Kwahiyo soko lake la ndani linatosha kabisa sio? Vitu vingine mkuu tukae kimya tu jamani.WACHINA WANA MIDDLE CLASS YA WATU MILIONI MIA NANE.......KWAHIYO HATA ASIPO EXPORT PRODUCTS ZAKE SOKO LA NDANI LINAMTOSHA....ANACHOTKIWA KUFANYA NI KUBADILISHA SPENDING BEHAVIOUR ZA WACHINA.PIA HAWA JAMAA WANAZISAIDIA NCHI MASIKINI ZIKUE KIUCHUMI ZIWEZE KUABSORB INDUSTRIAL CAPACITY YAKE
China akiminywa na kuanza kujiloza wapamne wao ndiyo huibuka na kuanza kulia nao. Hajui kuwa kuwa na uchumi mkunwa ni mchezo wa wanaume na wanaume hawapaswi kulialiaChina alifungia Youtube, Facebook n.k ili watumie mitandao yao, walipozuiliwa mitandao yao wakapaza sana sauti kuwa wanaonewa.
Kwa kweli bhana bado China ana safari ndefu mno dhidi ya Magharibi.
Well, that's from your own perspective that should not necessarily reflect the reality. However, what makes sense for you should not necessarily make sense for me because we're in different schools of thought.
If you think that having a broad understanding of the topic means to blindly and unintelligently support your ideas then you will be terribly erring.
Basi kila mtu auze awezavyo......(kuna dalili ya gari za buku jero hapo mwaka 2030) 😋😋😋Itakuwa umeukutia huo mjadala wakati US akijibu, Ulaya na Marekani wote wanatengeneza EV kama China, but ili kudhibiti nchi za Ulaya na Marekani zisipeleke magari yao China, alichofanya China ni kuwapandishia tarrifs, kuona hivyo US akaona huu ni ubwege na yeye akaongeza Tarrifs akisema kama ndivyo na yeye anapaswa kulinda soko lake, viwanda vyake na ajira za watu wake.
EU nao wameshapendekeza kupandisha tarrifs kwa EV kutoka China, tena wao tarrifs za ni ndefu kuliko za US, China alipoona ameminywa ndiyo akatoka out in the open kuanza kulialia. Lakini yeye ndiye ameuanza huu mziki.
Chinese tech giant Huawei goes into pigs - Pig Progress
Chinese tech giant Huawei goes into pigswww.pigprogress.net
Sio kweli. marekani wana mpango wa kujenga HSR ila ina delay kwa sababu ya siasa za kipuuzi walizonazo sasa.Kitu kimoja kuhusu Marekani ni kuwa ni developed country, ilipo China sasa, Marekani ilikuweko miaka zaidi ya 30 iliyopita ndo maana huwezi kuta Marekani wana maendeleo ya barabara au treni
Gari za mafuta zitauzwa kwa thamani ya hiyo hela ifikapo mwaka huo. Soko kubwa ma labda pekee la magari yatumiayo mafuta na gasi itakuwa ni AfricaBasi kila mtu auze awezavyo......(kuna dalili ya gari za buku jero hapo mwaka 2030) 😋😋😋
Kiuhalisia China ni superpower ila kipropaganda USA ndio anajulikana superpower.Mkuu Japan aliwahi kuwa na kasi ya maendeleo na ikasadikika anaweza kumpindua US, mwisho wa siku mpaka sasa bado US ndio kiongozi.
Iliwahi kutabiriwa kufikia 2010 China angekuwa ndo superpower, baadae ikatabiriwa kwenye 2014 au 16 China angeshika usukuni ila bado US amekuwa kiranja.
Sasa hivi inasemekana 2030 China atampiku US ila kiukweli hii kitu bado hakipo. Tusidhani US na Allied wake wamelala usingizi mzito kwamba dola yao inaweza kuanguka kizembe hivyo.
Pia kumbuka mkuu China ni nchi inayoendelea na sio iliyoendelea.
Mkuu usiue panya kwa gobole.Naona sasa mmeanza kuleta double standard sio?
Mchina akiagiza baadhi ya components za bidhaa zake kutoka nje mnasema hana teknolojia
Leo iPhone ana suppliers wa nje ya Marekani mnasema ni nani aliyekwambia Apple wameshindwa. This is pathetic! 🤣🤣🤣
Ok basi nikuulize tu maswali mawili;
Kwa nini HUAWEI waliamua waanze kutegemea components za ndani China-made sababu kuu ilikuwa ni nini?
Kwa hiyo tunakubaliana kuwa Apple wanapotegemea suppliers wa nje ina maana wana tech hafifu?
Kwa kumaliza mjadala Ursula Von derleyen alikiri na kuiambia USA mwaka jana kuwa mzozo wa China-Taiwan usije ukawa wa kivita kama wa Russia-Ukraine,maana China ina play part kubwa katika uchumi wa dunia,na kama mzozo ukiwa mkubwa dunia itaumia mara dufu zaidi ya inavyoumia sasa kwa Russia-Ukraine conflicts.Unaamini kwenye propaganda za Taiwan?
Kwa kumaliza mjadala Ursula Von derleyen alikiri na kuiambia USA mwaka jana kuwa mzozo wa China-Taiwan usije ukawa wa kivita kama wa Russia-Ukraine,maana China ina play part kubwa katika uchumi wa dunia,na kama mzozo ukiwa mkubwa dunia itaumia mara dufu zaidi ya inavyoumia sasa kwa Russia-Ukraine conflicts.
Huyo ni rais wa EU Bi.Ursula anaongea hivyo,halafu kuna mmakonde wa Nanjilinji anakwambia China kwa USA bado sana.
Kama bado sana kwanini washirika wa USA wanamsisitiza USA asiingie nae katika mzozo!?
Still kuna mmakonde wa Nammanga atakwambia China bado saanaa.Ursula yuko sahihi kwa sababu China peke yake
1. Industrial output yake ni 35% ya world's total industrial output.
Kwa ujumla industrial output ya US, Japan, Germany, South Korea, Italy,France na India ni 34%
2. Mchango wa China peke yake katika global economic growth ni karibu 30%
3. China ndiye mchangiaji mkubwa namba 2 wa bajeti ya U.N
4. China ni taifa muhimu sana katika global supply chain
Jamii forum imevamiwaKwahiyo soko lake la ndani linatosha kabisa sio? Vitu vingine mkuu tukae kimya tu jamani.
Inashangaza sanaStill kuna mmakonde wa Nammanga atakwambia China bado saanaa.
Ngoja niachane na wewe wa ushabiki maandazi.Unaamini kwenye propaganda za Taiwan?
Yes that's what I normally do but I can only gain knowledge from a person with rational reasoning whose intellect is not based on senseless religious fanaticism or bigotry.Who cares about your baseless analysis and perspective
U've to learn to be humble so as to gain experience and knowledge