Gekul, yule mfungua shtaka, alikosa ushahidi wa kutosha kuendelea na lile shauri, kesi ikatupiliwa mbali, na kufutwa, na milango ya rufaa ilikua wazi, ila mpaka muda unaishi si wale mawakili wakuaminika, wala watu wa utetezi wa haki za binadamu, wala boni yai kasogea mahakama yyte kufungua tena shauri, gekul is free.
Ile ya dodoma ni story ya kusadikika nayo, hakukua na chochote.
Na kuhusu roboti si lililetwa lile la eunice, kuna lile la airtel. Hilo la operation hata marekani hawana, so tusubiri.