Chipsi za kfc huwa zinakaangwaje? Mbona size moja na tamu mno

Chipsi za kfc huwa zinakaangwaje? Mbona size moja na tamu mno

Ndio maana ikaitwa secret recipe hata kuku wao huoni ladha tofauti?
Unaweza kujua wanaweka nini ila weka wewe sasa
Hebu fanya jaribio hili kwa watu wawili wape viungo sawa na hata mafuta na kiasi kimoja
Yaani vyote vifanane halafu waambie wapike lazima utaona utofauti ingawa kila kitu ni kile kile hapo ndio inaingia siri ya mapishi mkuu
Hili nakubaliana na wewe mana hot kitchen ni pana sana. Mbaya zaidi hotel za bongo mwendo wa kukariri tu. Wanaogundua mapishi mapya wako huko wanatuletea na spices ni zile zile tu. Na huko YouTube hawawek kila kitu.. YouTube wazur sana kwa cold kitchen na pastries.. hata salad sio pa kutegemea
 
Nikutajie spices? Unaijua vinegar? Unaweka na unga wa njano kwnye ngano.
Kuna mashine ya kukatia viazi saizi moja na vile viazi vinamenywa kwa kujenga shepu ya mstatili so unakata nyama nyingi tu pembeni.
Vipande vile unavitia kwenye maji ya njano yaliyotiwa vinegar..

Lakin kutengenza chips tam mbona easy tu. Unataka kuuzia wap
Aiseee, uko serious mkuu.
Itabidi nijaribu
 
Nikutajie spices? Unaijua vinegar? Unaweka na unga wa njano kwnye ngano.
Kuna mashine ya kukatia viazi saizi moja na vile viazi vinamenywa kwa kujenga shepu ya mstatili so unakata nyama nyingi tu pembeni.
Vipande vile unavitia kwenye maji ya njano yaliyotiwa vinegar..

Lakin kutengenza chips tam mbona easy tu. Unataka kuuzia wap
Unga wa njano wa nini au unamaanisha rangi?
 
Hili nakubaliana na wewe mana hot kitchen ni pana sana. Mbaya zaidi hotel za bongo mwendo wa kukariri tu. Wanaogundua mapishi mapya wako huko wanatuletea na spices ni zile zile tu. Na huko YouTube hawawek kila kitu.. YouTube wazur sana kwa cold kitchen na pastries.. hata salad sio pa kutegemea
Kweli kabisa unachosema ila la kuongezea tu sisi tunajua viungo tulivyo navyo na tulivyozoea tu na hakuna wa kujiongeza
Kuna msomali nilimuona youtube jamaa kasoma nje kaamua kwenda kenya na kuchukua shamba kubwa na amelifanya la kumwagilia
Amepanda Celery, parsley, Dill, caraway, coriander na vingine nimesahau
Yaani kwa sasa anasafirisha uk na Germany
Sasa hata sisi tungevitambulisha nchini kwa wingi mpaka mama ntilie na mahotelini wakatumia nafikiri mapishi na ladha ingebadilika kabisa

Aise viungo vinabadili dish
 
Kweli kabisa unachosema ila la kuongezea tu sisi tunajua viungo tulivyo navyo na tulivyozoea tu na hakuna wa kujiongeza
Kuna msomali nilimuona youtube jamaa kasoma nje kaamua kwenda kenya na kuchukua shamba kubwa na amelifanya la kumwagilia
Amepanda Celery, parsley, Dill, caraway, coriander na vingine nimesahau
Yaani kwa sasa anasafirisha uk na Germany
Sasa hata sisi tungevitambulisha nchini kwa wingi mpaka mama ntilie na mahotelini wakatumia nafikiri mapishi na ladha ingebadilika kabisa

Aise viungo vinabadili dish
Huku ukilima hvyo bila kusema anaupiga mwingi utazibiwa kauzibe usipate soko.
 
Back
Top Bottom