Chini ya utawala wa Magufuli, Taifa limepata hasara ya mabilioni na pia upotevu mkubwa wa fedha uliozua utata

Umefanya argument yako kisomi hasa. Watu wanapenda sana kupaza sauti lakini ndani ya sauti hizo hakuna content zaidi ya ushabiki.

Kwa hakika kabisa ya kweli, tukisema tuweke data hapa za indicators zote za ukuaji wa uchumi na performance ya Serikali, awamu ya 5 haiwezi kufikia hata 25% ya awamu ya 4. Awamu ya 5 iliwekeza sana katika propaganda kuliko uhalisia. Ni katika awamu ya 5, ndiyo wakati pekee tuliposhuhudia kiongozi mkuu akifungua barabara ambazo tayari zilifunguliwa, akifungua viwanda wakati viwanda hivyo vimekuwa kwenye uzalishaji kwa zaidi ya miaka 10. Tulishuhudia kiongozi mkuu akifungua madaraja ya waenda kwa miguu, visima vifupi vya maji vya kupump kwa mikono, masoko, stand, n.k. Yote ikilenga kuwahadaa watu ionekane kuna mengi sana na makubwa yanafanyika kila leo, wakati ni vitu vidogo ambavyo havina hata hadhi ya kufunguliwa na kiongozi mkuu wa Taifa. Na kwa kiasi kikubwa propaganda zile zilifanikiwa, wengine mpaka leo hii wanaamini kulifanyika mambo makubwa mazuri ya ajabu kipindi cha awamu ya 5 kuliko awamu zote zilizotangulia.

Kama laiti baada ya awamu ya 4, ingeingia awamu yenye vision sahihi, uongozi na usimamizi mzuri, hakika sahizi tungekuwa tunaongelea Tanzania yenye wastani wa mapato ya wananchi si chini ya $1,500. Ukuaji wa uwekezaji ungekuwa si chini ya 25% ambao ungepunguza sana tatizo la ajira kwa vijana wetu. Thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo, ambayo yameanguka kwa zaidi ya 50% yangekuwa yamepanda na kuboresha maisha ya wakulima kuliko ilivyo sasa.

Kwa sababu tumerudi nyuma kwenye maeneo mengi, Mh. Rais Samia ni lazima afanye kazi ya ziada ya kuwaongoza watanzania ili kurekebisha haraka maeneo ambayo nchi ilikuwa inarudi nyima badala ya kwenda mbele.
 
Mgonjwa wa akili ww.....
kila siku ukilala ukiamka unamuwaza Magu....
itakuwa alikutairi kwa msumeno butu....
now you are crying like a little baby
 
Labda nikuelimishe kidogo mkuu.

Pengine itakuwia sawia iwapo utataja mradi mmoja wa hayati magufuli alafu mimi nitataja mradi uliofanywa na mzee Kikwete nitafanya hivyo huku nikijustify wapi mradi ulipotokea(either kwenye mipango ya maendeleo(FYDP 1, MKUKUTA ama sera iliyokuwa inatekelezwa na sekta husika) I wont trouble you with such formality naelewa how shabby the regime you stamp upon ilivyokuwa. Just name any and I will name and elaborate many.
 
Hizo ndege ulizzotaja kwenye orodha yako unajua zimesababisha hasara ya sh ngapi mpaka sasa?. Au unaropoka tu
Angalia akili fupi hii
mashirika makubwa makongwe yote yamepata hasara......
angalia data za Ethiopian Airlines angalia Kenya airways.....
next time nukileta ujinga kama huu tunakuozesha uolewe bila mahari
 
Jiwe alikuwa hajui tofauti ya mikopo na pesa zetu za ndani.Kwake vyote viwili ni kitu kimoja!
Acha matani trillion 18 miaka 5 ? Mbona tuliambiwa tunajenga miradi kwa pesa zetu za ndani cash kumbe mikopo.

Qmmke nilisha sema usiamini mwana siasa,
 
Huu ushabiki sasa.
Jiongelee nafsi yako sisi wengine tunaona alizingua
 
Angalia akili fupi hii
mashirika makubwa makongwe yote yamepata hasara......
angalia data za Ethiopian Airlines angalia Kenya airways.....
next time nukileta ujinga kama huu tunakuozesha uolewe bila mahari

Watu ni mabwege sana, yani hata kusoma hawataki. CAG kaonyesha kabisa kwenye ripoti yake wapi penye kulitia shirika hasara na sio ununuzi wa ndege lakini wanavyoshabikia humu mpaka nashangaa.
Umaskini wa akili ni mbaya kuliko umaskini wowote ule
 
Hoja zako ni nzuri ingawa zinaegemea upande mmoja. Hivi kwanini mijadala yetu ni lazima tutoe mfano wa Magufuli na Kikwete tu. Hasara na upotevu wa fedha upo tawala zote bila kubagua ndiyo kazi ya CAG kudhibiti mianya hiyo. Hoja za CAG zimetutoa relini tunashindwa hata kuangalia mambo mengine ya maendeleo. Watu wanaonyesha unafiki wao hadharani. Watu wenye dhamana wamepoteza utu wao kwa kutaka waonekane wanaunga mkono utawala uliopo. Wamekula posho kuongozana na marehemu leo wamekaa na kujifanya wako tofauti. Wanafiki wanaleta hasira sana.
Viongozi wa juu wa CCM msipokaa sawa ilani haitatekelezwa na hili litakua anguko la kishindo kwenu. Chama kimelegea kama vile damu imeganda na Astra Zeneca. Tunataka kurudishwa bandari ya Bagamoyo looooooo. CCM angalieni mnaanza kupoteza dira na muelekeo. Chama kikichagua KM dhaifu na mlegevu basi mmekwisha. Rudisheni Bashiru na uenyekiti abaki Mangula kwanza mtajuta na matalia mkiacha uenyekiti uende upande ule.
 
Stupid! Cooked stories from same people. Tunajua Chadema mliumia na mengi ila hapa hatutoangalia sura bali nani anasimama na ukweli bila hila. Mtaelewa baadae ...
Kwani Chadema ndiyo walimuweka hapo huyo CAG? Kwani Chadema ndiyo wamewatuma nyie maccm muwe majizi na mafisadi?
 
Mtu msafi smart civilized educated katu hawezi kuwa na ukali, hasira,chuki visasi roho mbaya hizi tabia za uncivilized people.
 
Ni bora hii hasara lakini watoto wetu wanasoma bure, barabara zimejengwa, tuna umeme hadi vijijini, madaraja yamejengwa, kuliko kipindi kile cha mzee wa msoga
We hujui mambo makubwa aliyofanya Mzee Wa msoga,mwendokasi,daraja LA kigamboni,shule zote za kata,barabara zilizounganisha nchi nk,
Umeme Wa rea ulianza kipindi cha kikwete hela hizo za Umeme vijijini ni kwa msaada Wa watu Wa marekani,na watu waishio mjini ukinunua luku kuna %unakatwa kulipia gharama za kupeleka Umeme vijjjini rea.
Hiii bhaghoshaa mnampamba sana mwendazake.
 
Da aibu sn
 
Udom, ESAMI, chuo cha mipango, B.Mkapa hosp, JKCI, MOI n.k
 
Baambie baelewe! Hizi nyang'au zinakera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…