Chini ya utawala wa Magufuli, Taifa limepata hasara ya mabilioni na pia upotevu mkubwa wa fedha uliozua utata

Hizo ndege ulizzotaja kwenye orodha yako unajua zimesababisha hasara ya sh ngapi mpaka sasa?. Au unaropoka tu
 
This is pathetic , fight the system not the individual dictator, yule aliyekuwa anacheka na kuiba ndiyo mzuri? Hapo ndiyo mnapoteza focus ya upinzani. All these are thieves put by the same system
Huyo unaesema aliiba ni kwasababu aliruhusu watu waseme.Jiulize alieziba watu midomo alikuwa anaficha nini?

Tumia kichwa kufikiri na sio kufugia nywele.
 
Acheni uchizi, na kunitoa ufahamu.. hakuna Rais amefanya kazi kubwa za maendeleo kama magufuli.

Mnazungumzia bil 3, enzi za JK watu waligawana Bil 400 za epa.
 
Huyo unaesema aliiba ni kwasababu aliruhusu watu waseme.Jiulize alieziba watu midomo alikuwa anaficha nini?

Tumia kichwa kufikiri na sio kufugia nywele.
Kwa hiyo kuna mwizi mzuri ehee ? JK mwizi mzuri tulijadiri, JPM mwizi mbaya hatukujadiri?
 
Sasa ukisha ujua ukweli itakusaidia nini ndugu. Utazirudisha?

Hiyo ripoti ya CAG ni ya uongo kwa asilimia 80%. Lakini hata kama ni kweli ni bora maendeleo yameonekana nyanja zote.

Sasa tusubiri awamu hii isiyo na upigaji na maendeleo kama Paris yanakuja. RIP JPM
 
Acheni uchizi, na kunitoa ufahamu.. hakuna Rais amefanya kazi kubwa za maendeleo kama magufuli.

Mnazungumzia bil 3, enzi za JK watu waligawana Bil 400 za epa.
Uko sahihi, na kamati iliundwa wakachukuliwa hatua, hizi za sasa kuna dalili yyte ya kuunda kamati unaiona?. Au ndo zishayeya?.
Nikusahihishe, hasara inayozungumzwa na CAG sio Bil 3 bro, pata muda wa kuifuatilia taarifa yake, ATCL tu pekee kiasi hicho kimepitiliza
 
Maendeleo tulianza kuyaona tangu enzi za mkoloni alipokuwa anajenga reli na mabarabara na hata enzi za Mwalimu unless ulitaka Mwalimu nae ajenge Ubungo Interchange miaka ile.
 
 
Hiyo mirad inaoperate au haioperate? Meli zinasafirisha watu hazisafirishi? Viwanja vya ndege havijakarabitiwa? Shule watoto hawasomi bure?? Vituo vya afya havipo? Acha ushamba mzee..heri utuibie wakat huo huo tunaona tunapata huduma za kijamii hata kama sio bora lakin ni heri kuliko kuzikosa kabisa..awamu zilizopita hela zilikuwa zinapigwa na bado watu wanalia huduma mbovu za serikal..ww ni mmoja kati ya watz wajinga ambao mwalimu asisitiza tuuondoe huo ujinga ila ww bado uko nao mwingi mno.
I am very dissappointed by your views. I gues if you are a graduate probably you are from Yohana University. You are completely incompatible with the current trend especially in the economic percel.
 
Brother..uwiz haukuanza leo serikalin..ulianza toka enzi za mwinyi..mkapa..kikwete na kabisaa..shida ya watz wanasahau mapema sana..heri uibe huku ukitekeleza mirad mikubwa kwa ajil ya jamii..kuliko kuiba na kakikundi kadogo cha watu ndio kanafaidika..alaf watz wasiwe wajinga..hiyo report ya CAG haina credibility yoyote..mfano mzur angalia tuhuma za ticket pale magogoni ferry..haviendani kabisaa..
 
eti iyoo 1.5 alimpa shost ake ojinga apate uprizidaa kunyaland
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…