Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kumbe ,Nmetumia sana hii dawa enzi hizo nikiwa jambazi
Mtabisha ....nawajua ninyi watu
Hata nkiwaambia jana nlkua mars mtabisha
Sekondari ipo Mkuu, mwambie tu Mwl wa kemia atakupatianaitaka h dawa, kuna manzi ntampa akija gheto kwangu.
Endelea kubishaWakwanza kubisha ni Mimi
Ahsante kiongozi....Kuanzia Leo ndoo nitaweka maji .Ila nasikia endapo kama kuna chombo chochote kile chenye maji kikiwa wazi basi huwezi dhurika kwani dawa yote huvutwa na maji but hii hoja si ya kitaalam zaidi ni maneno ya vijiweni tu.
Hivyo tunashauriwa wakati wa kulala angalau ndoo moja iwe na maji na iwe wazi kwa ajili ya usalama wako
Ni kweli kiongozi, dawa inatumika lkn kuna sheria ya kudhibiti dawa za kemikali .Tatizo unahitaji ya dawa hii ni makubwa sana hasa kwenye shule za sekondari. Hivyo udhibiti wake lazima uwe mtambuka.
Usifanye hivo aiseee ."Dawa ya mbu..."
Huwa nacheka sana nikisikia maneno hayo
Hapana, natoa tahadhari tu Mkuu.kama ndio unawatangazia hao vibaka waendelee kuwadhuru watu vile ila ni mtazamo wangu
Relax mkuu,halafu uandike tenaKuna wajinga flani nilipokuwa Dodoma nimelala hitelini kuna geti Mlinzi na nyanya za umeme!...ila wajinga waliweza "kunilaza l" mpaka saa nne asubuhi wakakomba Simu Laptop, chupi, suruali na taulo za hotel wakatokomea nazo.
Usiku ule nilitaka kama kitanda kipo juu ya maji katikati ya Ziwa!...baridi kali ila kujigeuza siwezi. Walipitia dirisha la lipo ambalo nililifungua ili kupata kagawa ka Jiji na si li AC !
Nitawakamata tu. Wasidhani nimesahau. Huu mwezi wa tatu hiyo Sumsung haijasoma ikisoma tu nalala nao mbereee
Lily Tony mpenzi nimesha edit rafiki.Relax mkuu,halafu uandike tena
Mkuu ,CHLOROFORM matumiz yake sio kupulizia maiti...inaua mende,viroboto, utitiri, chawa n.k.Madaktari waje hapa!!,chloroform siyo dawa ya kuhifadhi maiti kweli nahisi UONGO MKALI UKO HAPA.
Pole Mkuu sana ...watapatikana tu hao wezi.Kuna wajinga flani nilipokuwa Dodoma nimelala hotelini ambayo kuna geti, Mlinzi na nyanya za umeme!...ila wajinga waliweza "kunilaza" mpaka saa nne asubuhi wakakomba Simu Laptop, chupi, suruali na taulo za hotel wakatokomea nazo.
Usiku ule nililala kama kitanda kipo juu ya maji katikati ya Ziwa!...baridi kali ila kujigeuza siwezi. Walipitia dirisha la kioo ambalo nililifungua ili kupata kahewa ka Jiji na si li AC !
Nitawakamata tu. Wasidhani nimesahau. Huu mwezi wa tatu hiyo Sumsung haijasoma ikisoma tu nalala nao mbereee
Hahaha nimecheka kwa SAUTI KUBWA .Kuna watanzania hata wakipuliziwa Dawa ya Mbu hawaamki
Hiyo ya kuhifahi maiti inaitwa formalinMadaktari waje hapa!!,chloroform siyo dawa ya kuhifadhi maiti kweli nahisi UONGO MKALI UKO HAPA.
Hii tulikuwa tunatumia kulaza panya na chura kwenye practical za biology A-levelMkuu ,CHLOROFORM matumiz yake sio kupulizia maiti...inaua mende,viroboto, utitiri, chawa n.k.
Hivo usikariri hata hivo hiyo dawa haijatengenezwa maalum kwa ajili ya maiti au kupulizia watu usingizi....hivi unajua hata pilitoni inaweza kukulewesha.