China yazindua Cruise Ship ya kwanza, 'Adora Magic City.'

Kaka kichwani una vitu,
 
cosco shipping offshoreseamen
 
Tuna safari ndefu sana kama taifa, mimi binafsi kichwa kinaniuma kuona sisi hapa duniani tunakaa kusubiri watu wa mataifa mengine wafanye ugunduzi halafu sisi tunabaki kuwa consumers tuuuuu.
Nyie wa kwenu ata agukindua bunduki mnamkamata badala ya,kuendeleza ujuzi.nyie ugunduzi wenu ni uchawi tu na wakina dr msukuma kushangilia kuuza bandari
 
Nyie wa kwenu ata agukindua bunduki mnamkamata badala ya,kuendeleza ujuzi.nyie ugunduzi wenu ni uchawi tu na wakina dr msukuma kushangilia kuuza bandari
Bado tuna safari ndefu kwa sababu hatuna sera wezeshi kwa innovators
 
Nyie wa kwenu ata agukindua bunduki mnamkamata badala ya,kuendeleza ujuzi.nyie ugunduzi wenu ni uchawi tu na wakina dr msukuma kushangilia kuuza bandari
Unaelewa maana ya kugundua wewe ?

Kuiga na kujaribu kutengeneza kitu ambacho wengine walishakiunda na kukitengeneza miaka mingi nyuma sio jambo la kawaida
 
Sahihi kabisa kiongozi, kilimo ndio sekta nzuri sana ya kuanzia ili kuijenga hii nchi.

Isitoshe soko lipo la kutosha kuanzia kwa majirani mpaka Kusini mwa Africa, nadhani bado hatujawa makini na hii sekta.
 
Duniani panazidi tu kunoga,wakati tukifurahia mafanikio ya wenzetu tusiache Muomba Mungu aepushilie mbali majanga katika hivi vyombo vinavyobeba ma elfu ya watu.

Najaribu tu kuwaza Meli inayoweza beba watu wazima 5000 and above, hujaongelea wenye watoto assume watoto wakubebwa wawe 500 plus vitoto vingine bado hujaweka wafanyakazi/wahudumu,nk

yani AJALI ya haya madude ikichukua watu wote unakua MSIBA wa DUNIA sio hata wa china maana ni yale yale ya TITANIC ndio tunakoelekea

Watafiti naombeni mnisaidie,IPO meli kwasasa iliyokuta ukubwa wa titanic na kuzidi labda au tuendelee kusubiri ila kwasasa haipo???
 
Sahihi kabisa kiongozi, kilimo ndio sekta nzuri sana ya kuanzia ili kuijenga hii nchi.

Isitoshe soko lipo la kutosha kuanzia kwa majirani mpaka Kusini mwa Africa, nadhani bado hatujawa makini na hii sekta.
hela zilizopo ni za kutoa zawadi kila goli likifungwa na motisha kwa wote watakao fanya jambo lolote zuri. ila sio kuwekeza kuboresha katika vitu vya maana.
 
China's 1st domestically-built large #cruiseship "Adora Magic City" concluded its 2nd sea trial and arrived at a port in Shanghai Tue. It is expected to be the world's 1st #5G cruiser and can provide passengers with high-speed Wi-Fi experience as good as they can access on land.
 


In 2023, the global shipbuilding industry will indeed see surprising changes: the collapse of South Korea's shipbuilding industry and the crazy expansion of China's shipbuilding industry.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…