Chinese Investor to built eight 34-Storey apartments In Ngara, Nairobi .

Chinese Investor to built eight 34-Storey apartments In Ngara, Nairobi .

Kumbe this development was too real
Capture.PNG
Capture1.PNG
Capture2.PNG
 
Kwa upande wangu cioni umuhimu wa kujenga skyscrappers ...hazina impact kwenye economy kama industries ..ndo maana magufuli ana discourage sana ujenzi wa skyscrapper na ana support indistries ...industries employ masses na zina big impact kwenye uchumi
 
Kwa upande wangu cioni umuhimu wa kujenga skyscrappers ...hazina impact kwenye economy kama industries ..ndo maana magufuli ana discourage sana ujenzi wa skyscrapper na ana support indistries ...industries employ masses na zina big impact kwenye uchumi
umepotea njia
what happens in Magufuliland stays in Magufuliland
 
umepotea njia
what happens in Magufuliland stays in Magufuliland

Okay mpka hizo apartments zije kujaaa ni 40years to come ..kumbuka not many kenyans can afford those ..while at the same time mnajenga affordable houses and kuna projects nyngne kama 88 cjui ..huyu mchina kaingia chaka
 
Okay mpka hizo apartments zije kujaaa ni 40years to come ..kumbuka not many kenyans can afford those ..while at the same time mnajenga affordable houses and kuna projects nyngne kama 88 cjui ..huyu mchina kaingia chaka
naona unakuja kwenye line. Ke na Tz in tofauti. there is no skyscrapper boom in dar simply because there is no demand! years after Tpa, Mnf kujengwa, there are no tenants.
skyscrappers in Kenya zinajengwa na private developers wakati Tz ni serikali ndio inajenga. serikali ikisema basi ni basi... sasa utakataza private developers kutojenga kwa sababu gani?
 
naona unakuja kwenye line. Ke na Tz in tofauti. there is no skyscrapper boom in dar simply because there is no demand! years after Tpa, Mnf kujengwa, there are no tenants.
skyscrappers in Kenya zinajengwa na private developers wakati Tz ni serikali ndio inajenga. serikali ikisema basi ni basi... sasa utakataza private developers kutojenga kwa sababu gani?
Tpf na mnf hazina tenants?
 
Hio biashara kwa bongo hailipi mtu anaefikia uwezo wa kukaa kwenye hizo apartments anaona ni rahisi zaidi kujenga nyumba yake mwenyewe aishi na familia yake kuliko kukaa mna share na watu tofauti wenye tabia tofauti........ndo maana hizo project huku zimebuma wanaoishi humo sanasana ni wahindi au wageni tu wanaokuja na kuondoka ila wazawa wengi hizo hawapendelei labda waweke gest tu humo au hotel tutajazana tofauti na Kenya asilimia kubwa watu ardhi hawana hizo lazima zifurike
 
Hio biashara kwa bongo hailipi mtu anaefikia uwezo wa kukaa kwenye hizo apartments anaona ni rahisi zaidi kujenga nyumba yake mwenyewe aishi na familia yake kuliko kukaa mna share na watu tofauti wenye tabia tofauti........ndo maana hizo project huku zimebuma wanaoishi humo sanasana ni wahindi au wageni tu wanaokuja na kuondoka ila wazawa wengi hizo hawapendelei labda waweke gest tu humo au hotel tutajazana tofauti na Kenya asilimia kubwa watu ardhi hawana hizo lazima zifurike
Afadhali waishi Tandale, mbagala and other slums kwa kukosa hela za kutosha? Sasa kama skyscrapers watz hawawezi afford kukodisha naona ndio sababu kuu nusu ya PSPF na MNF haina tenants hivyo kukadiria hasara kubwa Baada ya ujenzi.
 
Afadhali waishi Tandale, mbagala and other slums kwa kukosa hela za kutosha? Sasa kama skyscrapers watz hawawezi afford kukodisha naona ndio sababu kuu nusu ya PSPF na MNF haina tenants hivyo kukadiria hasara kubwa Baada ya ujenzi.
Huku kuanzia maskini hadi matajiri hamna anaependa kuishi kwenye apartments mtu kama anauwezo wa kujenga anaona bora ajijengee mwenyewe tu mahali pake mwenyewe ajinafasi hizo apartments wanakaaga raia wa kigeni kwa sana kukuta mzawa kakaa kwenye apartment kwa huku ni nadra sana
 
Tpa na pspf ziko empty mtungi alafu wana jicompare na sisi middle class😀😀😀
Nyinyi huko ardhi ni ishu lazima mbanane kwenye hayo majumba ya kupanga huku hayo madude labda mtu achukue nafasi ya office tu ila kuishi humo kama mpo kwenye nyumba za kota hatujazoea hayo maisha
 
Huku kuanzia maskini hadi matajiri hamna anaependa kuishi kwenye apartments mtu kama anauwezo wa kujenga anaona bora ajijengee mwenyewe tu mahali pake mwenyewe ajinafasi hizo apartments wanakaaga raia wa kigeni kwa sana kukuta mzawa kakaa kwenye apartment kwa huku ni nadra sana
Umasikini Dar unawazuia wananchi kuchukua apartments
 
kabisa. ikifika usiku the upper half floors ni giza totoro. you need to see them pictures of their ghost towers at night.
Ziko 95percent vacant kwanza sana sana pspf, tpa angalau floors kama tano zinatumika.
 
Nyinyi huko ardhi ni ishu lazima mbanane kwenye hayo majumba ya kupanga huku hayo madude labda mtu achukue nafasi ya office tu ila kuishi humo kama mpo kwenye nyumba za kota hatujazoea hayo maisha
Mbona Moscow ardhi ni kubwa kushinda dar lakini bado wanajenga skyscrapers😀😀😀
 
Nyinyi huko ardhi ni ishu lazima mbanane kwenye hayo majumba ya kupanga huku hayo madude labda mtu achukue nafasi ya office tu ila kuishi humo kama mpo kwenye nyumba za kota hatujazoea hayo maisha
Kwa kweli TZ bado mpo mbali sana kwa developed world.
 
Tpa na pspf ziko empty mtungi alafu wana jicompare na sisi middle class😀😀😀

Tpa ndo kwanza last month wamelifungua kupokea tenants ..lilikuwa halijaisha vizur..na bei yake ni ndogo sana kupangisha around 15Usd per sqm so litajaa soon .. pspf the apartments are for sale not for rent so litachelewa kupata watu ..the offices are for rent so cjajua bado
Mnf halijaisha na lishapata tenats one tower will have rotana hotel 5 star hotel
 
naona unakuja kwenye line. Ke na Tz in tofauti. there is no skyscrapper boom in dar simply because there is no demand! years after Tpa, Mnf kujengwa, there are no tenants.
skyscrappers in Kenya zinajengwa na private developers wakati Tz ni serikali ndio inajenga. serikali ikisema basi ni basi... sasa utakataza private developers kutojenga kwa sababu gani?
Na Dar skyscrapers are office space. Za Nairobi most coming up ni residential. Watu wamesahau the 126m complete Le Mac btw
 
Back
Top Bottom