Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
Labda wanaweka jina motoo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona uzi upo siku nyingi sanaFungueni uzi wa mapishi mfundishwe.. hao ni watu wa hot kitchen. Chips ukijua kuipika na ukapata spices mixing nzuri za sous (formula) umemaliza.
Hili nakubaliana na wewe mana hot kitchen ni pana sana. Mbaya zaidi hotel za bongo mwendo wa kukariri tu. Wanaogundua mapishi mapya wako huko wanatuletea na spices ni zile zile tu. Na huko YouTube hawawek kila kitu.. YouTube wazur sana kwa cold kitchen na pastries.. hata salad sio pa kutegemeaNdio maana ikaitwa secret recipe hata kuku wao huoni ladha tofauti?
Unaweza kujua wanaweka nini ila weka wewe sasa
Hebu fanya jaribio hili kwa watu wawili wape viungo sawa na hata mafuta na kiasi kimoja
Yaani vyote vifanane halafu waambie wapike lazima utaona utofauti ingawa kila kitu ni kile kile hapo ndio inaingia siri ya mapishi mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ujue hata wapishi wake wana MIBORO MITAMU kama chips zao.
Ukionja MMBORO wa mpishi lazima uchanganyikiwe
Cc: Mzee wa kupambania Poor Brain Yohimbe bark dronedrake The Icebreaker
Kuna mtu aliwahi nambia hiki kitu, kumbe ni kweliii?Viazi vinatoja south africa vule sio hivi vya mbeya
Uongo huo! Maneno tu..Kuna mtu aliwahi nambia hiki kitu, kumbe ni kweliii?
Viazi vinatoja south africa vule sio hivi vya mbeya
Nenda shoprite uone vitunguu toka south africaUongo huo! Maneno tu..
Aiseee, uko serious mkuu.Nikutajie spices? Unaijua vinegar? Unaweka na unga wa njano kwnye ngano.
Kuna mashine ya kukatia viazi saizi moja na vile viazi vinamenywa kwa kujenga shepu ya mstatili so unakata nyama nyingi tu pembeni.
Vipande vile unavitia kwenye maji ya njano yaliyotiwa vinegar..
Lakin kutengenza chips tam mbona easy tu. Unataka kuuzia wap
Na Egypt pia wanawauzia sana KFC ila vya kenya walishindwa kwenye viwangoViazi vinatoja south africa vule sio hivi vya mbeya
Viaz ni hivihiv mkuu ila upish mpana sana. Mapeanut butter, maoliver oil na madude mengine yanawekwa humo muafrika hujawahi kuyafikiria. Ma'mint sijui mara basili, ma'sweet corn ni balaa. Wale jamaa ndo mana wanakuaga na lishe.. wanajua kupika sanaNenda shoprite uone vitunguu toka south africa
Kijana wa hovyo 😁😁😁Kentucky Fried Chicken.......Ni tamu kwa sababu ina K.
Unga wa njano wa nini au unamaanisha rangi?Nikutajie spices? Unaijua vinegar? Unaweka na unga wa njano kwnye ngano.
Kuna mashine ya kukatia viazi saizi moja na vile viazi vinamenywa kwa kujenga shepu ya mstatili so unakata nyama nyingi tu pembeni.
Vipande vile unavitia kwenye maji ya njano yaliyotiwa vinegar..
Lakin kutengenza chips tam mbona easy tu. Unataka kuuzia wap
Kweli kabisa unachosema ila la kuongezea tu sisi tunajua viungo tulivyo navyo na tulivyozoea tu na hakuna wa kujiongezaHili nakubaliana na wewe mana hot kitchen ni pana sana. Mbaya zaidi hotel za bongo mwendo wa kukariri tu. Wanaogundua mapishi mapya wako huko wanatuletea na spices ni zile zile tu. Na huko YouTube hawawek kila kitu.. YouTube wazur sana kwa cold kitchen na pastries.. hata salad sio pa kutegemea
Yes viazi vyao vinatoka nje kwa sababu ile mashine inakata size flan ya kiazi sasa viazi vyetu hvi kingine kikubwa hiki kidgo inakua tafraniKuna mtu aliwahi nambia hiki kitu, kumbe ni kweliii?
Huku ukilima hvyo bila kusema anaupiga mwingi utazibiwa kauzibe usipate soko.Kweli kabisa unachosema ila la kuongezea tu sisi tunajua viungo tulivyo navyo na tulivyozoea tu na hakuna wa kujiongeza
Kuna msomali nilimuona youtube jamaa kasoma nje kaamua kwenda kenya na kuchukua shamba kubwa na amelifanya la kumwagilia
Amepanda Celery, parsley, Dill, caraway, coriander na vingine nimesahau
Yaani kwa sasa anasafirisha uk na Germany
Sasa hata sisi tungevitambulisha nchini kwa wingi mpaka mama ntilie na mahotelini wakatumia nafikiri mapishi na ladha ingebadilika kabisa
Aise viungo vinabadili dish
Kwani wewe Mshahara wako umeshaingia?Wadau naomba kufahamu kama kuna anaejua chips zile zinatengenezwaje sio kwa utamu ule.
Nataka kukaangaa mithili ya KFC ili niuze sana uswahilini
Shukran