Ila rangi nyeupe akili zao ni tofauti kabisa na uwazavyo ww, so kwa rangi nyeusi haiwezekani ila kwa rangi nyeupe inawezekana, North Korea pamoja na vikwazo vyote walivyo wekewa, ila still kwenye maswala ya kisayansi wamepiga hatua kubwa kuliko hata hao baadhi ya nchi zisizokuwa na vikwazo, so wakikaa mezani na kuumizwa vichwa nina uhakika watatoboa wenzetu sio wavivu kufikiri.

China yule kawekewa vikwazo vingapi kipindi cha utawala wa Trump lkn bado uchumi wake unakuwa kwa fujo.

Kuhusu hiyo kuongezeka kwa riba hiyo ni hali ya mpito na naamini kwa wazungu watairekebisha. Ila usifananishe akili ya mzungu na ya Wafrika ambao wengi tunafikiria kesho tutakula nini ma si nitaunda nini.We endelea na mahaba yako kwa hao wamagharibi ila rangi nyeupe level yao kufikiria pindi wapatapo changamoto ni kubwa sana.
 
Mkuu kabla walikataa wakarejesha wakaomba toka nchi nyengine zilipokuja kutoka nchi nyengine Iran wakagundua zina na lebo ya Marekani wakaamua watumie tu AstraZeneca ni uvivu wako wa kufuatilia mambo tu
Walizirudisha Mkuu
 
wew kweli mwehu North korea wote na hao irani hoi bintaaban noth korea ni juzi tu walitangaza njaa wakitaka msaada leo uunde nao umoja utegemee kupiga hatua kiuchumi? Juzi Irani wamelazimika kutumia chanjo za marekani kwa covid-19 ambazo kabla walizikataa kwa mbwembwe zote.

Asikudanganye mtu katika hili Ulaya na marekani ndio wameihold uchumi wa dunia na hata china anaitegemea Marekani kama wewe unavyohitaji maji ya kunywa ukiwa na kiu.,

Russia jana tu ata mwezi haujafika wametangaza riba mara mbili kutoka 9.6% mpaka 20%, ni vile hujishughulishi tu kutafakari haya mambo uputini umekushika kichwani
Mkuu
Screenshot_20220301-122137_Twitter.jpg
 
Kwa kuwa china hayupo kwenye vikwazo,basi tutamtumia china katika kila nyanja ni kama vile Mo alivyotekwa na vyombo vya vc vyo vya ulinzi ila biashara ziliendelea palepale. Tutatumia madalali wa China kukamilisha mihamala ya SWIFT
Aiseeh! Kila penye ugumu pana njia ya kutokea
 
Wizara ya Mambo ya nje ya China imesema China yapinga vikwazo vilivyowekwa vya kujiamulia na Marekani na Jumuia ya nchi za Ulaya dhidi ya Russia. Msemaji wa Wizara hiyo amesema kuwa vikwazo hivyo havina msingi wowote ktk sheria za kimataifa.
======


China, a close ally of Russia, said on Monday that it was opposed to illegal unilateral sanctions and will continue to carry out normal trade cooperation with Moscow, as the US, EU and their allies stepped up punitive measures against Russia, including the interbank messaging system SWIFT.

Asked about what some have described as the "financial nuclear option" at a regular press briefing in Beijing, Foreign Ministry spokesman Wang Wenbin said China opposes the use of sanctions to solve problems and is even more opposed to unilateral sanctions that have no basis in international law.

"China and Russia will continue to carry out normal trade cooperation in the spirit of mutual respect, equality and mutual benefit," Wang said.

MasterCard and Visa to limit Russia operations​

Some cards issued in the country will not be accepted abroad and on foreign websites
MasterCard and Visa to limit Russia operations

© Getty Images / SOPA Images
International card companies Mastercard and Visa have disconnected a number of Russian banks from their payment systems following “sanction orders” related to Russia’s ongoing military operation in Ukraine.
As a result of the sanctions orders, we have blocked several financial institutions in the Mastercard payment network. We will continue to work with regulators in the coming days to fully comply with our obligations,” Mastercard CEO Michael Mibach said in a statement on Tuesday.
The card company did not specify which institutions will be cut off, but Washington last week announced a list of Russian banks which fall under the sanction orders. These include VTB, Otkritie, Sovcombank, Promsvyazbank and Novikombank. Their assets and dollar accounts were blocked, and Apple Pay and Google Pay for the cards of these banks stopped working.
Restrictions were also placed on Sberbank, but they fell short of freezing its assets – instead, only correspondent accounts of the bank will be closed.
Germany wants limited Russia SWIFT ban – Foreign MinistryREAD MORE: Germany wants limited Russia SWIFT ban – Foreign Ministry
Gazprombank, RSHB, Alfa-Bank, and Credit Bank of Moscow were subject to sectoral sanctions, with only a few restrictions.
According to RBC, Mastercard notified banks that fell under blocking sanctions that they were suspending their participation in the system on February 26.
International payment system Visa also announced on Tuesday it would be taking “prompt measures” to enforce Ukraine-related sanctions, however, it has not yet specified the details.
According to the sanction orders, clients of sanctioned banks will not be able to pay with their Visa and Mastercard cards abroad and on foreign websites. However, the cards will continue to work in Russia, since payments within the country are processed via the internal National Payment Card System (NSPK), created in 2014.
Tuesday’s announcements from the card companies come a day after the head of the National Bank of Ukraine Kirill Shevchenko called on Visa and Mastercard to stop servicing Russian banks from their payment systems.
Russia launched a military operation in Ukraine last week at the request of the two breakaway Donbass republics, which Russia recognized on February 24. The leaders of the republics urged Moscow to step in and defend their people from what they see as pro-Kiev nationalists who have been terrorizing the region since 2014. Many Western states, however, see Russia’s moves as “unprovoked” aggression and have introduced new sanctions against Russia’s economy. The restrictions have been gradually expanding over the past few days, with new penalties introduced each day.


Ukraine invasion: Russians feel the pain of international sanctions​

By Anastasia Stognei in Moscow & Simon Fraser in London
BBC News

Published59 minutes ago
Share
Related Topics
A woman walks in front of digital panel displaying the euro and US dollar currency rate at an exchange office in St. Petersburg, Russia, 28 February 2022.
IMAGE SOURCE,EPA
Image caption,
The rouble has plummeted against the dollar and other currencies in recent days
"If I could leave Russia right now, I would. But I can't quit my job," says Andrey.
He can't afford to get a mortgage in Moscow now interest rates have been hiked.
Millions of Russians like him are starting to feel the effect of Western economic sanctions designed to punish the country for invading neighbouring Ukraine.
"I am planning to find new customers abroad asap and move out of Russia with the money I was saving for the first instalment," says the 31-year-old industrial designer.
"I am scared here - people have been arrested for speaking against 'the party line'. I feel ashamed and I didn't even vote for those in power."
Like other interviewees for this article we are not using his full name or showing his face for security reasons. Some names have been changed.

Japan sanctions Putin​

Tokyo vows to ‘freeze assets’ of top Russian officials, including President Vladimir Putin
Japan sanctions Putin

FILE PHOTO: A man walks past a TV screen with image of Russia's President Vladimir Putin in Tokyo, Feb. 24, 2022 © AP / Koji Sasahara
Japan has slapped Russia with additional sanctions for its offensive in Ukraine, targeting three state banks and six top state officials, including President Vladimir Putin, Foreign Minister Sergey Lavrov and Defense Minister Sergey Shoigu.
“We've agreed on the need to take powerful sanctions against Russia,” Prime Minister Fumio Kishida declared on Tuesday.
Japan’s asset freeze will also target Russia’s central bank, as well as the state-owned Vnesheconombank and Promsvyazbank. In addition, Tokyo will ban exports to 49 Russian companies and entities.
Japan joins the US, EU and other Western allies in introducing embargoes against Moscow for “an invasion of Ukraine.” The measures mostly focus on cutting off certain Russian banks from global financial transactions and freezing assets abroad.
US singles out ‘Putin ally’ for more sanctionsREAD MORE: US singles out ‘Putin ally’ for more sanctions
Russia attacked Ukraine last Thursday, justifying it with a call for the complete “demilitarization” and “denazification” of the country, and made a pledge to prosecute those who were involved in “numerous bloody crimes against civilians.” The move came just days after Moscow recognised the Donetsk and Lugansk People's Republics.
Kiev, however, claims the attack was “unprovoked,” insisting it has had no plans to retake the breakaway regions of Donetsk and Lugansk by force. They split from Ukraine back in 2014 following the Maidan, which ousted a democratically-elected government in Kiev. Years of low-intensity warfare has left thousands of people dead.

Canada to ban imports of crude oil from Russia​

By Beth Timmins
Business reporter, BBC News

Published12 hours ago
Share
Related Topics
Gas metering station at Berehove in Ukraine
IMAGE SOURCE,REUTERS
Image caption,
Russian gas flows through pipelines across eastern and central Europe
Canadian Prime Minister Justin Trudeau has announced a ban on Russian oil imports following the country's invasion of Ukraine.
Mr Trudeau said oil revenues have helped to prop up President Vladimir Putin and Russian oligarchs.
Coordinated Western sanctions against Russia have targeted its banks but still accept its oil and gas exports.
Unlike Europe, Canada is not heavily reliant on Russia's oil exports.
"While Canada has imported very little amounts in recent years, this measure sends a powerful message," Mr Trudeau told a news conference.
Canada imported just C$289m (£170m) worth of energy products in 2021, according to Statistics Canada.

Canada is the world's fourth largest producer of oil.
Europe, however, is far more reliant on Russia's supplies. A quarter of the European Union's petroleum oil imports come from Russia and about 40% of the EU's natural gas imports.
Refusing to buy its oil and gas would be a very tough sanction from European countries, but policymakers have so far been reluctant to take that step, worried about the impact on energy prices in their own countries.
The price of Brent crude rose by 4.6% to $102 barrel on Monday after Western nations imposed new sanctions on Russia - one of the world's largest energy producers.
While the UK gets most of its imports from Norway and the US, fuel prices in the UK still hit record highs on Monday as the impact of Russia's invasion affected global energy markets.
Russian oil and gas exports make up a fifth of Russia's economy and half of its earnings from exports. The country is the European Union's biggest oil trading partner, according to the latest data from Eurostat.

Western nations announced at the weekend that they would impose sanctions on Russia's central bank to prevent it from selling its vast reserves to prop up its own banks and companies.
Russia's central bank has build up $630bn in reserves.
The White House press secretary Jen Psaki also said that sanctions targeting Russia's energy sector remain on the table.
On Saturday, the EU, the US, the UK and other allies also announced that some Russian banks would be banned from Swift, an international payment system.
Swift is the global financial artery that allows the smooth and rapid transfer of money across borders.
Banning Russia from using Swift will, for example, hit payments for its key energy and agricultural products.

More on this story​

 
China hana issue yeye ndiye aliyempeleka mwenzake kichwa kichwa kwenye vita sasa anajaribu kumfariji wakati uchumi wa dunia uko marekani na ulaya
hapa umefeli

Think twice
 
Mkuu China walizimiwa mtandao wa Android tu ni marekani wakasema wataanzishwa wa kwao wakafeli, acha uputini
duh kwa hizi akili kweli hii ni timu I stand with ukraine
 
vikwazo vya kiuchumi vinaumiza pande zote za mgogoro........
usa,eu,china,RU na ulimwengu mzima lazima tutapata kusinyaa kwa uchumi.......
sasa kwenye harakati za kupambana na ukuaji hasi wa uchumi alliance mpya za kibiashara zitatengenezwa......my bet is ndio mwisho wa usa kuwa superpower
 
wew kweli mwehu North korea wote na hao irani hoi bintaaban noth korea ni juzi tu walitangaza njaa wakitaka msaada leo uunde nao umoja utegemee kupiga hatua kiuchumi? Juzi Irani wamelazimika kutumia chanjo za marekani kwa covid-19 ambazo kabla walizikataa kwa mbwembwe zote.

Asikudanganye mtu katika hili Ulaya na marekani ndio wameihold uchumi wa dunia na hata china anaitegemea Marekani kama wewe unavyohitaji maji ya kunywa ukiwa na kiu.,

Russia jana tu ata mwezi haujafika wametangaza riba mara mbili kutoka 9.6% mpaka 20%, ni vile hujishughulishi tu kutafakari haya mambo uputini umekushika kichwani
Marekani wanatengeneza tukio na kulitatua. Anatengeneza magonja na kutengezeza dawa na sisi ngedere kazi yeti ni kushangilia kila kitu. Acha tu tuendelee kutawaliwa kwa hizi akili zetu, tunastahili kutawaliwa
 
Ni issue za mikataba tu, wakisimamia hio decision wakasaini mikataba ya kuuziana hio gesi basi itakua ni bonge moja la game coz atakae faidika hapo ni marekani maana makampuni mengi ya marekani ndo yanamanufacture china. Atakaebaki analia ni Germany na wenzake BP wa UK. Ule msemo wa buy low sell high, production cost ikiwa chn ni Apple, Tesla, Google etc.... watapata faida sana
Mkuu ayo mambo walishafanya mda sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bidhaa toka china zitaendelea kumiminika zitakakopita hutapajua. Mwafrika ni ngumu kununua vijiko kama hivi kutoka marekani hadi bongo kwa angalau shilingi 50, 000!- wakati seti kama hiyo mchina anakupa kwa sh.
9, 500/- 😆🤣View attachment 2134710
Kila nikifikiriaga zile bidhaa za China hasa malonya ya nguo nachokaga kabisa,unanunua pyjamas za mtoto ndani ya mwezi mmoja,shingo iko mabegani,,acha tu niwe najibana naagiza huko huko kwa wanaotengeneza vyenye ubora,unanunua mtoto anavaa zaidi ya miezi sita na kitu kiko Intact,unaweza kumpatia na mtoto mwenye uhitaji nae akavaa kwa miezi sita zaidi.China janja janja nyingi mno n avitu vyao feki
 
Ghafla naye China anapigwa vikwazo vya hakuna kununua nje wala luuza nje...

Waafrika hakuna rangi tutaacha kuona...
Wewe ujui kua hivyo ni vikwazo vya kususia siyo unavyo dhani wewe , kuna tofauti ya mimi kukataa kukuuzia kitu kwenye duka langu na mimi kuwa na uwezo wa kukuamrisha marufuku kununua au kuuza kwa mtu yoyote, vikwazo wanavyo iwekea russia hata sisi tz tunaweza kuiwekea marekani ,ni vikwazo vya kususiana siyo vya kushinikizana
 
Back
Top Bottom