China yavunja na kubomoa misikiti kwa ajili ya matumizi ya kiserikali

Kuna mashirika ya Islamic foundation huko morogoro wanajenga misikiti kila kata Yan, sijui wanataka kuanzisha IS
 
Pole yako.
Nina ndugu afanyae kazi Azam na nafaham hilo.
Mameneja wa televisheni za azam wapo wakristo.
Mameneja wa waandaaji wa burudani za tamthilia Azam wapo wakristo e.t.c na e.t.c.
Usikariri bro.
Sijakariri, siwez kuongea kitu sina uhakika nacho, Broo sio peke yako ndo una ndugu anafanya kazi Azam, na sisi tunao, Azam kuna Religious Discrimination kweny Ajira zao, mambo mengine mbona yanajulikana unafichaficha nn?
 
Mkuu nimeipenda hii 👆 taarifa, naomba source AU PDF tafadhali
 
Sijakariri, siwez kuongea kitu sina uhakika nacho, Broo sio peke yako ndo una ndugu anafanya kazi Azam, na sisi tunao, Azam kuna Religious Discrimination kweny Ajira zao, mambo mengine mbona yanajulikana unafichaficha nn?
Ingekua kuna religious bianess hao waliopewa vitengo vikubwa walipewajwe???
Hao watangazaji wakristo wamepewajwee???
 
Kuna mashirika ya Islamic foundation huko morogoro wanajenga misikiti kila kata Yan, sijui wanataka kuanzisha IS
Islamic foundation haijawahi waza fikra mbovu kama hizo.
Morogoro vijiji vingi vimechimbiwa visima na islamic foundation.
Na kila wanapojenga msikiti basi hujenga kisima kwaajili ya wanakijiji.
Nitajie taasisi ya kikristo iliojenga kisima kwaajili ya wananchi kila ililojenga kanisa.
 
Sio Azam ninayo ijua mm, idadi ya wakristo haizidi 5% na waliokuwepo wengi wao ni wa nafasi za chini sana.

Enhe wataje??
Nihitimishe kwa kusema tu kaka,unacho unachokijua na kukiamini basi nami ni vivyo hivyo.
Kila mtu asimamie akiaminicho.
 
Unatumia REJEA ya KITABU kilichoandikwa na mtu mmoja, Halafu anajishuhudia peke yake kuwa yeye ni mkuu kuliko manabii wote ( Halafu wewe unaamini mazima). Hujui kuwa mtu anayejishuhudia peke yake , ushuhuda wake SIYO WA KWELI?
Wewe ulipozaliwa nani mwengine alueshuhudia wakati unazaliwa? Baba yako si alikua shambani?
 
Hilo si shida. Hata rais wako wa nchi yako akipita barabarani unakaa kama hata masaa 6 hukatishi barabarani
 
Kwani mafundisho tofauti ya ukristo,uislam WA Africa na WA ulaya na uarabuni,maandiko na yale yale hapa shida ni mtazamo mfano mwafrika anaenda ibadani ili apate kazi,mke au mme mzungu anaenda kanisani ili aende mbinguni.
Ukristo na uislam umeenezwa na wafuaasi wa Yesu na Muhammad,hakuna serikali iliyoeneza dini maana dini ni suala binafsi la mtu na sio serikali.
Si kwamba China hakuna misikiti na makanisa yapo tele.
Hata huo ubudha ni kwa wachache.
 
Kuwa Muislamu ni neema kubwa mkuu
 
FaizaFoxy @variablechoice njooni tushirikiane kumponda huyu mleta mada na kuilaani China. China waanza tabia za kizandiki. Misikiti imejaa Marekani. Wao ni nani kuupinga uislamu?
 
Umepiga miguu yote hapa🤣
 
labda nikujibu tu kuwa china ni nchi ya kikomunisti, ukristo umepata upinzani mkubwa sana pale. Wachina wana imani zao wanazozikubali, kwa habari ya uislam huko china sijui wanauchukuliaje

Wamewafungia waislam kwenye makambi maalum.

Huko wanalishwa kitimoto kwa nguvu pamoja na kufundishwa ukomunisti.

Wameamua kudhibiti ugaidi mapema kabisa
 
Cha ajabu maustazi wa humu Jf wanaishobokea China[emoji1787][emoji1787]
Waumini wa kitanzania nyinyi tolerance ndogo sana , kama hapo unawapondea maustazi, wakati huohuo watumishi wanavoibebea mbeleko israel ? au huna habari za kule🤣

Heshimianeni tu, maana kurudi kutambika ni ngumu hivo heshimianeni tu.
 
FaizaFoxy @variablechoice njooni tushirikiane kumponda huyu mleta mada na kuilaani China. China waanza tabia za kizandiki. Misikiti imejaa Marekani. Wao ni nani kuupinga uislamu?
Usidandie treni kwa mbele, pitia uzi utakuta comments zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…