China yavunja na kubomoa misikiti kwa ajili ya matumizi ya kiserikali

China yavunja na kubomoa misikiti kwa ajili ya matumizi ya kiserikali

Sisi bado tunapigiana makelele usiku mzima watu hawalali mtaani, wanaopanga kwenda kazini asubuhi hawapati muda wa kulala sababu ya kelele za makanisa alaf ukiingia kanisani unakuta watu watatu tu. Waumini washakuwa masikini wakutupwa kwa kutajirisha wajanja wachache wanaomiliki kanisa.

Ukija kwa upande wa kobaz saa 10 asubuhi washaamshwa watu na maspika yao wahusika na wale ambao sio wahusika.

China wangefuata huu upuuzi wa kizungu na kiarabu mpaka leo nchi yao ingekuwa masikini. Maana wangekuwa wanalala makanisani kutoana mapepo yasioonekana, badala ya kutumia muda huo kulala viwandani kutengeneza utajiri wa raia mmoja mmoja na kukuza uchumi wa nchi.

Mtu kama masanja alieishia darasa la saba anapiga hela ndefu kutoka kwa waumini masikini, huku maprofesa wenye vyeti vyao wakishindia mihogo na maji ya kunywa.
Nchi za Magharibi na USA/Marekani kwa ujumla kuna Dini au Raia wake wana dini na mbona sio Masikini?

Na pia Nchi za Kiarabu kama Qatar, Saudi Arabia na Iran kuna Dini na uchumi wao uko vizuri ukilinganisha na nchi nyingi za Afrika?

Nchi nyingi za Afrika Serikali zao hazina Dini bali Raia ndio wenye Dini. Hivyo kuwa mkweli kinacholeta umasikinini sio Dini(Uisilamu na Ukristo) bali ni Ubinafsi wa viongozi wa Kiafrika wakiongozwa na UFISADI pamoja na RUSHWA.

Ukisingizia Dini utakuwa unakosea kwa Maana China wana Dini zao pia za Kipagani lakini hazijawaletea umasikini. Na Halikadhalika na India.

Otherwise labda utakuwa na upande fulani kama Mtoa mada.
 
Ni kweli, si unaona China imekuwa na uchumi bora baada ya kujitambua na kuachana na imani (dini) dhaifu za kuletewa.
Mbona uarabuni na ulaya Wana maendeleo kuliko china kwa dini hizo hizo za kuletewa.
 
Nchi za Magharibi na USA/Marekani kwa ujumla kuna Dini au Raia wake wana dini na mbona sio Masikini?

Na pia Nchi za Kiarabu kama Qatar, Saudi Arabia na Iran kuna Dini na uchumi wao uko vizuri ukilinganisha na nchi nyingi za Afrika?
Hizo nchi ulizozitaja hapo juu ni kweli kuna dini, lakini asilimia kubwa wao hawafuati dini. Ndomaana dini inakataza ushoga, lakini huko ushoga ndio kwao, umetamalaki mashuleni, maofisini, clabuni nk. Dini inakataza zinaa, lakini huko zinaa ni jambo la kawaida.

Pia pamoja na kwamba huko Marekani au Ulaya kuna dini, lakini hauwezi kufunga masipika katika maeneo wanayoishi watu na kuanza kuwapigia watu wengine makelele usiku mzima. Huo muda wa kwenda kuwapigia watu makelele usiku mzima, mzungu anautumia kwa ajili ya kufanya kazi, kufanya biashara, kuzalisha bidhaa mbali mbali viwandani, kulala na kupumzisha akili kwa ajili ya kuamka na fikra mpya za kikazi asubuhi. Ndio maana wenzetu wameendelea zaidi kwa sababu kila second wanawaza kufanya kazi ili kujiendeleza kimaisha. namna ya kujiendeleza kimaisha, wakati sisi kila second tunawaza kwenda kulala kanisani ili kesho tuwe matajiri bila hata ya kufanya kazi 😂😂😂

Pia haiwezekani ukute ustaz amefunga spika katika mitaa wanayoishi watu Dubai eti kwa sababu ya maulid ya kumswalia mtume. Haya yanafanyika kwetu sisi tusioona mbali
Nchi nyingi za Afrika Serikali zao hazina Dini bali Raia ndio wenye Dini. Hivyo kuwa mkweli kinacholeta umasikinini sio Dini(Uisilamu na Ukristo) bali ni Ubinafsi wa viongozi wa Kiafrika wakiongozwa na UFISADI pamoja na RUSHWA.
Yule kijana aliemuua waziri mkuu mstaafu wa Japan chanzo kilikuwa ni dini, baada ya wazidi mkuu huyo mstaafu ambae pia alikuwa anaendesha mambo ya dini kumlaghai mama yake na kijana kwa maombi yasioleta matokeo yoyote na kumsababishia mama wa kijana umasikini mkubwa ambao hakuwa nao hapo kabla. Waziri mkuu alikuwa mlokole.
Ukisingizia Dini utakuwa unakosea kwa Maana China wana Dini zao pia za Kipagani lakini hazijawaletea umasikini. Na Halikadhalika na India.

Otherwise labda utakuwa na upande fulani kama Mtoa mada.
China wana dini zao, lakini na wao ni kama Marekani, Ulaya au Dubai. katika swala la kupambana na uchumi dini inawekwa pembeni kwanza, ndomaana leo hii nchi zao zimeendelea.
 
Mbona uarabuni na ulaya Wana maendeleo kuliko china kwa dini hizo hizo za kuletewa.
China ni nchi ya pili kwa uchumi duniani. China ina maendeleo makubwa, na imejengwa kuliko nchi yoyote ya Ulaya.

China kwa sasa ina deal mpaka na Umoja wa Ulaya badala ya ku deal na kanchi kamoja kamoja.

Sasa mpaka sasa sina idea unazungumzia maendeleo gani ndugu yangu.

Alafu Uarabuni hawakuletewa dini bali wao ndio walituletea sisi maana uislam umetoka uarabuni. Pia Ulaya hawakuletewa bali wao ndio wametuletea sisi baada ya wao kuuanzisha ukristo.

China wamesimama na imani yao ya ubudha japo wapo mmoja mmoja ambao ndio hao waliopokea za kuletewa lakini ni wachache na hawana mantiki yoyote katika kukuuza uchumi wa nchi na wala hawanga nguvu zozote kisiasa na kimamlaka.
 
China ni nchi ya pili kwa uchumi duniani. China ina maendeleo makubwa, na imejengwa kuliko nchi yoyote ya Ulaya.

China kwa sasa ina deal mpaka na Umoja wa Ulaya badala ya ku deal na kanchi kamoja kamoja.

Sasa mpaka sasa sina idea unazungumzia maendeleo gani ndugu yangu.

Alafu Uarabuni hawakuletewa dini bali wao ndio walituletea sisi maana uislam umetoka uarabuni. Pia Ulaya hawakuletewa bali wao ndio wametuletea sisi baada ya wao kuuanzisha ukristo.

China wamesimama na imani yao ya ubudha japo wapo mmoja mmoja ambao ndio hao waliopokea za kuletewa lakini ni wachache na hawana mantiki yoyote katika kukuuza uchumi wa nchi na wala hawanga nguvu zozote kisiasa na kimamlaka.
Maendeleo ya China ni ya mjini sio vijijini Wana gap kubwa sana nenda ulaya hata vijijini wameendelea.
Huo ubudha china upo vijijini zaidi.
Ulaya wameletewa dini toka Israel.
 
Maendeleo ya China ni ya mjini sio vijijini Wana gap kubwa sana nenda ulaya hata vijijini wameendelea.
China maendeleo yapo kila mahali kuanzia mjini mpaka vijijini. Ukiona China sehemu ipo kawaida, ujue wameiacha makusudi kwa sababu za kiutamaduni au kihistoria maana wenzetu wanazingatia sana utamaduni, historia na mila zao.
Huo ubudha china upo vijijini zaidi.
Ulaya wameletewa dini toka Israel.
Ulaya hawajaletewa dini, bali waliianzisha wenyewe.

Waroma ndio waanzilishi wa ukristo, na wao ndio waliousambaza Ulaya nzima tena kwa mapambano makubwa kati yao na wazungu wenzao. Ndio maana waisrael au wayahudi wenyewe hawautambua huo ukristo, na wala huyo yesu kristo mwenyewe ambae waroma wanadai alikuwa muisrael wa kabila la kiyahudi hawamtambui na wala hawajawahi kumuona.

Israeli wao ni waanzilishi wa dini ya kiyahudi, na Saudi Arabia wao waanzilishi wa dini ya kiislam

Waroma kiasili wanatokea roma nchini Italy.
 
China maendeleo yapo kila mahali kuanzia mjini mpaka vijijini. Ukiona China sehemu ipo kawaida, ujue wameiacha makusudi kwa sababu za kiutamaduni au kihistoria maana wenzetu wanazingatia sana utamaduni, historia na mila zao.

Ulaya hawajaletewa dini, bali waliianzisha wenyewe.

Waroma ndio waanzilishi wa ukristo, na wao ndio waliousambaza Ulaya nzima tena kwa mapambano makubwa kati yao na wazungu wenzao. Ndio maana waisrael au wayahudi wenyewe hawautambua huo ukristo, na wala huyo yesu kristo mwenyewe ambae waroma wanadai alikuwa muisrael wa kabila la kiyahudi hawamtambui na wala hawajawahi kumuona.

Israeli wao ni waanzilishi wa dini ya kiyahudi, na Saudi Arabia wao waanzilishi wa dini ya kiislam

Waroma kiasili wanatokea roma nchini Italy.
Waroma waliuenezaje ukristo wakati wao ndio waliowaua mitume wote wa Yesu.
 
China ni nchi ya pili kwa uchumi duniani. China ina maendeleo makubwa, na imejengwa kuliko nchi yoyote ya Ulaya.

China kwa sasa ina deal mpaka na Umoja wa Ulaya badala ya ku deal na kanchi kamoja kamoja.

Sasa mpaka sasa sina idea unazungumzia maendeleo gani ndugu yangu.

Alafu Uarabuni hawakuletewa dini bali wao ndio walituletea sisi maana uislam umetoka uarabuni. Pia Ulaya hawakuletewa bali wao ndio wametuletea sisi baada ya wao kuuanzisha ukristo.

China wamesimama na imani yao ya ubudha japo wapo mmoja mmoja ambao ndio hao waliopokea za kuletewa lakini ni wachache na hawana mantiki yoyote katika kukuuza uchumi wa nchi na wala hawanga nguvu zozote kisiasa na kimamlaka.
Point of correction UKRISTO hauja anzishwa na wazungu (ULAYA) UKRISTO Umeanzishwa kule Israel na YESU , na Kisha ukaenezwa na WAZUNGU, Wakristo wa kwanza kabisa walikuwa waisrael sio wazungu.....UKRISTO haukuwahi kuwa Dini ila wazungu waliusambaza kama DINI to the world..........
 
Hongera China kwa hiki mnachokifanya, hakika nchi yenu itabaki na amani kwa kudumisha tamaduni na dini zenu.
Endeleeni na hizohizo dini zenu za Confucianism and Buddhism, waachieni waarabu na tamaduni zao.

Chinese authorities have decommissioned, closed down, demolished, and converted mosques for secular use as part of the government's efforts to restrict the practice of Islam. The authorities have removed Islamic architectural features, such as domes and minarets, from many other mosques.

Maya Wang, the acting China director at Human Rights Watch, said the "closure, destruction and repurposing of mosques is part of a systematic effort to curb the practice of Islam in China."

Mfano mmoja kati ya misikiti mingi ilibomolewa/kubadilishwa na serikali ya China kwa matumizi ya kiserikali.
Before👇
View attachment 2872615

After👇
View attachment 2872616

Huku misikiti mengine ikibadilishwa na kuwa Public toilets.
View attachment 2872619
Link👇;
Systematic Uighur Oppression: China Demolishes Mosque, Builds Public Toilet In Its Place

I can't write everything, for more information go to these websites;

Clashes at ancient China mosque over planned demolition

China closing hundreds of mosques in northern regions, rights group says

China: Mosques Shuttered, Razed, Altered in Muslim Areas.
China wameona mbali kwani UISLAM ni Janga la Dunia
Screenshot_20240118-111315.png
Screenshot_20240118-111416.png
Screenshot_20240118-111603.png
 
Satanic Book Satanic Mindset; musiwaachie watoto wenu wadogo hata kidogo. Ndiyo maana China si kwamba wanavunja miskiti yao tu bali wanawapeleka Rehabilitation Waislam wote wa Uighur


View: https://x.com/AzzatAlsaalem/status/1747992263689482580?s=20

Things Islam can't handle and punishes with death or violence;
-It's criticism and mockery.
-People rejecting it i.e. Apostasy
-Consensual sex (before marriage) between consenting adults.
-LGBTQ relationships(which is ironic)
-Women having bodily autonomy

Things Islam is Okay with;
-Marital rape
-Child marriage(Pedophilia)
-Slavery including sexual slavery
-Domestic Abuse
-Deceit
 
Back
Top Bottom