Spenzia
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 497
- 211
Lakini jamaa siku hizi unamabishano ya kijinga sanaKwa upande wa nyumba Hamna chakutueleza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini jamaa siku hizi unamabishano ya kijinga sanaKwa upande wa nyumba Hamna chakutueleza
Nyie Watanganyika ni ipi munayofanya? Kuna kampuni ipi kubwa Tanzania isiyo ya Muhindi, Mwarabu, Mzungu au Mchina?Sasa nyie wakenya mtafanya buashara ipi wakati zote mnawaachia wachina.
Nawaonea huruma sana
7bu mmezidi kuongea ujinga, kila kitu mnataka kusema mmezidi acheni upuuzLakini jamaa siku hizi unamabishano ya kijinga sana
Almost zote ukiona wanamiliki wao ujue wamenunua share kwasababu kama ni viwanda vijegwa na mwalimu kipindi cha ujamaa ilipofeli serikali tukauza share na most of them vilinunulia na sisi wenyewe ni juzi tu mtanzania mwenzetu ametoka kuwekeza bilioni 50 kwenye kiwanda cha kutengeza dawaNyie Watanganyika ni ipi munayofanya? Kuna kampuni ipi kubwa Tanzania isiyo ya Muhindi, Mwarabu, Mzungu au Mchina?
Hata ya majengo yaliyopo posta asilimia 95 yanamilikiwa na NHC na sisi wenyeweNyie Watanganyika ni ipi munayofanya? Kuna kampuni ipi kubwa Tanzania isiyo ya Muhindi, Mwarabu, Mzungu au Mchina?
Tunaomba render😀😀Nyie Watanganyika ni ipi munayofanya? Kuna kampuni ipi kubwa Tanzania isiyo ya Muhindi, Mwarabu, Mzungu au Mchina?
Almost zote ukiona wanamiliki wao ujue wamenunua share kwasababu kama ni viwanda vijegwa na mwalimu kipindi cha ujamaa ilipofeli serikali tukauza share na most of them vilinunulia na sisi wenyewe ni juzi tu mtanzania mwenzetu ametoka kuwekeza bilioni 50 kwenye kiwanda cha kutengeza dawa
...............and you think that's a good idea? lol😀😀😀😀 No wonder since 2014 hakuna skyscraper imeanza kujengwa Dar na zilizojengwa hazina tenants.Hata ya majengo yaliyopo posta asilimia 95 yanamilikiwa na NHC na sisi wenyewe
AZAM sio ya mhindi ni mtu wa pemba ambayo ni sehemu ya tanzaniaBlah blah blah......mmeshindwa kumiliki Kampuni mnaziuza? Hivi Azam muhindi aliinunua kutoka kwa nani?
Wee boya ukimtazama huyu unaona anakaa mwafrika kama Magufuli wewe?😀😀😀AZAM sio ya mhindi ni mtu wa pemba ambayo ni sehemu ya tanzania
Hapana toka 2014 zipo zilizojengwa labda changamoto itakuwa hapo kwenye tenants...............and you think that's a good idea? lol😀😀😀😀 No wonder since 2014 hakuna skyscraper imeanza kujengwa Dar na zilizojengwa hazina tenants.
Ebu mention moja.Hapana toka 2014 zipo zilizojengwa labda changamoto itakuwa hapo kwenye tenants
Huyo si mwenyewe lakini pia unawafahamu wapemba walivyoWee boya ukimtazama huyu unaona anakaa mwafrika kama Magufuli wewe?😀😀😀
![]()
Waarabu. Huyo ni Bakhresa - mwenye Azam. Kumbe nchi yako huielewi na unaleta ubishi?Huyo si mwenyewe lakini pia unawafahamu wapemba walivyo
Huyo ni mpemba sio mwarabuWaarabu. Huyo ni Bakhresa - mwenye Azam. Kumbe nchi yako huielewi na unaleta ubishi?
Hahahaha! Kumbe unakumbuka? What's your name on SSC?[/QUOTE I've been a follower since 2014, bt im waiting to join officially after the First concrete pour of the pinnacle......that's what i promised myself since 2014.
Basi Delamare ni MNaivasha, sii mzungu.😀😀😀Huyo ni mpemba sio mwarabu