Chipsi za kfc huwa zinakaangwaje? Mbona size moja na tamu mno

Chipsi za kfc huwa zinakaangwaje? Mbona size moja na tamu mno

Nikutajie spices? Unaijua vinegar? Unaweka na unga wa njano kwnye ngano.
Kuna mashine ya kukatia viazi saizi moja na vile viazi vinamenywa kwa kujenga shepu ya mstatili so unakata nyama nyingi tu pembeni.
Vipande vile unavitia kwenye maji ya njano yaliyotiwa vinegar..

Lakin kutengenza chips tam mbona easy tu. Unataka kuuzia wap
Ahahahahha 🤣🤣🤣 are we jamaa
 
Kweli kabisa unachosema ila la kuongezea tu sisi tunajua viungo tulivyo navyo na tulivyozoea tu na hakuna wa kujiongeza
Kuna msomali nilimuona youtube jamaa kasoma nje kaamua kwenda kenya na kuchukua shamba kubwa na amelifanya la kumwagilia
Amepanda Celery, parsley, Dill, caraway, coriander na vingine nimesahau
Yaani kwa sasa anasafirisha uk na Germany
Sasa hata sisi tungevitambulisha nchini kwa wingi mpaka mama ntilie na mahotelini wakatumia nafikiri mapishi na ladha ingebadilika kabisa

Aise viungo vinabadili dish
Spices na recipe matumizi yake ukikaa hot kitchen field miez 4 unakuwa mzuri kabisa. Niliwah kuona cummin potatoes na chicken sekela sio ngum kabisa. Utofaut unakuja wa matumiz ya extra recipes. Kuna kichupa flani hiv kina roasted maembe kabisa ya wahindi

Ila tukubali tu watanzania kwenye mapishi tuko nyuma sana. Misosi mitamu mpaka iwekwe nazi
 
Yes viazi vyao vinatoka nje kwa sababu ile mashine inakata size flan ya kiazi sasa viazi vyetu hvi kingine kikubwa hiki kidgo inakua tafrani
Hakuna mkuu vile viazi vya humuhumu ila wananunua kwa supplier kwa condition ya kununua vyenye Ukubwa fulani. Viazi ni hivihivi
 
Mashine hii.. hii hapa sido wanazo
 

Attachments

  • Screenshot_20240823_211245_Chrome.jpg
    Screenshot_20240823_211245_Chrome.jpg
    788 KB · Views: 9
Viaz ni hivihiv mkuu ila upish mpana sana. Mapeanut butter, maoliver oil na madude mengine yanawekwa humo muafrika hujawahi kuyafikiria. Ma'mint sijui mara basili, ma'sweet corn ni balaa. Wale jamaa ndo mana wanakuaga na wishes.. wanajua kupika sana
 
Spices na recipe matumizi yake ukikaa hot kitchen field miez 4 unakuwa mzuri kabisa. Niliwah kuona cummin potatoes na chicken sekela sio ngum kabisa. Utofaut unakuja wa matumiz ya extra recipes. Kuna kichupa flani hiv kina roasted maembe kabisa ya wahindi

Ila tukubali tu watanzania kwenye mapishi tuko nyuma sana. Misosi mitamu mpaka iwekwe nazi
Ni kweli mkuu
Mapishi wahindi wanajua ila nao siri yao ni mafuta mengi sana na pilipili na spices kwa sana
Ila napenda mapishi ya Lebanese cuisine na Syrian pia
Hata hapa nilipo kuna sehemu inaitwa Park Royal wana hoteli zao mpaka za sweets yaani jamaa wako vizuri kila nyanja kuanzia chakula, vitu vitamu sweets na hata masambusa ya aina aina
Kweli napenda mapishi ila sio mzuri hivyo
Lakini naweza kusafiri kwenda nchi ya mbali kwa.ajili ya traditional foods tu
Umewahi kusikia hiyo 😄
Inaonekana wewe ni mpishi
 
Back
Top Bottom