Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
- Thread starter
- #21
Wanakosa govt supportHivi wale wabunifu wetu wa helcopter waliishia wapi? Kwanini wasiwe accelerated ili siku moja wafike huku? Hawa wachina si nao walianza kama wetu?
Ona wenzetu walichofanya mpaka leo tunaona kama hiyo Adora, COMAC C919 na Shenzhou 16
●Government support kwenye R&D
●Policy support etc