China yasema ipo tayari kuharibu uhuru wa Taiwan kwa njia yoyote

China yasema ipo tayari kuharibu uhuru wa Taiwan kwa njia yoyote

Jeshi la China linasema liko tayari kuharibu harakati za aina yoyote za uhuru wa Taiwan, huku Marekani ikijiandaa kuharakisha uuzaji wa silaha za kujihami kwa demokrasia ya kisiwa kinachojitawala.

Msemaji wa Wizara ya Ulinzi, Kanali Tan Kefei anasema ongezeko la hivi karibuni la mabadilishano kati ya Wanajeshi wa Marekani na Taiwan ni hatua mbaya na hatari.

Tan anasema Jeshi la ukombozi la Watu wa China linaendelea kuimarisha mafunzo na maandalizi ya kijeshi ili kukabiliana na vikosi vinavyounga mkono uhuru na uingiliaji kutoka nje, akimaanisha mshirika wa karibu wa Taiwan, Marekani.

China inadai kisiwa hicho chenye watu milioni 23 kuwa ni eneo lake na kinapaswa kuwa chini ya udhibiti wake kwa nguvu kama itatakiwa kufanyika hivyo.

========

China says ready to ‘smash’ Taiwan self-rule as US prepares major arms package

China is prepared to “resolutely smash any form of Taiwan independence,” its military said Tuesday, as the US reportedly prepares to accelerate the sale of defensive weapons and other military assistance to the self-governing island democracy.

A recent increase in exchanges between the US and Taiwanese militaries is an “extremely wrong and dangerous move,” Defense Ministry spokesperson Col. Tan Kefei said in a statement and video posted online.

Soldiers of China’s People’s Liberation Army (PLA) prepare in front of the Tiananmen Gate ahead of the military parade to mark the 70th anniversary of the end of World War Two, in Beijing, China, September 3, 2015. (Reuters)

China is prepared to “resolutely smash any form of Taiwan independence,” its military said Tuesday, as the US reportedly prepares to accelerate the sale of defensive weapons and other military assistance to the self-governing island democracy.

A recent increase in exchanges between the US and Taiwanese militaries is an “extremely wrong and dangerous move,” Defense Ministry spokesperson Col. Tan Kefei said in a statement and video posted online.

For all the latest headlines follow our Google News channel online or via the app.

China’s People’s Liberation Army “continues to strengthen military training and preparations and will resolutely smash any form of Taiwanese independence secession along with attempts at outside interference, and will resolutely defend national sovereignty and territorial integrity," Tan said, in a reference to Taiwan’s closest ally, the United States.

China claims the island of 23 million people as its own territory, to be brought under its control by force if necessary.

With the world’s largest navy, latest-generation fighter jets and a huge arsenal of ballistic missiles, China has been upping its threats by sending planes and warships into waters and airspace around Taiwan. With more than 2 million members, the PLA also ranks as the world’s largest standing military, although transporting even a portion of the force in the event of an invasion is considered a huge logistical challenge.

Along with daily air and sea incursions around Taiwan, Beijing has held military exercises in and around the Taiwan Strait dividing the sides, seen in part as a rehearsal for a blockade or invasion that would have massive consequences for security and economies worldwide.

Such actions seek to harass Taiwan’s military and intimidate politicians and voters who will choose a new president and legislature next year.

The moves appear to have had limited effect, with most Taiwanese firmly in favor of maintaining their de facto independent status. Politicians and other public figures from Europe and the US have also been making frequent trips to Taipei to show their support, despite their countries’ lack of formal diplomatic ties in deference to Beijing.

Tan’s comments were prompted by a question from an unidentified reporter about reports that US President Joe Biden is preparing to approve the sale of $500 million in arms to Taiwan, as well as sending more than 100 military personnel to evaluate training methods and offer suggestions for improving the island’s defenses.

Taiwan enjoys strong support from both the US Democratic and Republican parties, which have called on the Biden administration to follow through on nearly $19 billion in military items approved for sale but not yet delivered to Taiwan.

Administration officials have blamed the delayed deliveries on bottlenecks in production related to issues from the COVID-19 pandemic to limited capacity and increased demand for arms to assist Ukraine. Biden’s move would allow the export of items from existing US military stockpiles, speeding up the delivery of at least some of the hardware Taiwan needs to deter or repel any Chinese attack.

Among the items on backorder are Harpoon anti-ship missiles, F-16 fighter jets, shoulder-fired Javelin and Stinger missiles and the High Mobility Artillery Rocket System, or HIMARS, a multiple rocket and missile launcher mounted on a truck that has become a crucial weapon for Ukrainian troops battling Russian invasion forces.

Tan’s comments were in line with Beijing’s standard tone on what it calls the “core of China’s core interests.” The two sides split at the end of a civil war in 1949 and Beijing considers bringing Taiwan under its control as key to asserting its sovereignty and territorial integrity.

Attempts to “seek independence by relying on the United States” and “seek independence by military might” are a “dead end,” Tan said.

With China-US relations at a historic low and Taiwanese unreceptive to Beijing’s demands for political concessions on unification, concerns are rising about the likelihood of an open conflict involving all three sides and possibly US treaty allies such as Japan.

China’s diplomatic and economic support for Russia following its invasion of Ukraine has also increased tensions with Washington. Beijing is believed to be closely studying Moscow’s military failures in the conflict, while the Western will to back Kyiv is seen by some as a test of its determination to side with Taiwan in the event of a conflict with China.

Source: Alarabia
Hawa china na wao waache domo badala yake waishike taiwan mara moja kijeshi. Makubaliano na marekani kwamba hawatatumia nguvu wakati wao mamarekani wanaendelea kuwatia kichwa mabwanyenye na mabepari wa taiwan hayana maana.
Tofaiti na uvamizi wa urusi ukraine dunia nzima na umoja wa mataifa wanatambua taiwan kama sehemu ya china.
 
Unapo yatazama hayo China tazama Afrika itakuwa katika hali gani njia hiyo kuu ikikumbwa na vita.

Kuhusu ushiriki wa marekani na mataifa mengi kwenye Vita moja kwa moja haiwezi kutokea.

Hali mbaya ya kiuchumi itakayo ikumba dunia kuanzia huko marekani, ulaya, amerika, asia, afrika itakuwa sio nzuri.

Masuala ya vita sio ya kuchekewa kama watu wanavyo furahia mchezo wa mpira wa miguu.
Suluhisho ni China kutumia demokrasia sio nguvu, hata mimi siwezi kubali kufungiwa. Either wakae hivihivi au waungane kwa amani sio vita otherwise ikitokea matokeo ni baadae
 
Kumbe mnafahamu matatizo yenu ambayo ndio kikwazo kwenu.

Jengeni bara lenu na nchi zenu hayo mataifa ya magharibi yatakuja tu huko.

Masuala ya China hauna ufahamu nayo licha ya kuwa una lazimisha uone unafahamu.
Si Bora sisi tuna AMANI uhuru na UWEZO wa kuichalenji SERIKALI nyinyi kwenu hamna uhuru hata wa kumiliki Ardhi.
Wachina wengi sana wanamalalamiko kwenye local government zao. Uchumi wenu ni bosheni, kilichotajirika ni chama na sio wachina wenyewe.

Takwimu zenu zinaonesha more than 600milions Chinese wanalipwa $150 kwa mwezi na kwa sasa hii hela haipo kabisa kutokana na wimbi la unemployment.

Utajiri ambao hauna manufaa yoyote kwa raia Bali unakitajirisha chama hauna manufaa yoyote
 
Suluhisho ni China kutumia demokrasia sio nguvu, hata mimi siwezi kubali kufungiwa. Either wakae hivihivi au waungane kwa amani sio vita otherwise ikitokea matokeo ni baadae
Peaceful unification ipo proposed toka 1970s

Deng akaleta suala la One country two systems.

General secretary Jiang, Hu, Xi mpaka sasa msimamo ni peaceful unification kwa makubaliano ya pande zote PRC haina muda wa kutaka kuitawala ROC kimabavu kama inavyo zungumzwa huko nje.

Matumizi ya nguvu ni matokeo ya mwisho pale itakapo onekana kuna kila juhudi za kutaka kuiweka mbali zaidi Taiwan kutoka China I mean kuitenga Taiwan na China na kuanzisha taifa lao.

Pande zote mbili PRC na ROC kwa wakati mbalimbali wamekuwa wakiimarisha ushirikiano katika masuala mbalimbali toka miaka ya 1990s ili kudhibiti hali ya kutokea vita baina yao.

Jambo lililo baki ndani ya ROC yenyewe misimamo baina ya KMT na DPP kuhusu uhusiano na mainland na position ya ROC kimataifa.
 
Si Bora sisi tuna AMANI uhuru na UWEZO wa kuichalenji SERIKALI nyinyi kwenu hamna uhuru hata wa kumiliki Ardhi.
Wachina wengi sana wanamalalamiko kwenye local government zao. Uchumi wenu ni bosheni, kilichotajirika ni chama na sio wachina wenyewe.

Takwimu zenu zinaonesha more than 600milions Chinese wanalipwa $150 kwa mwezi na kwa sasa hii hela haipo kabisa kutokana na wimbi la unemployment.

Utajiri ambao hauna manufaa yoyote kwa raia Bali unakitajirisha chama hauna manufaa yoyote
Uhuru na amani mnayo. Je maendeleo bora mnayo au kwenu sio vitu vya msingi ?
 
Uhuru na amani mnayo. Je maendeleo bora mnayo au kwenu sio vitu vya msingi ?
Maendeleo tunayo tena maendeleo yenye AMANI, maendeleo yenu hayana AMANI,

Sasahivi tunavyoongea China vijijini wakulima wanalazimishwa Kukata mazao yao na kubadilisha mazao yao na maeneo yao kupanda mpunga

Malalamiko yamekuwa mengi imefikia mpaaka wanakijiji wanaua wafanyakazi wa selikari.

Maendeleo gani sasa hayo?
 
Kumbe mnafahamu matatizo yenu ambayo ndio kikwazo kwenu.

Jengeni bara lenu na nchi zenu hayo mataifa ya magharibi yatakuja tu huko.

Masuala ya China hauna ufahamu nayo licha ya kuwa una lazimisha uone unafahamu.
Ngoja nikuachie wewe huo ufahamu. Maana mimi sioni sifa, sifukuzane na aliyekwapua taulo langu.
 
Kama urussi aliyebaba wa nishati duniani kachemka sembuse mchina
?
China ina industrial supplies, Hana natural resources muhimu Kwa Dunia atakalishwa faster.

Hana gesi, hana mafuta....atakalushwa mapema kwa vikwazo
Urusi kachemka kivipi kashajichukulia maeneo ya kutosha
 
China ikitaka kupoteza muelekeo wake ijaribu kuivamia Taiwan kijeshi, itavurugika yote.. there will be no China anymore.

Kwasasa tu ndani kunafukuta, hali ya uchumi ni mbaya sana watu wanapata shida kisa sera mbovu. Maandamano yatakayokuja baada ya uvamizi ni makubwa kuliko yale ya covid 19.

Wachina wengi wameichoka CCP. Wazee wamekatwa pesa zao za pension mpaka 40%, wakati watu Duniani tunatangaziwa covid 19 is no more a threat China ndo kwanza mlipuko umezidi na watu kila siku wanakufa.

Wachina wakiamka nakwambia CCP itasambaratika within weeks.
Nonsense hicho kisiwa china anawez kukizunguka pande zote bila shida
 
China anaongea tu lakini hawezi nusa hapo Taiwan. Watu watarusha vyuma mpaka hapo China.
Najua vita haiwezi kutokea

Ila kinadharia ni kwamba hayo mataifa yataishia tu kuipa msaada wa kijeshi na silaha Taiwan na labda kuunga mkono vikwazo vya kiuchumi kwa China

Ila suala la kusema wataishambulia au kuivamia China hilo haliwezi kutokea
 
Zaidi ya 75% ya energy products China inaagiza nje na njia kuu ni malaka straight. Hii njia ikifungwa kwa vikwazo China kutakuwa na hali mbaya sana.

CCP hawajali wao wanachowaza ni usupa pawa tu. Xi anawaponza mtapotea vibaya sana. Kinachotokea urusi nadhani mnakiona
Urusi kinatokea nini? Ameshashika zaidi ya 25% ya ardhi ya Ukraine. Uchumi wake umekua toka alipoivamia Ukraine... mauzo ya mafuta ndio yamepamba moto, ulaya wanalazimika kununua kupitia mtu kati kwa bei juu.. hivi hua mnafanya utafuti hata kdg?
 
Sikatai lakini wachina wanageuza nchi za watu jalala nenda karikoo uone takataka zao sijui hata wakaguzi wanakuwa wapi kuruhusu baadhi ya vitu
Ndio hizo takataka za wachina mnazoweka store halafu wahuni wa TRA wanawataka mzilipie kodi.
 
Tunaona selikari ya China inavyohaha kuimarisha mahusiano na USA kwa kuiomba mazungumzo hivi majuzi coz wanajua bila soko la Marekani na Europe hakuna China anymore wanalijua hilo
Labda watawauzia Urusi, Iran
 
Back
Top Bottom