Chipsi za kfc huwa zinakaangwaje? Mbona size moja na tamu mno

Chipsi za kfc huwa zinakaangwaje? Mbona size moja na tamu mno

Ntakuwa napunja kama wao
Nikutajie spices? Unaijua vinegar? Unaweka na unga wa njano kwnye ngano.
Kuna mashine ya kukatia viazi saizi moja na vile viazi vinamenywa kwa kujenga shepu ya mstatili so unakata nyama nyingi tu pembeni.
Vipande vile unavitia kwenye maji ya njano yaliyotiwa vinegar..

Lakin kutengenza chips tam mbona easy tu. Unataka kuuzia wap
 
Tafuta hii kwanza
 

Attachments

  • FB_IMG_1723284350115.jpg
    FB_IMG_1723284350115.jpg
    51.4 KB · Views: 12
Secret recipe sio siri tena watu wanatoa siri sana ila sio viungo bali ni kiasi unachoweka
Sasa basi kwenye French fries za KFC zinapokatwa huwa wana changanya na Unga wa vitunguu na Unga wa carrots na celery pia butter halafu wanaweka kwenye freezer zigande
Baada ya hapo kabla ya ku.... jisomee Google kumalizia mapishi nimechoka
 
Secret recipe sio siri tena watu wanatoa siri sana ila sio viungo bali ni kiasi unachoweka
Sasa basi kwenye French fries za KFC zinapokatwa huwa wana changanya na Unga wa vitunguu na Unga wa carrots na celery pia butter halafu wanaweka kwenye freezer zigande
Baada ya hapo kabla ya ku.... jisomee Google kumalizia mapishi nimechoka
Unga hizi hazishki kama hujaweka ngano. Zile chips zinawekwa vinegar na unga wa njano. Alafu zinachemshwa kidogo unmashed
 
Unga hizi hazishki kama hujaweka ngano. Zile chips zinawekwa vinegar na unga wa njano. Alafu zinachemshwa kidogo unmashed
Ndio maana ikaitwa secret recipe hata kuku wao huoni ladha tofauti?
Unaweza kujua wanaweka nini ila weka wewe sasa
Hebu fanya jaribio hili kwa watu wawili wape viungo sawa na hata mafuta na kiasi kimoja
Yaani vyote vifanane halafu waambie wapike lazima utaona utofauti ingawa kila kitu ni kile kile hapo ndio inaingia siri ya mapishi mkuu
 
Back
Top Bottom