Nilipita Nzega kwa......inasemekana Bash amenuia kumuweka mtu wake kwenye jimbo la Kigwa. Na vita ni kubwa as Kigwa hana tena nguvu ya fedha kama kabla.Kuna kipindi miaka ya nyuma hawa jamaa walitishiana hadi bastola, mimi nkajua yameisha kumbe bado tu🤣🤣🤣