ChinaTech: Marekani iko nyuma sana kwa China katika nishati ya nyuklia

ChinaTech: Marekani iko nyuma sana kwa China katika nishati ya nyuklia

WACHINA WANA MIDDLE CLASS YA WATU MILIONI MIA NANE.......KWAHIYO HATA ASIPO EXPORT PRODUCTS ZAKE SOKO LA NDANI LINAMTOSHA....ANACHOTKIWA KUFANYA NI KUBADILISHA SPENDING BEHAVIOUR ZA WACHINA.PIA HAWA JAMAA WANAZISAIDIA NCHI MASIKINI ZIKUE KIUCHUMI ZIWEZE KUABSORB INDUSTRIAL CAPACITY YAKE
Kwahiyo soko lake la ndani linatosha kabisa sio? Vitu vingine mkuu tukae kimya tu jamani.
 
China alifungia Youtube, Facebook n.k ili watumie mitandao yao, walipozuiliwa mitandao yao wakapaza sana sauti kuwa wanaonewa.

Kwa kweli bhana bado China ana safari ndefu mno dhidi ya Magharibi.
China akiminywa na kuanza kujiloza wapamne wao ndiyo huibuka na kuanza kulia nao. Hajui kuwa kuwa na uchumi mkunwa ni mchezo wa wanaume na wanaume hawapaswi kulialia
 
Well, that's from your own perspective that should not necessarily reflect the reality. However, what makes sense for you should not necessarily make sense for me because we're in different schools of thought.

If you think that having a broad understanding of the topic means to blindly and unintelligently support your ideas then you will be terribly erring.
Who cares about your baseless analysis and perspective

U've to learn to be humble so as to gain experience and knowledge
 
Itakuwa umeukutia huo mjadala wakati US akijibu, Ulaya na Marekani wote wanatengeneza EV kama China, but ili kudhibiti nchi za Ulaya na Marekani zisipeleke magari yao China, alichofanya China ni kuwapandishia tarrifs, kuona hivyo US akaona huu ni ubwege na yeye akaongeza Tarrifs akisema kama ndivyo na yeye anapaswa kulinda soko lake, viwanda vyake na ajira za watu wake.
EU nao wameshapendekeza kupandisha tarrifs kwa EV kutoka China, tena wao tarrifs za ni ndefu kuliko za US, China alipoona ameminywa ndiyo akatoka out in the open kuanza kulialia. Lakini yeye ndiye ameuanza huu mziki.
Basi kila mtu auze awezavyo......(kuna dalili ya gari za buku jero hapo mwaka 2030) 😋😋😋
 
Kitu kimoja kuhusu Marekani ni kuwa ni developed country, ilipo China sasa, Marekani ilikuweko miaka zaidi ya 30 iliyopita ndo maana huwezi kuta Marekani wana maendeleo ya barabara au treni
Sio kweli. marekani wana mpango wa kujenga HSR ila ina delay kwa sababu ya siasa za kipuuzi walizonazo sasa.

Marekani ni kubwa usifikiri marekani ni sawa na ka wilaya.
 
Basi kila mtu auze awezavyo......(kuna dalili ya gari za buku jero hapo mwaka 2030) 😋😋😋
Gari za mafuta zitauzwa kwa thamani ya hiyo hela ifikapo mwaka huo. Soko kubwa ma labda pekee la magari yatumiayo mafuta na gasi itakuwa ni Africa
IMG_2077.jpeg
 
Mkuu Japan aliwahi kuwa na kasi ya maendeleo na ikasadikika anaweza kumpindua US, mwisho wa siku mpaka sasa bado US ndio kiongozi.

Iliwahi kutabiriwa kufikia 2010 China angekuwa ndo superpower, baadae ikatabiriwa kwenye 2014 au 16 China angeshika usukuni ila bado US amekuwa kiranja.

Sasa hivi inasemekana 2030 China atampiku US ila kiukweli hii kitu bado hakipo. Tusidhani US na Allied wake wamelala usingizi mzito kwamba dola yao inaweza kuanguka kizembe hivyo.

Pia kumbuka mkuu China ni nchi inayoendelea na sio iliyoendelea.
Kiuhalisia China ni superpower ila kipropaganda USA ndio anajulikana superpower.
Maana ukitizama kiuchumi hakuna sehemu China hajapiga hatua.
Katika masuala ya industrial China ana contribute more than 40%.
USA kabakia maneno tu.
 
Naona sasa mmeanza kuleta double standard sio?

Mchina akiagiza baadhi ya components za bidhaa zake kutoka nje mnasema hana teknolojia

Leo iPhone ana suppliers wa nje ya Marekani mnasema ni nani aliyekwambia Apple wameshindwa. This is pathetic! 🤣🤣🤣

Ok basi nikuulize tu maswali mawili;

Kwa nini HUAWEI waliamua waanze kutegemea components za ndani China-made sababu kuu ilikuwa ni nini?

Kwa hiyo tunakubaliana kuwa Apple wanapotegemea suppliers wa nje ina maana wana tech hafifu?
Mkuu usiue panya kwa gobole.
Maana hizi nondo doooh!!
 
Unaamini kwenye propaganda za Taiwan?
Kwa kumaliza mjadala Ursula Von derleyen alikiri na kuiambia USA mwaka jana kuwa mzozo wa China-Taiwan usije ukawa wa kivita kama wa Russia-Ukraine,maana China ina play part kubwa katika uchumi wa dunia,na kama mzozo ukiwa mkubwa dunia itaumia mara dufu zaidi ya inavyoumia sasa kwa Russia-Ukraine conflicts.
Huyo ni rais wa EU Bi.Ursula anaongea hivyo,halafu kuna mmakonde wa Nanjilinji anakwambia China kwa USA bado sana.
Kama bado sana kwanini washirika wa USA wanamsisitiza USA asiingie nae katika mzozo!?
 
Kwa kumaliza mjadala Ursula Von derleyen alikiri na kuiambia USA mwaka jana kuwa mzozo wa China-Taiwan usije ukawa wa kivita kama wa Russia-Ukraine,maana China ina play part kubwa katika uchumi wa dunia,na kama mzozo ukiwa mkubwa dunia itaumia mara dufu zaidi ya inavyoumia sasa kwa Russia-Ukraine conflicts.
Huyo ni rais wa EU Bi.Ursula anaongea hivyo,halafu kuna mmakonde wa Nanjilinji anakwambia China kwa USA bado sana.
Kama bado sana kwanini washirika wa USA wanamsisitiza USA asiingie nae katika mzozo!?
Ursula yuko sahihi kwa sababu China peke yake
1. Industrial output yake ni 35% ya world's total industrial output.

Kwa ujumla industrial output ya US, Japan, Germany, South Korea, Italy,France na India ni 34%

2. Mchango wa China peke yake katika global economic growth ni karibu 30%

3. China ndiye mchangiaji mkubwa namba 2 wa bajeti ya U.N

4. China ni taifa muhimu sana katika global supply chain
 
Ursula yuko sahihi kwa sababu China peke yake
1. Industrial output yake ni 35% ya world's total industrial output.

Kwa ujumla industrial output ya US, Japan, Germany, South Korea, Italy,France na India ni 34%

2. Mchango wa China peke yake katika global economic growth ni karibu 30%

3. China ndiye mchangiaji mkubwa namba 2 wa bajeti ya U.N

4. China ni taifa muhimu sana katika global supply chain
Still kuna mmakonde wa Nammanga atakwambia China bado saanaa.
 
Who cares about your baseless analysis and perspective

U've to learn to be humble so as to gain experience and knowledge
Yes that's what I normally do but I can only gain knowledge from a person with rational reasoning whose intellect is not based on senseless religious fanaticism or bigotry.
 
Back
Top Bottom