ChinaTech: Sehemu kubwa ya China haijaathirika na mvurugiko wa TEHEMA (IT) uliotokea leo duniani kote kwenye Microsoft Windows

Ndio maana Internet inasymbua gata sasa
 
Crowdstrike wanafanya kazi na deep state ya Marekani

Leo walikuwa wanakusanya taarifa za watumiaji mbalimbali duniani

This is a cyber attack iliyobarikiwa na serikali ya Marekani sio ya kuichukulia poa
Watu mnapenda sana conspiracy, yani kukuibia data unadhani mpaka mfumo uwe down? Haya mambo hutokea au umesahau kuwa kati vitu vilivyoiua blackberry mojawapo ni technical glitch iliyosababisha huduma yao ya bbm messenger kuwa down, facebook nayo mara kadhaa imekumbana na kutopatikana kwa muda, same to Google.
Errors kwa mifumo huwa haikosekani kama binadamu anaumwa ije kuwa mifumo kubuma.
 
Crowdstrike wanafanya kazi na deep state ya Marekani

Leo walikuwa wanakusanya taarifa za watumiaji mbalimbali duniani

This is a cyber attack iliyobarikiwa na serikali ya Marekani sio ya kuichukulia poa

Source: trust me bro.
 
Na Russia ilikua salama kabisa kwa zile safari za ndani
Kuna haja ya kujitegemea hapa yunakumbushwa pia umuhimu wa kuiombea SMO ya RUSSIA pale Ukraine izidi kufanikiwa
 

Kwahiyo hiyo article ndo proof ya hii statement yako

"Leo walikuwa wanakusanya taarifa za watumiaji mbalimbali duniani

This is a cyber attack iliyobarikiwa na serikali ya Marekani sio ya kuichukulia poa"

Kwamba hii disruption ni kukusanya taarifa? Kama zamani walikua wanakusanya kimya kimya nini kimewashinda Leo?

Sio nyie mnaosema China na Russia hawatumii MS?

Umeona Hapo inasema forefront of conspiracy theories, wewe ndo upo Hapo.

Kawaida maskini haamini kama tajiri nae anakufa, anadhani tajiri kufariki ni njama sio kifo Cha kawaida tu. Ndo wewe sasa huamini kama hata big companies suffer same fate as smaller ones. Hata hizo OS za nchi zingine zinapata disruption ila market share yao ndogo hata uwe na yako itapata hitilafu it's not a matter of IF but WHEN. Keep that in mind.
 
Hata Marekani watu wasiotumia Codwdstrike hawajaathirika.
 
Mimi nilisemaje kwani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…