BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Ndoto za mchana hizi. 😂😂😂
Usiwe na hofu kisiwa hicho kitaunganishwa na China moja kiulaini tu.... Marekani ikisogeza pua yake ndipo vita vitaathiri dunia yote.
Dunia ya sasa kambale ni wengi alafu ni wakubwa