China yazindua Cruise Ship ya kwanza, 'Adora Magic City.'

China yazindua Cruise Ship ya kwanza, 'Adora Magic City.'

Nimekuweka source ya stastica kama wabisha leta source inayosema otherwise
Mwenye macho haambiwi tixama nskuuliza nitajie gari moja tu ya petrol ya mchins ukiyowahi iona popote Tanzania. Jina ls hiyo gari inaitwaje?
 
Mwenye macho haambiwi tixama nskuuliza nitajie gari moja tu ya petrol ya mchins ukiyowahi iona popote Tanzania. Jina ls hiyo gari inaitwaje?
Nakupa source ya bbc nayo bishana nayo hii hapo.
Kwani hizi gari za yutong na faw za nani? za majapan au?
Na pia mchina bidhaa zake anazouza afrrika hazichangii hata 5% ya mauzo yake kwa hiyo si lazima kila bidhaa yake uikute afrika. Na bado china ni market share kubwa ya bidhaa toka nje ndio maana makampuni ka tesla na apple wanapenda soko la china so china yenyewe inakuwa supported sana na soko lake kwa kuanza kuuza ndani.
We bishana na source nipe source moja inayosema otherwise maana tunaongea kwa refernece si mawazo yako wala mimi
 
Mwenye macho haambiwi tixama nskuuliza nitajie gari moja tu ya petrol ya mchins ukiyowahi iona popote Tanzania. Jina ls hiyo gari inaitwaje?
Iko hivi mkuu:

Kinachoangaliwa kwenye mauzo ya magari ni units (idadi) zilizouzwa

Haijalishi magari yaliouzwa ni NEV (New Energy Vehicles) au yanayotumia fossil fuels (super au diesel)
 
Kwenye cruise ships Mchina hakuwekeza sana.

Kwa hiyo amekuja sasa kuongeza ushindani na usishangae Mchina akaja kuipiga gap Marekani kama alivyoipiga gap kwenye commercial and naval ships

Ana order 2 ya hizo cruise ship hiyo ya kwanza imezinduliwa bado ya pili, kwa biashara ya cruise ship ni mwanzo mzuri sana

Zile ndege za COMAC, C919 watu walizisema so far wana order 1061

China is something else bro
Marekani hatengenezi meli, yeye ananunua na kuoperate.
Wachina si watalii wazuri
 
Marekani kumbuka hayuko hata top 3 ya makampuni yanayounda meli duniani. Na meli zake za makampuni ya cruise zinatengenezwa na makampuni ya ulaya si marekani.
Miaka michache nyuma china hakuwa hata kwenye top 5 ya kampuni zinazounda meli, yalikuwepo makampuni ya korea, japan na ulaya ila sasa ameyapiku yani almost nusu ya order za meli kote duniani anaziunda yeye, about 47% ya order za meli. Hili si jambo dogo.
Marekani ana war economy nzuri sana ila uchumi wa amani anaweza akapotezwa vitu vingine. Kwenye WW2 alitengeneza meli za kivita zaidi ya 5,000 ndani ya miaka tisa. Kati ya hizo meli kulikuwa na warships ambazo haziwezi badilishwa kuwa za kiraia ila nyinginezo kama tanker, replenishment na supply ziliuzwa bei ndogo kwa raia vita ilipoisha. Kuna jamaa alikuwa bilionea wa shipping miaka hiyo alipata faida kutokana na kununua kwa mnada meli za jeshi na kuzibadilisha kuzitumia yeye.

Hata sasa Marekani ina aircraft carriers 10 kubwa na China inazo mbili ya tatu bado haijawa kamili. Kwenye WW2 Marekani iliunda aircraft carriers zaidi ya 90.
So kwenye meli wamelala ila siku wakilazimika kuamka wataushangaza ulimwengu.
Focus ya wanasiasa wa Marekani ni kwenye vitu visivyokuwa serious au labda wamefikia kwenye marginal utility yani hawaoni jipya ila wakitoa decree na sera Marekani ni rahisi kukuza sekta hii.
 
Marekani ana war economy nzuri sana ila uchumi wa amani anaweza akapotezwa vitu vingine. Kwenye WW2 alitengeneza meli za kivita zaidi ya 5,000 ndani ya miaka tisa. Kati ya hizo meli kulikuwa na warships ambazo haziwezi badilishwa kuwa za kiraia ila nyinginezo kama tanker, replenishment na supply ziliuzwa bei ndogo kwa raia vita ilipoisha. Kuna jamaa alikuwa bilionea wa shipping miaka hiyo alipata faida kutokana na kununua kwa mnada meli za jeshi na kuzibadilisha kuzitumia yeye.

Hata sasa Marekani ina aircraft carriers 10 kubwa na China inazo mbili ya tatu bado haijawa kamili. Kwenye WW2 Marekani iliunda aircraft carriers zaidi ya 90.
So kwenye meli wamelala ila siku wakilazimika kuamka wataushangaza ulimwengu.
Focus ya wanasiasa wa Marekani ni kwenye vitu visivyokuwa serious au labda wamefikia kwenye marginal utility yani hawaoni jipya ila wakitoa decree na sera Marekani ni rahisi kukuza sekta hii.
Sasa ndio mpaka waamke. Unajua my point hapa ni kwamba china anakuwa serious kwenye kila kitu anaanza kwa kusua sua baadaye unakuta ashaongoza.
Hata kwenye chip manufactuting baada ya miaka kadhaa utashangaa yuko vizuri.
 
Yeah mwaka jana mataifa yaliyoongoza kwa uuzaji wa meli baada ya China ilifuata South Korea na Japan
Kuna mwaka Maersk walitoa order ya meli nyingi sana kwa Wakorea, zilikuwa container carriers za kubeba makontena 20,000 kama sikosei ndio nikaanza kuwajua Wakorea.
Kilichowapunguza nguvu Wakorea ni kufirisika kwa Hanjin Shipping, ile ilikuwa inawapiga tafu sana. Ila kwenye oil tankers na LNG ships naona Wakorea wanauza sana.
 
Sasa ndio mpaka waamke. Unajua my point hapa ni kwamba china anakuwa serious kwenye kila kitu anaanza kwa kusua sua baadaye unakuta ashaongoza.
Hata kwenye chip manufactuting baada ya miaka kadhaa utashangaa yuko vizuri.
China inalazimika kuwa na shipbuilding na shipping industry nzuri sababu wanaexport sana na kufanya imports sana za nishati, chakula na materials.
Marekani haihitaji sana importation na exportation of goods kama China. Yani tuseme ufungie meli kutoka na kwenda China na ufanye hivyo kwa Marekani wa kwanza kuumia ni Mchina.
Kwenye vipaumbele shipbuilding ni muhimu kwa China, Marekani haieleweki inataka ifanye nini.
 
Hawataweza nini? Royal carribean hatengenezi meli bali anaendesha kampuni ya cruising sasa hawatawezi kuendesha kampuni ya cruising au hawatawezi nini? Meli za roya cruising nyingi zimebuniwa na kutengenezwa na makampuni ya ulaya wala si marekani na hiyo inaenda pia kwenye wale matajiri wanaomiliki boat na yatchs wa marekani na uarabini na urusi. Boat zao zimetengenezwa ulaya.
Huyo jamaa atakuchosha bure..
 
China inalazimika kuwa na shipbuilding na shipping industry nzuri sababu wanaexport sana na kufanya imports sana za nishati, chakula na materials.
Marekani haihitaji sana importation na exportation of goods kama China. Yani tuseme ufungie meli kutoka na kwenda China na ufanye hivyo kwa Marekani wa kwanza kuumia ni Mchina.
Kwenye vipaumbele shipbuilding ni muhimu kwa China, Marekani haieleweki inataka ifanye nini.
Lakini kumbuka anazijenga na kuziuza nyingine kwa mataifa mengine. Mfano meli za mafuta na mizigo. By the way point yako naielewa maana sasa china ndiye exporter na nadhani 2nd importer mkubwa dunian. Lakini US si 1st importer kama hicho ni kigezo kwani hahitaji meli kuimport goods
 
Sasa ndio mpaka waamke. Unajua my point hapa ni kwamba china anakuwa serious kwenye kila kitu anaanza kwa kusua sua baadaye unakuta ashaongoza.
Hata kwenye chip manufactuting baada ya miaka kadhaa utashangaa yuko vizuri.
Pale Beijing mwezi May walikuwa na maonyesho makubwa ya China Science Fiction Convention kwa siku 12

Wanasayansi kutoka mataifa mbalimbali walialikwa. Wengi walikiri kuwa kwa sasa China ina latest cutting-edge technology and science fiction elements
 
Shanghai, China
06/06/2023


Kampuni kubwa ya utengenezaji meli inayoitwa China State Shipbuilding Corporation (CSSC) yenye makao yake Shanghai walizindua meli ya kwanza ya kitalii (Cruise ship) kutengenezwa China, iliyopewa jina la Adora Magic City.

Itakuwa cruise ship ya kwanza duniani kuwa na internet ya 5G

Meli hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 5246 na vyumba vya kulala 2826 itakuwa na
•Restaurants
•Theaters
•Shopping centres
•Water parks (swimming pools)
•Outdoor Cinema
•Casinos
•Gaming lounge
•Luxury-brand boutiques
•Photo Gallery & Shop
•Bar
•Modern gym
•Spa
•Beauty saloon
•Stage for live perfomance
•Multi-Sports Course (for playing volleyball/basketball/tennis
•Themed entertainment for kids in 3 age groups
(i)Age 2-5 yo, 6-8 yo, and 9-11 yo
(ii)Children Club Lounge is for older kids (12-14 yo/video games, movies, parties, planned activities),
(iii)Teen Club for teenagers (15-17 yo/movies, interactive video gaming, karaoke, themed parties, booking teen-only cruise shore excursion).


Mwonekano wa nje;

View attachment 2654911

View attachment 2654912



Baadhi ya picha za mwonekano wa ndani

Hotel
View attachment 2654913


Restaurant
View attachment 2654914

Theatre
View attachment 2654915

Mall
View attachment 2654917

Water park
View attachment 2654952

Sasa ni wakati wa China kuingia katika ushindani na makampuni ya Ulaya na America katika utengenezaji wa cruise ships.

UTENGENEZAJI WA MELI CHINA
Mbali ya meli za abiria pia meli zinazotengenezwa kwa wingi nchini China ni meli za mizigo kama liquefied natural gas (LNG) tankers, oil tankers na container ships.

Baadhi ya rekodi zilizowekwa na China katika utengenezaji wa meli;

●Kwa miaka 13 mfululizo China inashikilia rekodi ya kuongoza uuzaji wa meli duniani.

●China State Shipbuilding Corporation (CSSC) ilisaini mkataba na kampuni ya Ufaransa ya CMA CGM kuitengenezea meli za kubeba kontena kubwa 16 zenye thamani ya 4 billion U.S. dollars. Imekuwa kampuni ya kwanza duniani kupewa oda kubwa kwa wakati mmoja

●Meli kubwa duniani ya kubeba container yenye ukubwa wa viwanja 4 vya mpira wa miguu, iliuzwa kwa kampuni ya Mediterranean Shipping Company (MSC) SA. Ilitengenezwa na kampuni ya Hudong-Zhonghua Shipbuilding Co Ltd, yenye makao yake Shanghai. Imepewa jina la MSC TESSA

View attachment 2654947


●China pekee inachangia 47.3% ya meli za mizigo zinazotengenezwa duniani

●Kampuni za China zinaongoza kwa kuwa na zaidi ya nusu ya oda za meli zote ulimwenguni

According to Voice Of America (VoA): China has 19 modern shipbuilding yards pumping out commercial and naval ships. One of China's shipyards is so large that its capacity surpasses that of all U.S. shipbuilders combined.
Bandari yake ya kwanza Afrika iwe DPW / TPA Dar.
 
Mwenye macho haambiwi tixama nskuuliza nitajie gari moja tu ya petrol ya mchins ukiyowahi iona popote Tanzania. Jina ls hiyo gari inaitwaje?

Kwan tanzania ndio dunia nzima [emoji19]ebu Ficha utahira umeambiwa world wide sio lazima uyaone hapa kenya wakinunua ya kutosha na uturuki akiagiza zote zinaenda kwenye hio hesabu moja .
Kingine sio mpk uone wewe
 
Kuna mwaka Maersk walitoa order ya meli nyingi sana kwa Wakorea, zilikuwa container carriers za kubeba makontena 20,000 kama sikosei ndio nikaanza kuwajua Wakorea.
Kilichowapunguza nguvu Wakorea ni kufirisika kwa Hanjin Shipping, ile ilikuwa inawapiga tafu sana. Ila kwenye oil tankers na LNG ships naona Wakorea wanauza sana.
Unajua China ana advantage kubwa sana ya soko lao la ndani kwa mfano wana kampuni nyingi za shipping kama COSCO, CHINA SHIPPING, SINOTRANS, YANG MING na zinginezo ambazo hao lazima wanunue meli zinazotengenezwa nchini kwao

In term of orders worldwide Mchina kamzidi South Korea

Na kwa sasa makampuni mengi yanafanya kazi na China kwa sababu makampuni ya China yako more competitive in terms of productivity, production stability, labor and on-time vessel completion

Ndio maana Mchina amekuwa top kwa miaka 13 mfululizo
 
Shanghai, China
06/06/2023


Kampuni kubwa ya utengenezaji meli inayoitwa China State Shipbuilding Corporation (CSSC) yenye makao yake Shanghai walizindua meli ya kwanza ya kitalii (Cruise ship) kutengenezwa China, iliyopewa jina la Adora Magic City.

Itakuwa cruise ship ya kwanza duniani kuwa na internet ya 5G

Meli hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 5246 na vyumba vya kulala 2826 itakuwa na
•Restaurants
•Theaters
•Shopping centres
•Water parks (swimming pools)
•Outdoor Cinema
•Casinos
•Gaming lounge
•Luxury-brand boutiques
•Photo Gallery & Shop
•Bar
•Modern gym
•Spa
•Beauty saloon
•Stage for live perfomance
•Multi-Sports Course (for playing volleyball/basketball/tennis
•Themed entertainment for kids in 3 age groups
(i)Age 2-5 yo, 6-8 yo, and 9-11 yo
(ii)Children Club Lounge is for older kids (12-14 yo/video games, movies, parties, planned activities),
(iii)Teen Club for teenagers (15-17 yo/movies, interactive video gaming, karaoke, themed parties, booking teen-only cruise shore excursion).


Mwonekano wa nje;

View attachment 2654911

View attachment 2654912



Baadhi ya picha za mwonekano wa ndani

Hotel
View attachment 2654913


Restaurant
View attachment 2654914

Theatre
View attachment 2654915

Mall
View attachment 2654917

Water park
View attachment 2654952

Sasa ni wakati wa China kuingia katika ushindani na makampuni ya Ulaya na America katika utengenezaji wa cruise ships.

UTENGENEZAJI WA MELI CHINA
Mbali ya meli za abiria pia meli zinazotengenezwa kwa wingi nchini China ni meli za mizigo kama liquefied natural gas (LNG) tankers, oil tankers na container ships.

Baadhi ya rekodi zilizowekwa na China katika utengenezaji wa meli;

●Kwa miaka 13 mfululizo China inashikilia rekodi ya kuongoza uuzaji wa meli duniani.

●China State Shipbuilding Corporation (CSSC) ilisaini mkataba na kampuni ya Ufaransa ya CMA CGM kuitengenezea meli za kubeba kontena kubwa 16 zenye thamani ya 4 billion U.S. dollars. Imekuwa kampuni ya kwanza duniani kupewa oda kubwa kwa wakati mmoja

●Meli kubwa duniani ya kubeba container yenye ukubwa wa viwanja 4 vya mpira wa miguu, iliuzwa kwa kampuni ya Mediterranean Shipping Company (MSC) SA. Ilitengenezwa na kampuni ya Hudong-Zhonghua Shipbuilding Co Ltd, yenye makao yake Shanghai. Imepewa jina la MSC TESSA

View attachment 2654947


●China pekee inachangia 47.3% ya meli za mizigo zinazotengenezwa duniani

●Kampuni za China zinaongoza kwa kuwa na zaidi ya nusu ya oda za meli zote ulimwenguni

According to Voice Of America (VoA): China has 19 modern shipbuilding yards pumping out commercial and naval ships. One of China's shipyards is so large that its capacity surpasses that of all U.S. shipbuilders combined.
Mdogomdogo tu songoro marine atatufikisha huko tena itakua km utan yaan
 
Back
Top Bottom