Waanze kutuuzia magari used kama tulivyozoea za kutoka Japan huenda gharama zikawa chini zaidi na sisi wengine tumiliki magari ingawaje jini TRA naye hatakuwa mbali kwenye kupandisha kodi.Asante sana kwa taarifa hii, China pia ime iovatake Japan kwa car export!, ndio nchi inayoongoza kwa export ya magari duniani!.
P
Abiria wengi wanaopanda hizo meli wanalalaga Casino na kwenye baa kuliko kwenye vyumba ni bata tu.Vyumba vya kulalq vichache kuliko abiria
Suti zinaweza kututoa .tukiwa exporters wakubwa wa suti duniani.Tupambane mkuu , huko kwenye suti hakuwezi kututoa kama taifa.
Siku mkulima wa Tanzania akiacha kutumia jembe la mkono at least tutakuwa tumepiga hatua ya maana.
Mi mwenyewe silalagi gesti kizembeAbiria wengi wanaopanda hizo meli wanalalaga Casino na kwenye baa kuliko kwenye vyumba ni bata tu.
This how we do it in Puerto Rico.Mi mwenyewe silalagi gesti kizembe
Hawa wangese wanapata hela kuliko alietengeneza gari.Waanze kutuuzia magari used kama tulivyozoea za kutoka Japan huenda gharama zikawa chini zaidi na sisi wengine tumiliki magari ingawaje jini TRA naye hatakuwa mbali kwenye kupandisha kodi.
I hear you.Suti zinaweza kututoa .tukiwa exporters wakubwa wa suti duniani.
Halafu nchini kunakuwa na kampeni ya kila mtu avae suti,hata mkulima shambani
Hiyo P huwa ina represent niniAsante sana kwa taarifa hii, China pia ime iovatake Japan kwa car export!, ndio nchi inayoongoza kwa export ya magari duniani!.
P
IKEA wanaongoza kwa kuunda furniture duniani, ulishaiona hata meza yao moja tu Tanzania?Uongo mwingine kiboko hayo magari ya petrol ya mchina yanaitwaje? Tanzania tu ulishawahi kuyaona wapi?
Kwa mamlaka ninayojipa mwenyewe nakutunuku PhD ya Uongo
Good analysis mr.Shanghai, China
06/06/2023
Kampuni kubwa ya utengenezaji meli inayoitwa China State Shipbuilding Corporation (CSSC) yenye makao yake Shanghai walizindua meli ya kwanza ya kitalii (Cruise ship) kutengenezwa China, iliyopewa jina la Adora Magic City.
Itakuwa cruise ship ya kwanza duniani kuwa na internet ya 5G
Meli hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 5246 na vyumba vya kulala 2826 ina
•Restaurants
•Theaters
•Shopping centres
•Water parks & swimming pools
•Outdoor Cinema
•Casinos
•Gaming lounge
•Luxury-brand boutiques
•Photo Gallery & Shop
•Bar
•Modern gym
•Spa
•Beauty saloon
•Stage for live perfomance
•Multi-Sports Course (for playing volleyball/basketball/tennis
•Themed entertainment for kids in 3 age groups
(i)Age 2-5 yo, 6-8 yo, and 9-11 yo
(ii)Children Club Lounge is for older kids (12-14 yo/video games, movies, parties, planned activities),
(iii)Teen Club for teenagers (15-17 yo/movies, interactive video gaming, karaoke, themed parties, booking teen-only cruise shore excursion).
Mwonekano wa nje;
View attachment 2654911
View attachment 2654912
Baadhi ya picha za mwonekano wa ndani
Hotel
View attachment 2654913
Restaurant
View attachment 2654914
Theatre
View attachment 2654915
Mall
View attachment 2654917
Water park
View attachment 2654952
Sasa ni wakati wa China kuingia katika ushindani na makampuni ya Ulaya na America katika utengenezaji wa cruise ships.
UTENGENEZAJI WA MELI CHINA
Mbali ya meli za abiria pia meli zinazotengenezwa kwa wingi nchini China ni meli za mizigo kama liquefied natural gas (LNG) tankers, oil tankers na container ships.
Baadhi ya rekodi zilizowekwa na China katika utengenezaji wa meli;
●Kwa miaka 13 mfululizo China inashikilia rekodi ya kuongoza uuzaji wa meli duniani.
●China State Shipbuilding Corporation (CSSC) ilisaini mkataba na kampuni ya Ufaransa ya CMA CGM kuitengenezea meli za kubeba kontena kubwa 16 zenye thamani ya 4 billion U.S. dollars. Imekuwa kampuni ya kwanza duniani kupewa oda kubwa kwa wakati mmoja
●Meli kubwa duniani ya kubeba container yenye ukubwa wa viwanja 4 vya mpira wa miguu, iliuzwa kwa kampuni ya Mediterranean Shipping Company (MSC) SA. Ilitengenezwa na kampuni ya Hudong-Zhonghua Shipbuilding Co Ltd, yenye makao yake Shanghai. Imepewa jina la MSC TESSA
View attachment 2654947
●China pekee inachangia 47.3% ya meli za mizigo zinazotengenezwa duniani
●Kampuni za China zinaongoza kwa kuwa na zaidi ya nusu ya oda za meli zote ulimwenguni
According to Voice Of America (VoA):
China has 19 modern shipbuilding yards pumping out commercial and naval ships. One of China's shipyards is so large that its capacity surpasses that of all U.S. shipbuilders combined.
Hapa ndo naona boing na airbus wajipange aiseeKwenye cruise ships Mchina hakuwekeza sana.
Kwa hiyo amekuja sasa kuongeza ushindani katika Cruise ship manufacturing
Na usishangae Mchina akaja kuzipiga gap kampuni za West zinazodominate kwenye utengenezaji wa cruise ships
Ana order 2 ya hizo cruise ship hiyo ya kwanza imezinduliwa bado ya pili, kwa biashara ya cruise ship ni mwanzo mzuri sana
Zile ndege za COMAC, C919 watu walizisema so far wana order 1061
China is something else bro
Pia gharam za kutengeneza hizo Meli kwa marekani bei itakuwa mara 2 labdaMarekani anatengeneza meli mkuu ila kapigwa gap kwenye utengenezaji na kwenye soko
Sema kawekeza sana kwenye cruise line companies
Hatuwezi Kama watoto wanawaza kulawitianaHupendi Crazy ship building ya Tanzania ?
Hivi watanzania hatujachoka ku admire innovations za mataifa ya wenzetu ?
Hapa ndo naona boing na airbus wajipange aisee
Hadi sasa zaidi ya 80% ya watanzania wananunua used car za 2001 hadi 2010, sasa unataka uone gari ya mchina used ya kuanzia 2020?Mwenye macho haambiwi tixama nskuuliza nitajie gari moja tu ya petrol ya mchins ukiyowahi iona popote Tanzania. Jina ls hiyo gari inaitwaje?
China wana mashirika makubwa ya airlines kwenye top 10 ya mashirika makubwa wanayo 3.Asilimia 10 ya soko la ndege duniani ni China kwa hiyo tayari hiyo C919 ina uhakika wa soko kubwa la ndani. Na hapo haujagusa Hong Kong ambao wana shirika kubwa la Cathay Pacific
Hii tayari ni advantage kwao katika kutengeneza revenues kwa ajili ya R&D, operating cost na marketing
Najua bei ya C919 itakuwa chini ya hizo Boeing na Airbus.
Kwa kuwa sikuzote lengo la investors ni ku-maximize profit, usishangae baada ya muda ukasikia Ethiopian Airlines au Qatar Airways au Fly Emirates wameweka order kununua C919 kadhaa ili kutengeneza return on investment kwa muda mfupi
Ethiopia ilikuwa na mchakato wa makubaliano na C919 wa mauziano ya ndegeAsilimia 10 ya soko la ndege duniani ni China kwa hiyo tayari hiyo C919 ina uhakika wa soko kubwa la ndani. Na hapo haujagusa Hong Kong ambao wana shirika kubwa la Cathay Pacific
Hii tayari ni advantage kwao katika kutengeneza revenues kwa ajili ya R&D, operating cost na marketing
Najua bei ya C919 itakuwa chini ya hizo Boeing na Airbus.
Kwa kuwa sikuzote lengo la investors ni ku-maximize profit, usishangae baada ya muda ukasikia Ethiopian Airlines au Qatar Airways au Fly Emirates wameweka order kununua C919 kadhaa ili kutengeneza return on investment kwa muda mfupi
Utakuwa mwanzo mzuri kwa soko la njeEthiopia ilikuwa na mchakato wa makubaliano na C919 wa mauziano ya ndege